wa ngaranga
Member
- Jun 12, 2020
- 91
- 202
Alikuwa wakili wa kujitegemea ofisi zake Morogoro,akateuliwa kuwa jaji, kesi ya Zombe ilimkuta akiwa senior jaji tayari,na kabla hajasoma hukumu tayari alishakua Jaji mteule wa mahakama ya rufani ya tanzania,ni moja ya majaji walio nyooka sanaaa ndio maana hutaona majaji wa kariba yake wakiwa assigned kesi za kisiasa zile za kupoteza muda.Aliteuliwa kuwa jaji kutokea wapi? Muda kidogo maana yake nini?
Kuteuliwa kutoka wapi kwangu sio muhimu nilichokipinga ni pale ulidai "ndio kwanza katoka kuteuliwa" hiyo sio kweli.Aliteuliwa kuwa jaji kutokea wapi? Muda kidogo maana yake nini?
Hii kesi ina mafundisho mengi sana kuhusu mfumo mzima wa jeshi letu la polisi. Hawa kina Sabaya,kingai, mahita nao wengine wasiojulikana ni sehemu ya akina Zombe ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama.Ya Zombe yashapita kwanini mnapenda kufukuwa Makabuli mnatafuta nini kwa Mzee Zombe?
Aliteuliwa kuwa jaji kutokea wapi? Muda kidogo maana yake nini?
Wenye kiswahili chao wanaelewa nilichomaanisha, pole sana kwa kutoka uswekeni hiyo mimi hainihusu.Si haba. Haiyumkiniki tunasogea. Pole pole ndiyo mwendo.
Kiswahili hakijawahi kuwa rahisi kihivyo mjomba, hasa pande za kwetu buseresere.
"Muda kidogo" au "ndiyo kwanza" kwani kwa uelewa wako ni kama muda gani?
Wenye kiswahili chao wanaelewa nilichomaanisha, pole sana kwa kutoka uswekeni hiyo mimi hainihusu.
Huko porini unaponitajia sijawahi kufika na sitarajii kufika.Wenye kiswahili chao?!
#COVID19 - Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko
Aya ya kwanza kwenye uzi huo tuliwahi waainisha wenye kiswahili.
Wenye kiswahili ni sisi.
Hiki nacho ni bahari. Wasalimie Buseresere.
😂😂
Huenda Koplo Saad alipotezwa ili kulinda maslahi ya wakubwaZombe alimpotosha Bageni kama kiongozi wa wenzie wauaji, Bageni akijua Zombe wako wote akaingia chaka at the end Bageni ikala kwake Zombe yuko huru...Koplo Saad Alawi mpaka leo hajulikana alipo....hahahahaha ila Karma inamtafuna sasa..
Hivi huyo Zombe bado yuko hai!Pitia series kwenye gazeti la mwananchi imeandikwa vizuri sana. Kiufupi ni ujinga na uzembe wa serikali. Zombe alishitakiwa kwa mauaji, na hakuua wa kuwepo eneo la tukio. Hata kama ni kweli alitoa amri, je sheria zetu zinasema ukituma au kutoa amri ya kuua kinyume na sheria ni kosa la kuua? Ndio maana akatoboa kirahisi, halafu Jamhuri baada ya kuona imechemka, ikamuomba Jaji ampate na hatia ya kupanga mauaji. Wakaambia hiyo sio kesi iliyopo hapa.
Bageni aliyekuwepo eneo la tukio na ndie alikuwa most senior officer yeye alihukumiwa kunyongwa baada ya serikali kukata rufaa.
Wanasheria wa serikali uzembe hawajaanza na kesi ya Mbowe, ndio jadi yao.
Ni kama kesi ya Sabaya!Ushahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"
Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Yaani mmeamua kuingia class kabisaSi haba. Haiyumkiniki tunasogea. Pole pole ndiyo mwendo.
Kiswahili hakijawahi kuwa rahisi ki hivyo mjomba, na hasa pande za kule kwetu buseresere.
"Muda kidogo" au "ndiyo kwanza" kwani kwa uelewa wako ni kama muda gani?
Nani?Ngoja waje kukupa muongozo...
Ilikuwa ni kati ya kifo na uhaiHii kesi ilikuwa na mauza uza mengi sana.
Hata mimi nimewaza hivi aiseeHuenda Koplo Saad alipotezwa ili kulinda maslahi ya wakubwa
Nimeota Kingai katolewa KafaraUshahidi uko wazi kabisa juu ya order alizotoa kwenye mauaji yale ya wafanyabiashara ikawaje yeye hakukutwa na hatia? Inanikumbusha picha moja ya kihindi inaitwa "Andha Kanoon" maana yake "Sheria Kipofu"
Wakuu ilikuwaje mpk Zombe akanusurika kufungwa? Karibuni
Hata mimi nimewaza hivi aiseeHuenda Koplo Saad alipotezwa ili kulinda maslahi ya wakubwa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]! Yaani mmeamua kuingia class kabisa