Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?


Kwa hivyo wale wazee wa Anatoglou waliokuwa wanapambana dhidi ya mwingereza walimchagua Nyerere kwa maelekezo ya mwingereza?. Nadhani umetoka nje ya mada.
 


AKILI NDUGU YANGU, AKILI.
 
Kama walik

Kama walikubaliana kumwachia Nyerere kwanini waliingia kwenye kinyang'anyiro Hadi akwashindwa hata kama unasema ni kwa kura chache

Hapo ndipo Mimi nashangaa pia. Yani Sykes wakubaliane kumuachia Nyerere halafu baadae aje agombee Tena. Hapo Mzee Said anatudanganya.
 
Vyovyote vile ila kwa akili za kawaida sidhani kama mwingereza alikaa tu pembeni akisubiri hatma bila kulinda maslahi yake. Pamoja na yote JN amefanya kazi kubwa mno kuliunganisha taifa. Nchi haina deni naye.

Kweli kabisa mkuu
 
Huwa sikisii:
View attachment 3080206

Hapo nyerere kawachwa kwenye mataa, Malkia anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.
Huyo Malkia hakumuona Sykes,au Sykes alikuwa hajui kiingereza?

Ilim kweli ilikuwa ni muhim sana tokea tangu na tangu.

Yaani mtoto wa Kijijini Nyerere anapewa attention na malkia kuliko mtoto born town tena Kariakoo kabisa Sykes?
 
Uteue waziri wa elimu Muslim ili akajaze madrasa badala ya madarasa?.

Nyerere alikuwa sahihi
 

Kweli mkuu, yule Mzee ni mwongo Sana.
 

Unaelewa maana ya Succession?. CCM imetokana na TANU na ASP, hivyo TANU ikafa ikazaa CCM.
 

I got you. Thanks
 
Kweli mkuu, yule Mzee ni mwongo Sana.
Eco...
Lakini mimi sijaandika "vijarida."
Mimi nimeandika kitabu na kikawa mashuhuri kwa kufikia kutiwa katika Cambridge Journal of African History.

Wala si mimi niliyokitangaza dunia nzima.

Kitabu kimetangazwa na mabingwa wa historia ya Afrika: John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan.

Nikaalikwa Northwestern University.

Nikatiwa katika mradi wa Harvard na Oxford University Press kuandika Dictionary of African Biography.

Nikatiwa katika mradi wa Nyerere Biography.

Nikatiwa katika mradi wa Magufuli kuandika historia mpya.

Hivi si vijarida.
Wala mimi si muongo.

Allah ameniepusha na sifa hiyo.
Alhamdulilah.

Lakini akutukanae hakuchagulii tusi.

Kalamu yangu imebadili historia ya uhuru wa Tanganyika.

Leo mnamsoma Abdul na Ally Sykes katika historia ya TANU na mnamsoma baba yao Kleist Sykes katika historia ya African Association.

Halikadhalika mnamsoma Sykes Mbuwane katika historia ya German Ostafrika.

Leo mnamsoma Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika historia ya kupigania uhuru halikadhalika mnamsoma Sheikh Suleiman Takadir.

Leo mnawasoma Denis Phombeah na Dome Budohi hawa mmoja anatoka Nyasaland mwingine Kenya kadi zao za TANU No. 5 na 6 na walikuwa viongozi wa TAA.

Nyaraka za Sykes zimetufungulia haya yote.
 
Hakuwa chocote bali mdini tu, dictator, funga mikanda miaka mia nane, mateso kwa watanzania hadi kuvaa magunia na kula mizizi, neema kwa watanzania ilianza kuonekana 1986 baada ya mzee Mwinyi kushika inchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…