Kuna kamanda wa polisi amehukumiwa kunyongwa sababu alikuwepo eneo la tukio na ndie alietoa amri. Zombe yeye hakuwepo eneo la tukio na wala hakuna ushahidi uliomuonesha kama zombe alitoa amri watu hao wauwawe maana hata hao watu wakati wanakamatwa hakuwaona na hata wakati wanapigwa risasi hakuwepo pia