Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeuliza swali tuBado unaamini katika upuuzi unaoenezwa na bibilia hizi?
🤣 Aisee budaa umebadilika ghafla hiviTukio zima la Nuhu na adam ni uongo. Hayo matukio hayakutokea
Nimebadirika vipi mkuu?? Labda uniambie ili nirudi relini🤣 Aisee budaa umebadilika ghafla hivi
Pasingekuwa na sababu ya kutunza mbegu kama lengo si kuangamiza dunia nzima. Hata kwa lutu hakutoka na kondoo wala punda kwa ajiri ya kuendeleza kizazi cha wanyama. Pia maji hayawezi tengeneza mrima. Mfano mlima wa urefu wa mita 2000 toka usawa wa bahari ufunikwe wakati mji kama dar wanakula tu bata hawana habari na wapo bara moja.Aliweka wanyama wote duniani au baadhi ya wanyama?,(sehemu waliyopo wao) kwani yale mafuriko yalikuwa ni dunia nzima? mungu si ameandika kuwa adhabu inawapata wahusika tu, mfano kipindi cha sodoma na gomora ukisoma historia kulikuwa na mji mwingine, wakati nabii lut yupo nabii ibrahim alikuwepo, walikuwa miji tofauti. Adhabu iliwakuta watu wa lut tu, mji wa ibrahim haukudhulika
Hivyo naimani adhabu ilikuwa sehemu ndogo ya dunia(mji aliokuwepo nuhu tu) so inawezekana kukusanya hao wanyama.
OkMafuriko yalitokea kweli, mesopotamia, lakini yakapewa spritual concept miaka ya mbele na waandishi na mafarisayo