Waislamu siyo wajinga kama wewe waliangalia hoja sio dini, ila kwa akili zako ungeangalia dini
waingereza ndio walimchagua Nyerere , kama ulikuwa hujui !! Mpango wa kuunganisha zenji na Tanganyika Nyerere alipewa maelekezo na waingereza ila sio akili yake ....Unajua kwa nn?
Kumchagua Nyerere ndio mtu pekee alikuwa brainwashed angeweza kuendeleza mipango yao ya kuwa kibaraka "'Puppet'' ....
Kulingana na mahojiano ya Tundu Lissu na mtangazaji wa ITV , Lissu alidai mara ya Mwisho CCM kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti kwa ushindani ilikuwa mwaka 1954 kati ya Julius Nyerere na Abdulwahid Sykes. Ambapo Nyerere alimbwaga Abdulwahid Sykes. Uchaguzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Anatoglou.
Swali la msingi ilikuwa ni kwamba ilikuwaje Nyerere amshinde Sykes ambaye alikuwa ni mtoto wa hapa Dar na baba yake alikuwa kiongozi wa TAA hapo kabla. Yani Nyerere kutoka Musoma aliwezaje kuwashawishi wajumbe wamchague yeye wamuache Sykes wa Dar.
Tusaidiane mbinu alizotumia Nyerere kushinda uchaguzi huo maana haikuwa rahisi.
Kama walik
Kama walikubaliana kumwachia Nyerere kwanini waliingia kwenye kinyang'anyiro Hadi akwashindwa hata kama unasema ni kwa kura chache
Vyovyote vile ila kwa akili za kawaida sidhani kama mwingereza alikaa tu pembeni akisubiri hatma bila kulinda maslahi yake. Pamoja na yote JN amefanya kazi kubwa mno kuliunganisha taifa. Nchi haina deni naye.
shweitan huyo atakwambia roma ilitumikaCc Mohamed Said karibu barzani
mzee Mohamed Said
Alipata kusema kwamba kina sykes walimuachia nyerere uenyekiti ili kuweka sawa uislamu na ukristo, na tanu isionekane ya wakristo tu.
Cc JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Huyo Malkia hakumuona Sykes,au Sykes alikuwa hajui kiingereza?Huwa sikisii:
View attachment 3080206
Hapo nyerere kawachwa kwenye mataa, Malkia anaongea na mtawala wa kweli, Joan Wicken, alipokuja Dar.
Uteue waziri wa elimu Muslim ili akajaze madrasa badala ya madarasa?.Unakua rais,unavunja taasisi ya waislam ya afrika mashariki,serikali yako,kwa miaka 25 haiteui waziri wa elimu muislam ila unateua padre kuwa waziri,na wanaofaulu na kupata elimu za juu ni watu wa dini yako kwa 75+%,mdini nani,nani mpandaji wa mbegu ya udini!?
Ni ile dhamiri yao ya kumdogosha mwalimuSio kweli. Mbona wakristo walikuwepo wengi tu.
Yule mzee nilikwishamdharau sana. Anataka kupaka rangi kwenye upepo. You can't undo history ya Tanganyika ambayo ndiyo iko kwenye syllabus ya NECTA kwa kuandika vijarida na kupeleka Ulaya kwenye idara za African history za vyuo vikuu vya huko. Hakuna lolote zaidi ya ujahidina Mohamed Said
Hilo haliwezekani,labda kwa watoto ambao hawajazaliwa bado ndiyo tuwaandalie mapito yasiyo na udiniKama nimekuelewa hii ni chanzo cha hizi hisia za udini lakini je ndo tubakie hapohapo? tunafanyaje kutoka hapo?
CCM ilizaliwa mwaka 1977 hiyo taarifa siyo sahihi, CCM ilitokana na muungano wa vyama vya Tanu na ASP.
Waislamu wakati wakudai uhuru waliweka mbele maslahi ya taifa tofauti na makabila mengine Kama wachaga waliotaka uhuru wa peke yao.
Waislamu waliokuwa na Nyerere ni wale waislamu kweli na sio Hawa wanaotanguliza udini mbele na kujiona wao ni daraja jingine.
Uhuru ulichangiwa na watu wengi na Nyerere aliendelea kuwatumia hasa linapotokea Jambo zito aliwaita na kushauriana nao pamoja na kwamba wengi hawakuwa na elimu kubwa walikuwa na hekima na busara.
And u think Nyerere was just a bum and dummy?
Nyerere was and is still the brightest mind Africa has ever produced
Nyerere's thinking and outta-this-world oration capacity was next to none...
In a minute he influenced all the voters to vote for him..
Stop this nonsense thinking Nyerere was in the same lower level Sykes was in....
It was like Mercedes Benz S Class compared to a beat up Toyota GX100...what a loss
Eco...Kweli mkuu, yule Mzee ni mwongo Sana.
Sasa mbona hao wagalatia wametujazia ushoga?Uteue waziri wa elimu Muslim ili akajaze madrasa badala ya madarasa?.
Nyerere alikuwa sahihi
Hakuwa chocote bali mdini tu, dictator, funga mikanda miaka mia nane, mateso kwa watanzania hadi kuvaa magunia na kula mizizi, neema kwa watanzania ilianza kuonekana 1986 baada ya mzee Mwinyi kushika inchiAnd u think Nyerere was just a bum and dummy?
Nyerere was and is still the brightest mind Africa has ever produced
Nyerere's thinking and outta-this-world oration capacity was next to none...
In a minute he influenced all the voters to vote for him..
Stop this nonsense thinking Nyerere was in the same lower level Sykes was in....
It was like Mercedes Benz S Class compared to a beat up Toyota GX100...what a loss