Iliwezekanaje safina ya Nuhu kubeba aina 7.7 million za wanyama?

Iliwezekanaje safina ya Nuhu kubeba aina 7.7 million za wanyama?

Mbona dimensions zake zipo kwenye biblia jamani....alafu ujue alitengeneza kwa miaka 40
Kwa kutumia kitu gani?, Maana hata iron age ilikua haijaanza?, Kipindi hicho ni stone age
 
Urefu aproximately 300metres upana 50 metres na ilikuwa ghora tatu ambayo floor moja approximate ni metre 7 kwa urefu.
Mwanzo 6 kuanzia mstari wa 15
Ukubwa wa aircraft carrier,,,, ndogo sana haitoshi
 
Umesoma hizo ngano za Gilgamesh au ndio yale ya kuhadithiwa na Google? Ungekuwa umeisoma usingeandika huu ujinga.

Unfortunately wengi mnanakili kwenye net bila critical thinking
Kunakuwa na stone tablet
 
Nyerere aliwahi sema kwa kunukuu!! ''lisilowezekan kwa Mungu kwa mwanadamu linawezekana"" sasa swali gani hili...........mbona hujiulizi uumbaji Mungu alikuwa akitamka tu ''iwe nuru ikawa nuru''
 
Kuna vitu vingi sana vya kiimani ukivichunguza kisayansi vinakataa; mfano, how comes BIKIRA achukue mimba bila kuondoa kwanza BIKIRA yake? Scintifically is impossible but was possible Kimungu; Kisayansi who can explan why mwaka uwe na siku 365.25?? why those 0.25? Wasomei wa Biblia wanajua sababu; Kisayansi iliwezekanaje wana wa Israel wapite katikati ya bahari na maji yasiwadhuru? Anyway, kuna mdau mmoja nimeona ka comment hapo juu kwamba, wana wa Israel walisafiri umbali wa sehemu ya mwezi 1 na wao wakatumia miaka 40; that is very true but pia swali lingene lingekua, hivi wazazi/mababu wa hao jamaa kwani walifikaje pale Misri bila kuptia baharini? Na mbona walitumia muda mfupi sana kwenda na kurudi Misri? Why watoto wao wakatumia miaka badala ya siku kadhaa? Again, kwenye hiyo hiyo SAFINA ya Nuhu, is like alitumia miaka 120 kuitengeneza, why muda mrefu namna hiyo? Yote haya sio kwamba hayana majibu but may be hayajibiki Kisayansi, wenye IMANI zao wana majibu hata sasa
 
Shida iko hivi watu tunataka kutumia mantiki kujibu mambo ambayo mantiki kamwe haiwezi kujibu, maana yako juu zaidi ya mantiki, maana mantiki iko very limited maana iko na ukomo so ni swali la kipuuzi tu kama lina nia ya kukana kila ambacho kinaenda tofauti na mantiki
 
Queen mary II inabeba watu 4309, lakini umejiuliza hao watu wamekaa kwa mpangilio gani? Space kiasi gani inabaki? Kuna vip humo, kuna nafasi ukumbi wa sijui nini na mazaga zaga kibao, ila mkiambiwa mshonane naimani mile zaidi ya watu laki wanakaa. Je kwa nuhu wanyama ilikuwaje, walishonana au waliwekwa kivip? Hilo moja pili, mnyama si sawa na mwanadamu, nafasi anayochukua njiwa au kunguru ni sawa na ya BIG SHOW?[emoji23]

Kuna jambo hapa inabidi wasomi wa dini watuweke sawa, je mafuriko ya nuhu yalipiga dunia nzima au pale pale walipokuwa wanaishi kina nuhu, kama ni pale pale inawezekana, sababu sio wanyama wote duniani kupatikana eneo moja, kuna viumbe, huenda alipakia wanyama wa eneo husika tu.? Hapo watusaidie tunaweza pata muafaka wa hili.
 
Queen mary II inabeba watu 4309, lakini umejiuliza hao watu wamekaa kwa mpangilio gani? Space kiasi gani inabaki? Kuna vip humo, kuna nafasi ukumbi wa sijui nini na mazaga zaga kibao, ila mkiambiwa mshonane naimani mile zaidi ya watu laki wanakaa. Je kwa nuhu wanyama ilikuwaje, walishonana au waliwekwa kivip? Hilo moja pili, mnyama si sawa na mwanadamu, nafasi anayochukua njiwa au kunguru ni sawa na ya BIG SHOW?[emoji23]

Kuna jambo hapa inabidi wasomi wa dini watuweke sawa, je mafuriko ya nuhu yalipiga dunia nzima au pale pale walipokuwa wanaishi kina nuhu, kama ni pale pale inawezekana, sababu sio wanyama wote duniani kupatikana eneo moja, kuna viumbe, huenda alipakia wanyama wa eneo husika tu.? Hapo watusaidie tunaweza pata muafaka wa hili.
Aliweka wanyama wote duniani au baadhi ya wanyama?,(sehemu waliyopo wao) kwani yale mafuriko yalikuwa ni dunia nzima? mungu si ameandika kuwa adhabu inawapata wahusika tu, mfano kipindi cha sodoma na gomora ukisoma historia kulikuwa na mji mwingine, wakati nabii lut yupo nabii ibrahim alikuwepo, walikuwa miji tofauti. Adhabu iliwakuta watu wa lut tu, mji wa ibrahim haukudhulika

Hivyo naimani adhabu ilikuwa sehemu ndogo ya dunia(mji aliokuwepo nuhu tu) so inawezekana kukusanya hao wanyama.
 
Kuna vitu vingi sana vya kiimani ukivichunguza kisayansi vinakataa; mfano, how comes BIKIRA achukue mimba bila kuondoa kwanza BIKIRA yake? Scintifically is impossible but was possible Kimungu; Kisayansi who can explan why mwaka uwe na siku 365.25?? why those 0.25? Wasomei wa Biblia wanajua sababu; Kisayansi iliwezekanaje wana wa Israel wapite katikati ya bahari na maji yasiwadhuru? Anyway, kuna mdau mmoja nimeona ka comment hapo juu kwamba, wana wa Israel walisafiri umbali wa sehemu ya mwezi 1 na wao wakatumia miaka 40; that is very true but pia swali lingene lingekua, hivi wazazi/mababu wa hao jamaa kwani walifikaje pale Misri bila kuptia baharini? Na mbona walitumia muda mfupi sana kwenda na kurudi Misri? Why watoto wao wakatumia miaka badala ya siku kadhaa? Again, kwenye hiyo hiyo SAFINA ya Nuhu, is like alitumia miaka 120 kuitengeneza, why muda mrefu namna hiyo? Yote haya sio kwamba hayana majibu but may be hayajibiki Kisayansi, wenye IMANI zao wana majibu hata sasa
Wanasayansi washasema, hakukua na exodus from egypt,,, wanetafuta jangwani pote kupata mabaki ya wsyahudi, maana wote waliotoka misri, walikufa kasoro haroun na watu wawili watatu, hakuna mabaki wala vyungu, wala nini,,,
Hivyo habari ya bahari ya shamu kutengana sehemu mbili ni story tu,,
Wamekagua chini ya bahari ya shamu, hakuna mabaki ya askari wa farao wala farao mwenyewe , wala well documented history ya wamisri, haielezi tukio la wayahudi kuondoka misri kwa maelfu
Wala farao wa kipindi cha moses jina lake halipo[emoji134]
 
Back
Top Bottom