Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

hii kitu ni halisi kuna uvunjaji mkubwa wa haki za binadamu walifanyiwa watu wa mara hasa serengeti na tarime, nilikuwa naishi mugumu enzi hizo baada ya vita ya kagera ilikuwa ni balaa, naikosa sana vita ya waikoma na wakurya ya kuibiana ng'ombe ilikuwa ni show down ya hatari.
 
, how dare you are kumkashifu Mwalimu?

Kama ni hivyo Mandela akifa basi ufurahi maana walikuwa na ushoga mkubwa na mwalimu, hata alipostaafu akaja Tanganyika kuaga, na mimi nilikuwepo Taifa siku ile kuimba ule wimbo wa 'Julias Nyerere, hatukufanana nae'

Maanina zako....

Taratibu. Huyu nimeshamjibu kiungwana.
 
Nyamaghanya alikuwa jembe kweli na ni shujaa wa kweli wa mkoa wa mara nakumbuka mwaka 1982 alitangaza jamhuri ya watu wa chui nami nikiwa miongoni mwa wakazi wa nchi yake makao makuu yakatangazwa kuwa ni GIBASO na mishahara ya watumishi wake ni ng'ombe alikuwa na jeshi hodari sana likiitwa Esaiga ya gesambiso na vijana wa kati ambao walikuwa hodari wa kupiga mishale ndipo mchongameno akaamua kumwaga jeshi lake toka zenji kuja kumsaka shujaa wa wanamara wakashindwa kumkamata ikabidi watumie mbinu ya kupitia kwa mke wake mdogo ndipo akauwawa au akajiua mwenyewe kwenye mashimo ya gwisalaa hakukamatwa wala hakuzikwa mwili wake ulifichwa ili kukwepesha mauaji zaidi toka jeshi lake

Aise hii hadithi nilikuwa siijui wataalamu wa document tutengenezeeni hii mtuwekee kwenye library kwa faida ya vizazi vilivyopo na vijavyo
 
Hii ishu ndo kwanza naisikia. Wenyeji wa huko mtuelezee vizuri ilkuwaje hadi huyo jamaa akaamua kuitangaza hiyo jamhuri?
 
ukombozi utaanzia uko uko this issue is like that of king mareale pale moshi alipomgomea nyerere akitaka mikoa ya kaskazini ijitenge na tz ndipo mwl akasema kua kamwe isije ikatokea watu wa kaskazini kupewa nchi waongoze.
 
Wakuu kwakweli kama kuna mambo yanayoumiza na kuhuzunisha ni kipindi hicho watu wa mara walitendewa unyama mbaya sana yaani ilifika hatua vijana wakalazimishwa kulala na mama zao na baba na mkamwana wake wanafanya tendo la ngono tena mchana mbele za watu kisa wanaombwa bunduki kuna watu hata leo wako tayari kutoa ushahidi na wengine wanawafahamu pili sababu kuu hasa ya nyamaghanya kutangaza taifa huru la ENGWE ni manyanyaso ya nyerere kukusanya ng'ombe za watu kipindi cha vita ya kagera kwamba wanachangia vita ya kagera sasa kuna bwana mmoja alikuwa akiishi kagera akaja pale gibaso akamwambia Amiri jeshi mkuu wa jamhuri ya watu wa engwe kwamba uganda haikuvamia tanzania bali ikuwa ni mbinu ya mwalimu kumsaidia obote hata lile daraja lilipigwa na jeshi letu la tz nyamaghanya aliposikia hivyo akaitisha mkutano mkubwa GWITÖNGA akauliza vijana je mpo tayari kutetea mifugo na watu wenu ndindipo wote wakajibu tuko tayari siku hiyo saa tano na nusu usiku wimbo wa taifa tukufu la engwe ukapigwa na kupandisha bendera ya ngozi ya chui nina ushahidi na vielelezo hata mkivitaka leo wakuu ina umma sana kwa unyama ambao watu wa mara walitendewa na askari toka zanzibar ni kitu ambacho sintakisahau kamwe!!
 
Nyamaghanya alikuwa jembe kweli na ni shujaa wa kweli wa mkoa wa mara nakumbuka mwaka 1982 alitangaza jamhuri ya watu wa chui nami nikiwa miongoni mwa wakazi wa nchi yake makao makuu yakatangazwa kuwa ni GIBASO na mishahara ya watumishi wake ni ng'ombe alikuwa na jeshi hodari sana likiitwa Esaiga ya gesambiso na vijana wa kati ambao walikuwa hodari wa kupiga mishale ndipo mchongameno akaamua kumwaga jeshi lake toka zenji kuja kumsaka shujaa wa wanamara wakashindwa kumkamata ikabidi watumie mbinu ya kupitia kwa mke wake mdogo ndipo akauwawa au akajiua mwenyewe kwenye mashimo ya gwisalaa hakukamatwa wala hakuzikwa mwili wake ulifichwa ili kukwepesha mauaji zaidi toka jeshi lake

Asanti moghaka!
 
Nakumbuka jinsi vijana kutoka visiwani walivyopora mali za wana-Mara na kuwafanyia manyanyaso yasiyo na kifani.
 
nakumbuka ile inshu...ilikuwa 1982....tanzania huko mkoani mara ilitokea vita kubwa...kati ya majeshi ya serikali na majeshi ya nyamahanga...ilidumu kama wiki tatu.....watu walikufa sana.....
 
Inasemekana katika vita vya Uganda, majeneza yalibeba bunduki jamaa akiziamishia Musoma. Baada ya vita na Uganda, akatengeneza jeshi lake na akajitangazia nchi huru, bendera (ngozi ya chui) ikasimama juu ya mlingoti mapambano yakaanza. It was not that much easy kusambaratisha jeshi lake na inasemekana Mwl. Nyerere aliumizwa kichwa sana na huyu jamaa, ila at last waliweza m-defeat na kurestore order.

ni pm mateja.
 
Watanzania kazi tunayo mbona na history ya kuchakachua,Ndo maana Mwalimu mmoja wa History pale Kigurunyembe Secondary School alikuwa hapendi kufundisha somo la History ya Tanzania akidai imejaa upotoshaji kwa kiwango cha kutisha mwanzoni sikumuelewa lakini kwa haya ninayoyaona hapa sasa nimemuelewa alikuwa na maana gani.
 
Aise hii hadithi nilikuwa siijui wataalamu wa document tutengenezeeni hii mtuwekee kwenye library kwa faida ya vizazi vilivyopo na vijavyo
huwezi kuijua kama ulizaliwa miaka ya tisini au 2000.
 
Kujitenga kuna mambo kadhaa ambayo ni kama vile
1.mtu kutoridhishwa na utawala wa nchi yake.
2.kuzorota kwa huduma muhimu za kijamii katika eneo lake.
3.mgawanyo wa rasili mali kutoka eneo hilo kuwaneemesha wachache haswa viongozi na ama maeneo viongozi wanayotoka ama vinginevyo
MKUU KICHULI naomba ni juze tafadhali kilichompelekea huyu Nyamaghanya kufanya hilo tukio la kistoria ambalo tuliowengi hatukulifahamu ni nini haswa?
 
Wakuu kwakweli kama kuna mambo yanayoumiza na kuhuzunisha ni kipindi hicho watu wa mara walitendewa unyama mbaya sana yaani ilifika hatua vijana wakalazimishwa kulala na mama zao na baba na mkamwana wake wanafanya tendo la ngono tena mchana mbele za watu kisa wanaombwa bunduki kuna watu hata leo wako tayari kutoa ushahidi na wengine wanawafahamu pili sababu kuu hasa ya nyamaghanya kutangaza taifa huru la ENGWE ni manyanyaso ya nyerere kukusanya ng'ombe za watu kipindi cha vita ya kagera kwamba wanachangia vita ya kagera sasa kuna bwana mmoja alikuwa akiishi kagera akaja pale gibaso akamwambia Amiri jeshi mkuu wa jamhuri ya watu wa engwe kwamba uganda haikuvamia tanzania bali ikuwa ni mbinu ya mwalimu kumsaidia obote hata lile daraja lilipigwa na jeshi letu la tz nyamaghanya aliposikia hivyo akaitisha mkutano mkubwa GWITÖNGA akauliza vijana je mpo tayari kutetea mifugo na watu wenu ndindipo wote wakajibu tuko tayari siku hiyo saa tano na nusu usiku wimbo wa taifa tukufu la engwe ukapigwa na kupandisha bendera ya ngozi ya chui nina ushahidi na vielelezo hata mkivitaka leo wakuu inaeke umma sana kwa unyama ambao watu wa mara walitendewa na askari toka zanzibar ni kitu ambacho sintakisahau kamwe!![/QUOTEKan


Kana Mura abhaghisambiso bhagatemwa iyeke na abharishya ghukuru Sanzibhar?
 
, how dare you are kumkashifu Mwalimu?

Kama ni hivyo Mandela akifa basi ufurahi maana walikuwa na ushoga mkubwa na mwalimu, hata alipostaafu akaja Tanganyika kuaga, na mimi nilikuwepo Taifa siku ile kuimba ule wimbo wa 'Julias Nyerere, hatukufanana nae'

Kuna taarifa kuwa mandela alivyotembelea Tanzania alitegemea kukuta bonge la nchi ....maana nyerere alikuwa anasaidia sana nchi zengine....
Lakini nyerere akatoka nduki kwa aibu
 
Back
Top Bottom