MBWA WA MANZESE
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,621
- 614
hii kitu ni halisi kuna uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu walifanyiwa watu wa mara hasa serengeti na tarime, nilikuwa naishi mugumu enzi hizo baada ya vita ya kagera ilikuwa ni balaa, naikosa sana vita ya waikoma na wakurya ya kuibiana ng'ombe ilikuwa ni show down ya hatari.