MBWA WA MANZESE
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,621
- 614
Jamhuri ya watu wa chui...niambie kwa kiinglish ndio inaitwa ....repuplic..mmnh, .out of curiosity.
, how dare you are kumkashifu Mwalimu?
Kama ni hivyo Mandela akifa basi ufurahi maana walikuwa na ushoga mkubwa na mwalimu, hata alipostaafu akaja Tanganyika kuaga, na mimi nilikuwepo Taifa siku ile kuimba ule wimbo wa 'Julias Nyerere, hatukufanana nae'
Maanina zako....
Nyamaghanya alikuwa jembe kweli na ni shujaa wa kweli wa mkoa wa mara nakumbuka mwaka 1982 alitangaza jamhuri ya watu wa chui nami nikiwa miongoni mwa wakazi wa nchi yake makao makuu yakatangazwa kuwa ni GIBASO na mishahara ya watumishi wake ni ng'ombe alikuwa na jeshi hodari sana likiitwa Esaiga ya gesambiso na vijana wa kati ambao walikuwa hodari wa kupiga mishale ndipo mchongameno akaamua kumwaga jeshi lake toka zenji kuja kumsaka shujaa wa wanamara wakashindwa kumkamata ikabidi watumie mbinu ya kupitia kwa mke wake mdogo ndipo akauwawa au akajiua mwenyewe kwenye mashimo ya gwisalaa hakukamatwa wala hakuzikwa mwili wake ulifichwa ili kukwepesha mauaji zaidi toka jeshi lake
Nyamaghanya alikuwa jembe kweli na ni shujaa wa kweli wa mkoa wa mara nakumbuka mwaka 1982 alitangaza jamhuri ya watu wa chui nami nikiwa miongoni mwa wakazi wa nchi yake makao makuu yakatangazwa kuwa ni GIBASO na mishahara ya watumishi wake ni ng'ombe alikuwa na jeshi hodari sana likiitwa Esaiga ya gesambiso na vijana wa kati ambao walikuwa hodari wa kupiga mishale ndipo mchongameno akaamua kumwaga jeshi lake toka zenji kuja kumsaka shujaa wa wanamara wakashindwa kumkamata ikabidi watumie mbinu ya kupitia kwa mke wake mdogo ndipo akauwawa au akajiua mwenyewe kwenye mashimo ya gwisalaa hakukamatwa wala hakuzikwa mwili wake ulifichwa ili kukwepesha mauaji zaidi toka jeshi lake
Inasemekana katika vita vya Uganda, majeneza yalibeba bunduki jamaa akiziamishia Musoma. Baada ya vita na Uganda, akatengeneza jeshi lake na akajitangazia nchi huru, bendera (ngozi ya chui) ikasimama juu ya mlingoti mapambano yakaanza. It was not that much easy kusambaratisha jeshi lake na inasemekana Mwl. Nyerere aliumizwa kichwa sana na huyu jamaa, ila at last waliweza m-defeat na kurestore order.
people's Republic of Leopard.(PRL)Jamhuri ya watu wa chui...niambie kwa kiinglish ndio inaitwa ....repuplic..mmnh, .out of curiosity.
huwezi kuijua kama ulizaliwa miaka ya tisini au 2000.Aise hii hadithi nilikuwa siijui wataalamu wa document tutengenezeeni hii mtuwekee kwenye library kwa faida ya vizazi vilivyopo na vijavyo
Wakuu kwakweli kama kuna mambo yanayoumiza na kuhuzunisha ni kipindi hicho watu wa mara walitendewa unyama mbaya sana yaani ilifika hatua vijana wakalazimishwa kulala na mama zao na baba na mkamwana wake wanafanya tendo la ngono tena mchana mbele za watu kisa wanaombwa bunduki kuna watu hata leo wako tayari kutoa ushahidi na wengine wanawafahamu pili sababu kuu hasa ya nyamaghanya kutangaza taifa huru la ENGWE ni manyanyaso ya nyerere kukusanya ng'ombe za watu kipindi cha vita ya kagera kwamba wanachangia vita ya kagera sasa kuna bwana mmoja alikuwa akiishi kagera akaja pale gibaso akamwambia Amiri jeshi mkuu wa jamhuri ya watu wa engwe kwamba uganda haikuvamia tanzania bali ikuwa ni mbinu ya mwalimu kumsaidia obote hata lile daraja lilipigwa na jeshi letu la tz nyamaghanya aliposikia hivyo akaitisha mkutano mkubwa GWITÖNGA akauliza vijana je mpo tayari kutetea mifugo na watu wenu ndindipo wote wakajibu tuko tayari siku hiyo saa tano na nusu usiku wimbo wa taifa tukufu la engwe ukapigwa na kupandisha bendera ya ngozi ya chui nina ushahidi na vielelezo hata mkivitaka leo wakuu inaeke umma sana kwa unyama ambao watu wa mara walitendewa na askari toka zanzibar ni kitu ambacho sintakisahau kamwe!![/QUOTEKan
Kana Mura abhaghisambiso bhagatemwa iyeke na abharishya ghukuru Sanzibhar?
people's Republic of Leopard.(PRL)
, how dare you are kumkashifu Mwalimu?
Kama ni hivyo Mandela akifa basi ufurahi maana walikuwa na ushoga mkubwa na mwalimu, hata alipostaafu akaja Tanganyika kuaga, na mimi nilikuwepo Taifa siku ile kuimba ule wimbo wa 'Julias Nyerere, hatukufanana nae'
Nakumbuka jinsi vijana kutoka visiwani walivyopora mali za wana-Mara na kuwafanyia manyanyaso yasiyo na kifani.