Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Wanawake sio ndugu zako umekosa kazi ya kufanya mpaka kumuwekea dawa unadhani hataliwa? Unadhan mfano hyo dawa uliowekea watu wakiathirika watakua na akili hizo zakujua ni wewe? Watakuja kwako ? Je akimrubuni ndugu yako? Utamaliza wanaume wangap zaid ya kuchuma dhambi hujui ufiraj na uchawi ni dhambi mbaya? Zaid hata za huyo alietafuna mke wako?
Unafikiri Babu Seya na wanawe walifungwa kwa kosa gani? Unafikiri baba na watoto wanaweza kuwabaka watoto wote wale? na kipindi wanabakwa wale watoto walikuwa wapi? je, unaweza kuwakusanya wale watoto wote na mkaanza kuwaingilia bila majirani kujua?
- Yule jamaa wa The mafiki unafikiri aliuwawa kwa kosa gani?
Kuna watu wake zao huwa hawaliwi hata ukimla ukibainika lazima uache historia. Ni bora utembee na demu wa jamaa kuliko mke wa jamaa. Na kama umefika umri wa kuoa ni bora uoe kabisa kuliko kuanza kukimbizana na wake za watu.
MKE WA MTU SUMU
 
I was in texas when i was taking my Phd among of the universities in Town.
So i met someone we were so in love i was giving him to much support in our studies and in everything but when we are nearly finish our last semester he asked me to come in a good restaurant to talk and he ask me if i love him so much i told him yes and he apologise and tell me that he was married 2 kids.
I apologise and I left and thats was my finale love with married men.
Patricia story
😁Thesis uliiandika kweli?
 
Wanawake sio ndugu zako umekosa kazi ya kufanya mpaka kumuwekea dawa unadhani hataliwa? Unadhan mfano hyo dawa uliowekea watu wakiathirika watakua na akili hizo zakujua ni wewe? Watakuja kwako ? Je akimrubuni ndugu yako? Utamaliza wanaume wangap zaid ya kuchuma dhambi hujui ufiraj na uchawi ni dhambi mbaya? Zaid hata za huyo alietafuna mke wako?
Kwani nimewaambia watembee na mke wangu? Huyo ni mke wangu nimemtolea mahari na nimemuoa na pia namhudumia. Hakuna dhambi mbaya wala nzuri. Uasherati umekatazwa kwenye dini zote ndiyo maana unashauriwa uoe kama umeshindwa kujizuia ndiyo maana waislamu wanaruhusu hata kuoa wanawake 5. Duniani tunaishi kwa kutofautiana sana. Utakuta mwizi kaiba kuku kwa jamaa, na jamaa kamkamata na akumuachia bila kumfanya kitu chochote ila mwingine atakuua. Je, bata au simu inaweza kuwa sawa na uhai wa mtu? kama siyo sawa kawanini mtu anauliwa kwa kuiba bata?
KAMA VILE WEWE UNAVYOFURAHIA SANA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU NA MIMI PIA NAFURAHIA SANA KUTEMBEA NA WANAUME WANAOTEMBEA NA MKE WANGU.
 
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
Dah
 
W
Wa vyuo vingine wanaanza tarehe 21,saa hz kama demu wako kaaga anaenda kufuatilia vitu flani chuoni,jua atapewa kampani na msela,watalala wote hadi wamalize pepa,na ikiwezekana watashauriana wapange rum kama ni continuing students.
Dem wangu?? Kwanza mimi na yeye hatukufika Chuo.
 
Back
Top Bottom