Iliyokua Sodoma na Gomora ndio nchi gani siku hizi?

Iliyokua Sodoma na Gomora ndio nchi gani siku hizi?

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
moja ya hadithi ya kusisimua kwa biblia ni hii ya sodoma na gomora

Raia /wakazi wa hii mitaa walikua watenda dhambi wa kutupwa.

mapenz ya jinsia moja /ushoga kwao ilikua sio story manake walifanya na biblia imesema wazi.

unaambiwa Mungu alicheki sodoma na gomora akasema kama kuna watu 50 tu wasafi anapaacha vinginevyo atatoa adhabu kali.

nahisi alivyotizama hakuona hao watu 50 safi.yan wote ni watenda dhambi sugu

akafanya maamuzi magumu akapiga kibiriti sodoma na gomora yote ikateketea nyasi na wakazi mitaa hio wakawa majivu.

kwa kurelate na current situation ya dunia Amerika kusini ,USA na baadhi ya nchi za Uerope nazifananisha na sodoma na gomora.ya miaka hio

afrika na Asia naitoa haina sana dhambi
 
haipo Africa lazima ipo amerika au ulaya
Sodoma na Gomora ni miji ya kale inayotajwa katika maandiko ya dini, hasa katika Biblia. Miji hii inasemekana ilikuwa katika eneo la karibu na Bahari ya Chumvi, ambayo leo inadhaniwa kuwa sehemu ya maeneo ya kusini mwa Israel na kaskazini mwa Jordan, karibu na Ziwa la Chumvi. Katika hadithi hizo, miji hii iliharibiwa na Mungu kutokana na dhambi zake.
 
moja ya hadithi ya kusisimua kwa biblia ni hii ya sodoma na gomora

Raia /wakazi wa hii mitaa walikua watenda dhambi wa kutupwa.

mapenz ya jinsia moja /ushoga kwao ilikua sio story manake walifanya na biblia imesema wazi.

unaambiwa Mungu alicheki sodoma na gomora akasema kama kuna watu 50 tu wasafi anapaacha vinginevyo atatoa adhabu kali.

nahisi alivyotizama hakuona hao watu 50 safi.yan wote ni watenda dhambi sugu

akafanya maamuzi magumu akapiga kibiriti sodoma na gomora yote ikateketea nyasi na wakazi mitaa hio wakawa majivu.

kwa kurelate na current situation ya dunia Amerika kusini ,USA na baadhi ya nchi za Uerope nazifananisha na sodoma na gomora.ya miaka hio

afrika na Asia naitoa haina sana dhambi
Hiko Israel katika eneo linaloitwa "dead sea". Hiyo Dead-sea hahina kiumbe kinachoishi na maji yake yana chumvi zaidi ya mara kumi ya chumvi ya bahari!
 
moja ya hadithi ya kusisimua kwa biblia ni hii ya sodoma na gomora

Raia /wakazi wa hii mitaa walikua watenda dhambi wa kutupwa.

mapenz ya jinsia moja /ushoga kwao ilikua sio story manake walifanya na biblia imesema wazi.

unaambiwa Mungu alicheki sodoma na gomora akasema kama kuna watu 50 tu wasafi anapaacha vinginevyo atatoa adhabu kali.

nahisi alivyotizama hakuona hao watu 50 safi.yan wote ni watenda dhambi sugu

akafanya maamuzi magumu akapiga kibiriti sodoma na gomora yote ikateketea nyasi na wakazi mitaa hio wakawa majivu.

kwa kurelate na current situation ya dunia Amerika kusini ,USA na baadhi ya nchi za Uerope nazifananisha na sodoma na gomora.ya miaka hio

afrika na Asia naitoa haina sana dhambi
Sodoma na Gomorrah ni pale ufipa na vijana ,hakuna mji wenye zinaa kama kinondoni hapa Duniani

USSR
 
Sodoma na Gomora ni miji ya kale inayotajwa katika maandiko ya dini, hasa katika Biblia. Miji hii inasemekana ilikuwa katika eneo la karibu na Bahari ya Chumvi, ambayo leo inadhaniwa kuwa sehemu ya maeneo ya kusini mwa Israel na kaskazini mwa Jordan, karibu na Ziwa la Chumvi. Katika hadithi hizo, miji hii iliharibiwa na Mungu kutokana na dhambi zake.
kumbe ilikua sehemu ndogo tu manake hata nchi nzima ya Israel ni ndogo sana
Hiko Israel katika eneo linaloitwa "dead sea". Hiyo Dead-sea hahina kiumbe kinachoishi na maji yske yana chumvi zaidi ya mara kumi ya chumvi ya bahari!
 
kumbe ilikua sehemu ndogo tu manake hata nchi nzima ya Israel ni ndogo sana
 
Acha majigambo
 
Unapajua mbagala wewe..
Kuna sehemu wanapaita majimatitu... Huko watu wanatituana
 
Tizii sahv ni sodoma na gomora
Hilo halina ubishi usiku huu sahv kuna baikoko zinapigwa sehemu watu wanajisokomeka chupa mndkn huku wakicheza

Ova
 
Back
Top Bottom