Ilikuwaje mpaka ACP Abdallah Zombe akanusurika kufungwa?

Aliteuliwa kuwa jaji kutokea wapi? Muda kidogo maana yake nini?
Alikuwa wakili wa kujitegemea ofisi zake Morogoro,akateuliwa kuwa jaji, kesi ya Zombe ilimkuta akiwa senior jaji tayari,na kabla hajasoma hukumu tayari alishakua Jaji mteule wa mahakama ya rufani ya tanzania,ni moja ya majaji walio nyooka sanaaa ndio maana hutaona majaji wa kariba yake wakiwa assigned kesi za kisiasa zile za kupoteza muda.

By the way,jamaa alikua jaji 2004
 
Si haba. Haiyumkiniki tunasogea. Pole pole ndiyo mwendo.

Kiswahili hakijawahi kuwa rahisi kihivyo mjomba, hasa pande za kwetu buseresere.

"Muda kidogo" au "ndiyo kwanza" kwani kwa uelewa wako ni kama muda gani?
Wenye kiswahili chao wanaelewa nilichomaanisha, pole sana kwa kutoka uswekeni hiyo mimi hainihusu.
 
Zombe alimpotosha Bageni kama kiongozi wa wenzie wauaji, Bageni akijua Zombe wako wote akaingia chaka at the end Bageni ikala kwake Zombe yuko huru...Koplo Saad Alawi mpaka leo hajulikana alipo....hahahahaha ila Karma inamtafuna sasa..
 
Hivi huyo Zombe bado yuko hai!
 
Ni kama kesi ya Sabaya!

Kuna techinc inachezwa kwenye uandishi wa mashitaka ndiyo inayokuja kuvuruga hukumu.

Mfano Sabaya alikuwa mkuu wa wilaya ambaye ni mtendaji wa serikali, pia yupo kwenye kamati ya ulinzi na usalama ambao katika majukumu yao ni pamoja na kuzuia na kukamata.

Sasa alipoenda kukamata na kulengeshewa rushwa, mwandika mashitaka kaandika ujambazi wa kutumia silaha badala ya rushwa na matumizi mabaya ya madaraka!

Kwenye hukumu waweza kuta akatemwa, si kwasababu hajafanya kosa, lah hasha, isipokuwa alichoshitakiwa nacho ni tofauti na alichotenda.
 
Si haba. Haiyumkiniki tunasogea. Pole pole ndiyo mwendo.

Kiswahili hakijawahi kuwa rahisi ki hivyo mjomba, na hasa pande za kule kwetu buseresere.

"Muda kidogo" au "ndiyo kwanza" kwani kwa uelewa wako ni kama muda gani?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Yaani mmeamua kuingia class kabisa
 
Nimeota Kingai katolewa Kafara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…