Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

naona kama bado nataka kufahamu juu ya hii kitu jamani mwenye maelezo zaidi aweke plz
 
Nchi pekeeambayo historia yake haiwekwi wazi kwa vizazi hadi vizazi na kubaki na kazi ya kulisha vizaze vyake historia za nchi za watu

Jamani historia sio tu ya mambo maazuri ya kusaidia ukombozi wa nchi nyingine bali hata yale ambayo hayatufurahishi.

Kuna haja ya historia kama hii kufundishwa kwenye mashule siyo kuleteana mambo ya kina sijui ndiyo wa kina Mansa Kan Kan Musa wakati kwetu kumbe kuna historia iliyoshiba sema inafichwa.

Kuna ile nyingine nayo ya uasi wa Jeshi...Imefiiiiichwaaaaaa.....fundisheni hizi kwenye masomo ya historia ya taifa letu bwana sio kuzificha na kutujia na sifa za kina Mkwawa tu
hazina mantiki
pia zinachochea uovu tu!!
kwa sababu binadamu wenye mawazo kama ya hao watu wapo, kwahiyo utakapomfundisha mwanafunzi unamjengea hali ya kuwa "kumbe inawezekana eeh"

baada ya miaka unakuta wamejaa wa hivo tele
 
Kwa kweli baada ya vita vya kagera, bunduki nyingi tu zilisafirishwa kwenda bwerege. Kiasi cha silaha kilikua juu kiasi kwamba silaha ingenunuliwa kwa ng'ombe mmoja. Silaha hizo zilisambaa hadi hapa Kenya na ndizo zinazotumika kwa operesheni ambazo siezi kuzitaja. Itakua ni kuisaliti jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyamhanga aliteremsha Bendera ya Tanzania na kupandisha ngozi ya chui na kutangaza rasmi kuwa hiyo si tena Tanzania , kuanzia siku hiyo majeshi yalikusanywa nchi nzima kama vile kulikuwa na vita ya Kagera.

Mapambano yaliendelea kwa siku zipatazo 7 hivi kabla ya Nyamhanga kupitia chini ya nyuma ya mtungi na kupotelea bondeni.

Kama ilivyokuwa kwa Hitira kuna habari za kutatanisha kuhusu huyu bwana baada ya vita kwisha. Kuna wengine wanasema yalitupwa mabomu mengi sana huko alikokimbilia na wengine wanasema alitorokea nje ya nchi.

Kuna Simulizi nyingi tu ambazo siwezi kuziandika hapa hasa kwa sababu zinahusiana na ushirikina wake, nami sina imani na ushirikina.

Kuna vidume sana huu mkoa wenye kanda maalum. Nikikumbuka tu wazee wa Mara wanaoishi musoma mjini uwa napamisi sana......
 
Mara pia wametoka makamanda wengi walioliongoza jeshi letu kwa umahiri na weledi mkubwa katika nafasi mbalimbali walizokuwa nazo.
 
Mtu anayejua historia ya mkoa wa mara ambao kuna kipindi ulijitenga ukaanzisha jamuhuri ya watu wa chui aweke hapa
Pumba tupu! Mtu mwenye akili timamu hawezi kuandikaa uwozo huu.
 
Kuna mjinga mmoja kutoka Mara ndio alikuwa anajiita IDD AMIN wa pili, alishauaga Chui ndio akaona kuwa anaweza kuua yeyote yule.

Kuna kipindi alipandisha ngozi ya chui aliyemuua juu na kushusha bendera ya Taifa...sasa kwasababu Wajinga walikuwa wengi wakati huo basi wakawa wanamsifia tuu na kumtukuza kwa huo ujinga

Kwa jamii ilivyostaarabika sasahivi asingefikia kupata hizo credit za kijinga.
 
Ukanda wa Tarime imepitia vita vingi sana na ni sehemu pekee ndani ya Tanzania imeshuhudia vita ya wenyewe kwa wenyewe au koo kwa koo.
Mara Warienchoka na sijui watu gani
Wajaluoa sijui na wakurya
Ikapigwa tena vurugu kali sana kule Mererani kati ya Wajaluo na Wasonjo.
Bado sijaona kama suluhu ya kuanzishwa kanda maalum ya Tarime Rorya kama ndo suluhisho; japo naona dalili ya hizo koo/jamii hizo kuamishia vita yao dhidi ya polisi kwani kumekua na unyanyasaji wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom