RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,018
- 5,752
Critics wa bible ipi??? Unaijua bible ww..au umekaririshwa maandiko..Kwani cha ajabu ni kipi?
Kwani ukiamua kutembea hapa na Moro kwa mwaka mzima ukiwa na V80 unashindwa?
Si unatoka hapa unaenda Bagamoyo unakaa wiki, unarudi mpaka msoga unakaa mwezi unaenda chalinze unakaa mwezi ..... mwisho wa mwaka unafika Morogoro!
Tatizo critics wengi wa Biblia hawaijui. So huwa mnakosoa ambacho hamkijui. No wonder mnafanya mistakes za kitoto kama hizi!
Hii nadhani ni point ambayo watu hatupendi kuijadili lakini ndo ina majibu yote.Kwa ufahamu wangu gharika ilitokea eneo hilo na si ulimwengu wote sidhani kama Africa lilifika
Nimekaririshwa kama wewe boss!Critics wa bible ipi??? Unaijua bible ww..au umekaririshwa maandiko..
Apa walokole ndpo mnapofelig yaan, kutuaminisha vitu ambavyo haviwezekan na mnalazmisha viwwzekane bila kuwa na facts.Kisayansi...haiwezekani....
Ila kwa MUNGU Hata vilivyobebwa ni vidogo...ingeweza kubeba inavyotaka MUNGU..sio mtu...nenda kasome story ya LWANDA MAGERE..jinsi alivyoweka lita 3000 kwenye kibuyu cha kubeba mkononi....shida yetu technologia yetu ipo low sana
Hii ya gharika kuwa sehemu hiyo pekee na sio dunia yote sio kweli. Moja hakukuwa na haja ya Safina. Mungu angemwambia tu Nuhu, hama nenda eneo fulani. Lakini pia ukisoma habari nzima utaona hii kitu haiwezekani:Hii nadhani ni point ambayo watu hatupendi kuijadili lakini ndo ina majibu yote.
Huna hoja we kilaza njoo na assumption hapa kutetea hoja sio kulia lia na kuji defend unakuwa kama fa.laNimekaririshwa kama wewe boss!
Unapoteza muda wako bro. Mwizi hawezi kukiona kituo cha polisi hata kama kiko mbele yake. Mwizi hawezi kumwona polisi hata kama kavaa uniform na ana kitambulisho. Shida sio polisi hayupo, ila mwizi anajua maana ya polisi mzuri ni nini. Mwizi na polisi mzuri havichangamani.Apa walokole ndpo mnapofelig yaan, kutuaminisha vitu ambavyo haviwezekan na mnalazmisha viwwzekane bila kuwa na facts.
Jarbuni kuwa nje ya box, achen kufikir kama watoto wadogo
Sawa kilaza mwenzangu!Huna hoja we kilaza njoo na assumption hapa kutetea hoja sio kulia lia na kuji defend unakuwa kama fa.la
Bila shaka gharika haikuwa ya dunia nzima. ninavyfikiri mimi kale ka mvua kalinyesha pale mashariki ya kati na Ulaya mashariki tu. Maana kwa dunia nzima hayo maji yasingeisha. ardhi yote hadi leo ingekuwa ndani ya maji.Watu wa dini hapa mepigwa na kitu chenye uzito mkubwa.
Tukisema iliwezekana kiroho kwanini sasa isingenengwa tu ya futi moja ili kuonyesha uwezo mkubwa zaidi wa Mungu na kumpunguzia kazi Noah?
Kwa hiyo hii ni hadithi ya uwongo?Soma kwa ufahamu. Hakuna mahali Biblia imesema Nuhu achukue kila "species". Kwanza hata hiyo categorization ya species ni recent and never existed back then. What's so hard to understand?
Read what the Bible says and then criticize if you wish what the Bible ACTUALLY SAYS not your strawman version of it. Go read again that verse and if you find anything to do with SPECIES then there is something to discuss. Otherwise the whole premise is a lie and smear just to make the Bible look stupid. Only gullibles get caught by such juvenile fallacious argument
Huo urefu wa Noah's ark ni sawa na WA tanker la mafuta, zaidi ya urefu wa uwanja mmoja na nusu wa mpira goli mpaka goli, hamna Jinsi yakuitengeneza kwa mbao structure kama hiyo.Wasalaam.
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua iliwezekanaje safina ambayo ina urefu wa futi 500 waweze kuingia wanyama wote hao? Tena na chakula chao?
Naamini jukwaani hapa kuna wajuzi wengi tutasaidiana kujadiliana.
View attachment 2084003
Hakuna hadithi hapo. Hiyo ni historia na ndivyo ilivyotokea. Sema buji kapotosha tu kwa sababu zake binafsiKwa hiyo hii ni hadithi ya uwongo?
Alafu nasikia huyo lazaro kuna watu alikuwa anawadai alipofufuka tu akaanza naoMbona hilo dogo tu, jiulize mtu aliekufa kwa siku tatu alifufukaje? Wakati damu, moyo n.k vilisimama!
Ya kaisari unamwachia kaisari, ya Mungu yanafanyika kwa uweza wa Mungu
Kastori katamuHuo urefu wa Noah's ark ni sawa na WA tanker la mafuta, zaidi ya urefu wa uwanja mmoja na nusu wa mpira goli mpaka goli, hamna Jinsi yakuitengeneza kwa mbao structure kama hiyo.
Ila Noah alikuwa shujaa kufuga Tembo wa wili kwa siku arobaini unahitaji sio chini ya Tani 12 za majani.... bingwa alitutusa zote peke yake!
jadili Kwa hoja .. Matusi ya nn ndg yanguHuna hoja we kilaza njoo na assumption hapa kutetea hoja sio kulia lia na kuji defend unakuwa kama fa.la
HeeeHakuna hadithi hapo. Hiyo ni historia na ndivyo ilivyotokea. Sema buji kapotosha tu kwa sababu zake binafsi