wa ngaranga
Member
- Jun 12, 2020
- 91
- 202
Alikuwa wakili wa kujitegemea ofisi zake Morogoro,akateuliwa kuwa jaji, kesi ya Zombe ilimkuta akiwa senior jaji tayari,na kabla hajasoma hukumu tayari alishakua Jaji mteule wa mahakama ya rufani ya tanzania,ni moja ya majaji walio nyooka sanaaa ndio maana hutaona majaji wa kariba yake wakiwa assigned kesi za kisiasa zile za kupoteza muda.Aliteuliwa kuwa jaji kutokea wapi? Muda kidogo maana yake nini?
By the way,jamaa alikua jaji 2004