Duuh ss umeandika nn hapa?
Facts + figures
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh ss umeandika nn hapa?
Christopher BageniKuna kamanda wa polisi amehukumiwa kunyongwa sababu alikuwepo eneo la tukio na ndie alietoa amri. Zombe yeye hakuwepo eneo la tukio na wala hakuna ushahidi uliomuonesha kama zombe alitoa amri watu hao wauwawe maana hata hao watu wakati wanakamatwa hakuwaona na hata wakati wanapigwa risasi hakuwepo pia