Illuminatha Dominick asiposhinda Miss Tanzania Hashim L utatumbuliwa tu

hivi jina lake ni kirefu cha illuminat...natania tu
 
kumbe waonyesha nyuchi jukwaani bado wapo na mashindano yao?!!
 
Akishindwa nipo tayari kujitolea kumpa pole ya kumuoa bure.
 
Wasichana wa siku hizi 22-24 kama wabibi, tatizo ninini? Makeups au
 
Miss Tanzania iboreshwe... Mshindi apewe scholarship ya kusoma ulaya au usa ili wazazi waruhusu mabinti wakali wajitokeze sio kila siku tunashuhudia bibi bomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…