Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Najua unatembea sana na wanawake za watu ndiyo maana unaona uchungu sana kupigwa paipu kwa ajili ya matibabu. Ila kumbuka baadhi ya wanaume wake zao hawachukuliwi na wao wanawake wanalijua hilo. Tembea na mke wa mwanajeshi, hakimu, mkuu wa mkoa, waziri au polisi halafu uje utoe mrejesho. Kuna watu wamebambikiwa kesi na wamefungwa gerezani na hawajui watatoka lini gerezani kwa kutembea na wake za watu. Kuna wengine wameshakuwa vilema na wengine wamekufa kwa kutembea na wake za watu.
Ukisikia mke wa mtu ujue hiyo ni mali ya mtu ni sawa na kuiba mbuzi au simu kwa jamaa kwahiyo kuwa hai inatokana na huruma ya jamaa. Kama unafikiri mke wa mtu ni wa wote, nenda kwa mwanajeshi wa jirani yako halafu anza kumtania mke wake, mke wangu halafu uone kitakachokutokea.
CHA MTU MAVI
 
Duh! Ww jamaa hatar lakn wewe hujawahi kumla mke wamtu?
Acha roho mbaya cha mtu huliwa na mtu..

Ila umeniogofya aisee!! Ila ukinifanyia hvyo mm lazma nilipize tu hata kwa kuteka na kukupoteza kabisa
 
Mimi kuna binti mmoja wa kipare hana hata miezi mitatu kwa ndoa ila kanitunuku kisa mume yuko mbali nawasihi wanaume wenzangu hawa wake zenu waliohamia huku dodoma ni wepesi mno njoeni muwaokoe
Hawakatai hata hasa kwa sisi wamasai.
Ahahahaa
 
Unatutisha au? kuna waha wamechanjwa hadi kweny mkuyenge hzo dawa zako hazina maana
Mbona wa watu unakula
 
Mikwara tu hyo haituzui wahuni kufanya yetu

Mke hajesema mi kosa langu lipi hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…