Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.

😂😂😂 walisema ni mwakilishi wa mabeberu 😂😂 Watanzania wamefanywa wajinga kweli kweli kesi zimeishia wapi? Kodi waliokwepa iko wapi? Halafu kuna wanafiki hapa wanasema Lissu alikuwa anatetea mabeberu wa madini na huyu je? Yuko Chadema au tuacheni ujinga!
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
Tumempukutisha kakubali ya kwamba ni mwizi mstaafu
 
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
We hushangai Rostam siku hizi Ni Mtakatifu!
 
..asante.

..kwani Johnson Mwanyika, former AG, anatokea Njombe?

..mimi ninavyofahamu AG Mwanyika aliangushiwa jumba bovu ktk kashfa ya richmond.

..ule ulikuwa ni mradi wa wakubwa zake na yeye hakuwa na uwezo wa kuwazuia kufanya mambo yao.
Alilambishwa, na alikuwa na uwezo wote wa kuupinga. Tamaa ndio iliyomponza. alifunguliwa makabrasha ya wenzake kina Mtemi wa Itilima akagota.
 
HIVI SASAA N SAAA NNE KAMILI
ULIPE BILION
Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi.

Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake ambayo ilikuja kufanya kazi Sept 2017 kuwa kuna wasaliti katika vita na wanajeshi wanajua msaliti wanamfanyaje?.

Ikiwa mtu alihukumiwa palipo shaka kuwa alikwepa kulipa kodi na kupigwa ya bilioni 2 je kwa hayo makando ya uhujumu uchumi na kukwepa kulipa kodi na kuhukumiwa bado anafaa.

Au huyu mwanyika pale Mgodini alikuwa ni Afisa Kificho(undercover) au alikuwa Afisa Kipenyo (penetration officer) au ndo kama yule DSO wa Ngorongoro alokamatwa na kwa kuhongwa magari na Mwarabu na hatujasikia tena kesi yake.

Sitaki kusemea sheria na katiba ila naomba tusemee utamaduni wetu na Rais wetu anaepambana na mafisadi ni kweli Mkuu anapambana na mafisadi majizi na wala rushwa au ni selective nani aachwe nani afungwe.


Kama niliyemsema siye na majina yamefanana nitangulize msamaha.
I TUSIKUPE.UBUNGE MBINGUNI TUNAJIBU NN
USITUFOKEE PLS
 
Ilikuwa maigizo ili wapinzani wakose hoja, hakukaa gerezani, siku ya mahakama ndio alikuwa analetwa geresha, mambo mengi muda mchache.
Umesahau TAKUKURU imesema rushwa ndani ya CCM washughulikie wenyewe, as if CCM ni taasisi iliyoundwa na mamlaka kushughulikia rushwa,

Haaaaaa A (CCM) = equal to B (Serikali) B = is equal to C (Takukuru) so A (CCM) is equal to =C (TAKUKURU).
 
Ndio maana tunasema yule Mzee tatizo lake kubwa ni hana principle.

Hana anachokisimamia kutoka moyoni, muda wote, kwa yeyote, kwa hali yeyote.

Kila kitu kwake kina bei, kinazungumzika, kina maelewano. Hata yeye mwenyewe atakuwa anazungumzika.

Utaratibu wa kukata jina kuna maana gani, unatumika nyakati gani kama humkati convicted felon uliyesema ni msaliti anaehujumu nchi kwenye vita ya kiuchumi kwa kutoa siri za nchi?
Kamati Kuu ya CCM ndiyo iliyompitisha siyo Rais Magufuli. Unafikiri CCM ni kama Saccos ya Chadema akisema Faru John ndiyo mwisho!!?
 
Alilambishwa, na alikuwa na uwezo wote wa kuupinga. Tamaa ndio iliyomponza. alifunguliwa makabrasha ya wenzake kina Mtemi wa Itilima akagota.

..hapana.

..Mwanyika na Dr.Msabaha walikuwa mbuzi wa kafara.

..lile dubwasha lilikuwa na wakubwa zao.

NB:

..nimeuliza kama Johnson Mwanyika ni mtu wa Njombe, na kama ana mahusiano na Deo Mwanyika.
 
Hii akili ya CCM ilivyotumika kukata majina mpaka sasa nashindwa kuelewa.... Hivi kweli unamkata Masele halafu unawaacha akina Msukuma., Malinga, Kibajaji....!!
 
Back
Top Bottom