Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

Ilikuwaje Mkoa wa Mara ukaitwa 'Jamhuri ya Watu wa Chui'?

Watanzania kazi tunayo mbona na history ya kuchakachua,Ndo maana Mwalimu mmoja wa History pale Kigurunyembe Secondary School alikuwa hapendi kufundisha somo la History ya Tanzania akidai imejaa upotoshaji kwa kiwango cha kutisha mwanzoni sikumuelewa lakini kwa haya ninayoyaona hapa sasa nimemuelewa alikuwa na maana gani.

Kuna mambo mengi hayasemwi.....
Hata hizi taarifa za habari unasomewa zile ambazo unatakiwa usikie ....
Hasa hizi CNN na BBC ndio Kabisa...
 
Kuna taarifa kuwa mandela alivyotembelea Tanzania alitegemea kukuta bonge la nchi ....maana nyerere alikuwa anasaidia sana nchi zengine....
Lakini nyerere akatoka nduki kwa aibu

Kwa uzoefu wangu mdogo ni kuwa kulikuwa na kambi ndogo ya wanaharakati wa uhuru kusini mwa Afrika huko Solomon Mazimbu, Morogoro. Ina maana Mandela hakuwahi hata siku moja kutembelea huko, na kama sio, hata ripoti za watu waliokuwa huku alikuwa hazipati mpaka atarajie kukuta vitu vya ajabu?
By then, Bongo ni bonge la inji ndiyo...
 
Kuna taarifa kuwa mandela alivyotembelea Tanzania alitegemea kukuta bonge la nchi ....maana nyerere alikuwa anasaidia sana nchi zengine....
Lakini nyerere akatoka nduki kwa aibu
Hapana. Hii taarifa ama umeitunga mwenyewe au uliingizwa choo cha kike na aliyekupa. Kabla ya kuwekwa kizuizini Mandela aliwahi kuja Tanzania. Kwa hiyo alijua kuwa ni nchi ambayo miundombinu yake bado haijaendelezwa. Haikuwa mara yake ya kwanza kutembelea Tanzania alipotoka kizuizini.
 
Kujitenga kuna mambo kadhaa ambayo ni kama vile
1.mtu kutoridhishwa na utawala wa nchi yake.
2.kuzorota kwa huduma muhimu za kijamii katika eneo lake.
3.mgawanyo wa rasili mali kutoka eneo hilo kuwaneemesha wachache haswa viongozi na ama maeneo viongozi wanayotoka ama vinginevyo
MKUU KICHULI naomba ni juze tafadhali kilichompelekea huyu Nyamaghanya kufanya hilo tukio la kistoria ambalo tuliowengi hatukulifahamu ni nini haswa?

..........kwa kuzingatia hapo no. 3, ina maana wale jamaa wa Mombasa (MRC) hapo nchi jirani wana hoja eeeh ?
 
  • Thanks
Reactions: Izz
Hapana. Huyu alikuwa hana nia ya kupindua serikali ya Tanzania. Yeye alichofanya ni kujimegea eneo lake na kutangaza Jamhuri ya watu wa chui. Na Jamhuri yake ilikuwa inaishia eneo moja tu Tarime.

Duh! Kumbe hizi Vurugu za Tarime hazikuanza leo!!
 
Sikuwahi kuisikia historia hii popote pale,naomba wenye uelewa zaidi wa hili tukio watujuze,pia sielewi kwa nini matukio kama haya yanafichwa hivi na serikali?tunatakiwa tuijue historia ya nchi yetu nje ndani na sio kuchaguliwa yale wanayotaka tujue na mengine hapana.
 
Ilikuwa ni baada ya vita vya Uganda. Jamaa alikuwa kama ana wazimu vile.

Baada ya VITA VYA KAGERA kumalizika kulikuwa na matatizo POST WAR TRAUMATIC DISORDER SYNDROME(PTSD) kwa Wanajeshi wetu,Wengi walipoteza maisha yao kwa visa mbali-mbali kama vile Unywaji wa pombe,Kugombea Wanawake na Ugomvi mwingine usiokuwa na maana,Tatizo hili la PTSD limeua Wanajeshi wetu wengi sana wakati huo ni kwa sababu tu Serikari yetu haikuweza kugundua na kubuni mbinu ya kuwasaidia Wanajeshi wetu waliopatwa na matatizo haya ya PTSD,Naamini kabisa kuwa Huyu ndugu NYAMHANGA alipata matatizo ya PTSD Ndiyo maana aliweza kuchukua silaha nyingi na kujenga Ngome yake pale GIBASO,Hakuwa yeye bali tatizo hilo la PTSD NDILO LILILOMFANYA ATENDE KITENDO HICHO.Maana Mwanajeshi akipata tatizo hilo anaweza kufanya Kitendo chochote kile ikiwa pamoja na wengine kuamua KUJINYONGA bila kuogopa yeyote yule,Hivyo ilitakiwa wakati huo Serikari yetu ingewaweka Wanajeshi wote waliopatwa na tatizo hilo sehemu maalumu ili kupatiwa Matibabu na Ushauri NASAHA mpaka watakapoonekana wamepona kutokana na PTSD Kwa nchi masikini kama yetu Haikuwa rahisi kugundua tatizo hili kwa Wanajeshi wetu na Tiba yake,Kwa Upande wangu mimi siwezi kumwita SHUJAA kwa kitendo alichofanya maana alikifanya sababu ya tatizo la PTSD Ugonjwa ambao huwapata Wanajeshi Baada ya kumaliza VITA.
 
..........kwa kuzingatia hapo no. 3, ina maana wale jamaa wa Mombasa (MRC) hapo nchi jirani wana hoja eeeh ?

MRC wana haki mkuu, maana mapato ya tokanayo na rasilimali zao kiasi flani haiwapi nafuu katika dhiki zao!
 
Ni story ndefu iliyoanza baada ya Vita vya Kagera baada ya Watu wachache akiongozwa na Kiongozi wao kujitangazia Utawala wao na Uongozi wao Miaka hiyo. Kuna wakati huyu jamaa alikamatwa na Mwl Nyerere wakati huo akiwa Rais aliomba wamlete kwake, jamaa aliomba msamaha na kuagizwa asitishe Vita akasamehewa.
Mtiti ulianza tena kwenye miaka ya 1984 hapo ndipo kumbukumbu zangu zitakapoanzia maana naikumbuka vzr sana operation hii maarufu kama "Operation Nyamaganya" ilitolewa amri popote alipo apatikane akiwa hai au amekufa.
Haikuwa rahisi kumpata ilikuwa vita iliyohusisha Majeshi yetu yote tunatoyafahamu ikiwa ni pamoja na Usalama wa Taifa ambao kwa kiasi kikubwa walichangia kumsoma huyu Rais wa Ingwe (Chui).
Hatima yake huyu jamaa aliuwawa yeye na Mwanae katika mapambano makali yaliyodumu kwa muda mrefu.
CJAHITIMISHA BUT NAWASILISHA.
 
Jamani wanaojua historia ya tarime watujuze zaidi tuna shauku zaidi ya kuelewa
 
Nyamaghanya alikuwa jembe kweli na ni shujaa wa kweli wa mkoa wa mara nakumbuka mwaka 1982 alitangaza jamhuri ya watu wa chui nami nikiwa miongoni mwa wakazi wa nchi yake makao makuu yakatangazwa kuwa ni GIBASO na mishahara ya watumishi wake ni ng'ombe alikuwa na jeshi hodari sana likiitwa Esaiga ya gesambiso na vijana wa kati ambao walikuwa hodari wa kupiga mishale ndipo mchongameno akaamua kumwaga jeshi lake toka zenji kuja kumsaka shujaa wa wanamara wakashindwa kumkamata ikabidi watumie mbinu ya kupitia kwa mke wake mdogo ndipo akauwawa au akajiua mwenyewe kwenye mashimo ya gwisalaa hakukamatwa wala hakuzikwa mwili wake ulifichwa ili kukwepesha mauaji zaidi toka jeshi lake

Alikuwa sehemu gani ya mkoa wa Mara?
 
Baada ya VITA VYA KAGERA kumalizika kulikuwa na matatizo POST WAR TRAUMATIC DISORDER SYNDROME(PTSD) kwa Wanajeshi wetu,Wengi walipoteza maisha yao kwa visa mbali-mbali kama vile Unywaji wa pombe,Kugombea Wanawake na Ugomvi mwingine usiokuwa na maana,Tatizo hili la PTSD limeua Wanajeshi wetu wengi sana wakati huo ni kwa sababu tu Serikari yetu haikuweza kugundua na kubuni mbinu ya kuwasaidia Wanajeshi wetu waliopatwa na matatizo haya ya PTSD,Naamini kabisa kuwa Huyu ndugu NYAMHANGA alipata matatizo ya PTSD Ndiyo maana aliweza kuchukua silaha nyingi na kujenga Ngome yake pale GIBASO,Hakuwa yeye bali tatizo hilo la PTSD NDILO LILILOMFANYA ATENDE KITENDO HICHO.Maana Mwanajeshi akipata tatizo hilo anaweza kufanya Kitendo chochote kile ikiwa pamoja na wengine kuamua KUJINYONGA bila kuogopa yeyote yule,Hivyo ilitakiwa wakati huo Serikari yetu ingewaweka Wanajeshi wote waliopatwa na tatizo hilo sehemu maalumu ili kupatiwa Matibabu na Ushauri NASAHA mpaka watakapoonekana wamepona kutokana na PTSD Kwa nchi masikini kama yetu Haikuwa rahisi kugundua tatizo hili kwa Wanajeshi wetu na Tiba yake,Kwa Upande wangu mimi siwezi kumwita SHUJAA kwa kitendo alichofanya maana alikifanya sababu ya tatizo la PTSD Ugonjwa ambao huwapata Wanajeshi Baada ya kumaliza VITA.

Nakuelewa kuliko aliyeanzisha mada.
 
Hapana. Huyu alikuwa hana nia ya kupindua serikali ya Tanzania. Yeye alichofanya ni kujimegea eneo lake na kutangaza Jamhuri ya watu wa chui. Na Jamhuri yake ilikuwa inaishia eneo moja tu Tarime.

Huyu alikuwa na lengo la kutawala jamii zote za kikurya akijipambanua kama shujaa katika jamii ya Kikurya. Kwa kuwa kuna mwenzetu ameahatueleza kuwa huyo jamaa alikumbwa na ugonjwa wa kijeshi, I hope tutakuwa tumeelewa kilichokili na sababu yake.
 
Ni story ndefu iliyoanza baada ya Vita vya Kagera baada ya Watu wachache akiongozwa na Kiongozi wao kujitangazia Utawala wao na Uongozi wao Miaka hiyo. Kuna wakati huyu jamaa alikamatwa na Mwl Nyerere wakati huo akiwa Rais aliomba wamlete kwake, jamaa aliomba msamaha na kuagizwa asitishe Vita akasamehewa.
Mtiti ulianza tena kwenye miaka ya 1984 hapo ndipo kumbukumbu zangu zitakapoanzia maana naikumbuka vzr sana operation hii maarufu kama "Operation Nyamaganya" ilitolewa amri popote alipo apatikane akiwa hai au amekufa.
Haikuwa rahisi kumpata ilikuwa vita iliyohusisha Majeshi yetu yote tunatoyafahamu ikiwa ni pamoja na Usalama wa Taifa ambao kwa kiasi kikubwa walichangia kumsoma huyu Rais wa Ingwe (Chui).
Hatima yake huyu jamaa aliuwawa yeye na Mwanae katika mapambano makali yaliyodumu kwa muda mrefu.
CJAHITIMISHA BUT NAWASILISHA.

tunasubili uhitimishe mkuu
 
Baada ya VITA VYA KAGERA kumalizika kulikuwa na matatizo POST WAR TRAUMATIC DISORDER SYNDROME(PTSD) kwa Wanajeshi wetu,Wengi walipoteza maisha yao kwa visa mbali-mbali kama vile Unywaji wa pombe,Kugombea Wanawake na Ugomvi mwingine usiokuwa na maana,Tatizo hili la PTSD limeua Wanajeshi wetu wengi sana wakati huo ni kwa sababu tu Serikari yetu haikuweza kugundua na kubuni mbinu ya kuwasaidia Wanajeshi wetu waliopatwa na matatizo haya ya PTSD,Naamini kabisa kuwa Huyu ndugu NYAMHANGA alipata matatizo ya PTSD Ndiyo maana aliweza kuchukua silaha nyingi na kujenga Ngome yake pale GIBASO,Hakuwa yeye bali tatizo hilo la PTSD NDILO LILILOMFANYA ATENDE KITENDO HICHO.Maana Mwanajeshi akipata tatizo hilo anaweza kufanya Kitendo chochote kile ikiwa pamoja na wengine kuamua KUJINYONGA bila kuogopa yeyote yule,Hivyo ilitakiwa wakati huo Serikari yetu ingewaweka Wanajeshi wote waliopatwa na tatizo hilo sehemu maalumu ili kupatiwa Matibabu na Ushauri NASAHA mpaka watakapoonekana wamepona kutokana na PTSD Kwa nchi masikini kama yetu Haikuwa rahisi kugundua tatizo hili kwa Wanajeshi wetu na Tiba yake,Kwa Upande wangu mimi siwezi kumwita SHUJAA kwa kitendo alichofanya maana alikifanya sababu ya tatizo la PTSD Ugonjwa ambao huwapata Wanajeshi Baada ya kumaliza VITA.

How do you justify your argument bro.??
 
Back
Top Bottom