Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Alooo na third year yako ndio unatuandikia hivi kweli? Mwal kibibi alipokuwa anafundisha somo la mwandiko my dear ulikuwa wapi?

Mwandiko mbaya bana unachefua macho, uwe unaweka space ukiandika na ni lazima sio ombi.
Teacher wa advance cool down madam. Kidogo tu umepanic mwanafunzi wako alivyoanika alikumega akiwa advanced. (Natania teacher. [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Mi natafuta vumbi la kongo original..kuna ke wa Mchungaji ananichekea chekea ilihali mimi hata kanisa silijui ..so naomba mwenye contact la Vbi og AniPm tafadhari pia nashida sana na Khantwe
Looh...! Looh...! Mdogoangu achana na huyo mke wa mchungaji atakuletea mkosi tu. Mke wa mchungaji na hawa masister wa roma kaa nao mbali. (natania)
 
Teacher wa advance cool down madam. Kidogo tu umepanic mwanafunzi wako alivyoanika alikumega akiwa advanced. (Natania teacher. [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
😂😂😂 namsubiri aje anijibu
 
Mkwara mbuzi
Najua unatembea sana na wake za watu ila kuwa makini maana unatafuta balaa. Yule jamaa wa The mafiki unafikiri ni kitu gani kilimpata? Kamuulize Babu Seya na wanawe
Endelea kutafuna wake za watu wanyonge kuna wengine siyo wanyonge na utajikuta unapotea mapema unawaacha watu hapa duniani kwa starehe ya muda mfupi. Huyo ni mke wa mtu kwahiyo ni mali ya mtu na ukicheza na mali ya mtu. Utapigwa kama mwizi
Endelea kula wake za wanyonge tu maana hao hawana shida.
 
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa nimetengena na mpenzi wangu.Sasa ikatokea kuna Jamaa mmoja namjua ye mtu mzima kidogo,ila sababu ughaibuni watu mnakuwa marafik tu.Jamaa akanambia yeye wife wake ana rafiki,ana matatizo na mme wake na wanataka kuachana ila yupo lonely sana anahitaji company.Nikamwambia amlete,bas siku naenda kwao kumuona yule mwanamke kumbe mwaarabu,nilistuka kidogo,sababu alionyesha anajiheshimu sana,na nilitegemea angekuwa mbantu mwenzangu ndo nnaowapenda,lakin maji nishayavulia nguo sikuwa na budi kuyaoga.
Sikuongea sana siku ile sababu nilishindwa kutongoza kikawaida,ikabidi nichukue namba nikamwambia tutaongea kesho yako,nilitaka nimpeleke sehemu sio pale kwa rafik angu.baada ya kuaga sijafika mbali simu inahita,kuangalia mke wa yule rafiki angu analalamika kuwa yule mwanamke anafikili sikumpenda ndo maana nimeondoa alaka.ikabid nigeuze nikarudi kumchukua,tukapiga story sana alikuwa mzuri sana.Akataka siku ya pili aje tena,baharia nikawa nishasoma zamani,nikampa address aje home,siku ile yaani namgusa kumtoa koti,mwil wake unatetemeka ile mbaya,kumkumbatia tu kalegea kabisa!.Alikuwa na mwili mzuri yule mdada na nikagundua alikuwa ana miss sana mwanamme,na mi nilikuwa na ugwadu flani hiv,nikawa nampa dozi za uhakika.tulidumu karibu miezi 8,mpaka nikawa naletewa chakula nyumbani.
Sasa si ungeowa kabisa ama
 
Mwambie mwenzako,among haifuatani na 'OF',au Phd za huko nazo nikama ya mzee BABA wa jumba JEUPE?
Kumbe kwanini ukiwa unafanya master's au PhD lazima dissertation au thesis uipeleke kwa grammar checkers,,,,,,????? Sio kila mmoja n mtaalamu wa kiingereza kijana.....!!!!
 
Kwani nimewaambia watembee na mke wangu? Huyo ni mke wangu nimemtolea mahari na nimemuoa na pia namhudumia. Hakuna dhambi mbaya wala nzuri. Uasherati umekatazwa kwenye dini zote ndiyo maana unashauriwa uoe kama umeshindwa kujizuia ndiyo maana waislamu wanaruhusu hata kuoa wanawake 5. Duniani tunaishi kwa kutofautiana sana. Utakuta mwizi kaiba kuku kwa jamaa, na jamaa kamkamata na akumuachia bila kumfanya kitu chochote ila mwingine atakuua. Je, bata au simu inaweza kuwa sawa na uhai wa mtu? kama siyo sawa kawanini mtu anauliwa kwa kuiba bata?
KAMA VILE WEWE UNAVYOFURAHIA SANA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU NA MIMI PIA NAFURAHIA SANA KUTEMBEA NA WANAUME WANAOTEMBEA NA MKE WANGU.
Aiseeeee
 
Kumbe kwanini ukiwa unafanya master's au PhD lazima dissertation au thesis uipeleke kwa grammar checkers,,,,,,????? Sio kila mmoja n mtaalamu wa kiingereza kijana.....!!!!
Ukijua hivyo,unatakiwa uchague lugha ambayo unaimudu kuwasilisha yale ambayo wewe unataka kuwasilisha,usitumie lugha ambayo itakufanya ufanye makosa mengi ya lugha husika.Hiyo tabia ipo hata kwa mkubwa wa NJI hii.
 
Mgongo wake ulinichanganya,kumtupia ndoana akawa mkali lkn nikakomaa naye mpaka akakubali yaishe akaliwa,nilimpiga chini baada ya kuniambia nimle ndogo,bado kidogo nimuitie polisi wamkamate.
Nalog off
Mgongo au mkia,,,,alijua mkia wake umekuchanganya ndo maana alitaka kukupa washeli
 
Nilimla mke wa mtu kizalzal tu mwaka wa kwanza, first semista yote nmemla, kanipikia, kanifulia na kalala Sana geto.

Siku moja nligundua jina analotumia chuo si jina lake halisi, nilipomsach fb kwa jina lake, nakuta mapicha ya harus na mmewe na picha za mtoto wao anamiaka mitatu

Wanawake bwana aliniambia ye n singo maza, Kuna jamaa alimzalisha akakataa mimba.

Nliamua kumbwaga japo alinisumbua Sana. Hawa viumbe bana waajab sana
 
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
sasa huono utaumiza watu,maana kuna wanawake wwngine anakwambia mm si mke wa mtu au tumeachana au vile hawi muwazi;baharia unajiachia ngoma tunduni mzigo D unang'ang'ania.
 
Ukijua hivyo,unatakiwa uchague lugha ambayo unaimudu kuwasilisha yale ambayo wewe unataka kuwasilisha,usitumie lugha ambayo itakufanya ufanye makosa mengi ya lugha husika.Hiyo tabia ipo hata kwa mkubwa wa NJI hii.
We tambua kuna PhD candidates kibao n master's candidates wa kutosha lugha inawachemsha balaa....!!!!case clased
 
Back
Top Bottom