Illuminati or Perfectibilists in Tanzania

na ambao hawajafika vyuoni je?

Ndio kazi ya elimu na Mitaala duniani Mkuu ndio financier wa research zote muhimu kwa ajili ya kukufanya uwe katika order.

Hata kufundishwa 2x2 = 4 ni kukuweka katika order
 
Illuminati na most of western secret societies zilianza Rome baada julias ceasar kuwa supposedly stabbed to death

Conspiracy theorists wanasema ceasar ali survive lile tukio la Brutus na akaendesha Roman empire kwa zaidi ya miaka kumi kutumia hizi secret societies

Lengo lao ni total world domination na kuressurrect a new Roman empire
 

Nimepend sana argument yako, ila ungefafaua kidogo hapo juu kwenye bandiko lako, je kama wanakuwa wema kwa watu wanapitisha nini chao tena ambacho bila kuwasogelea wanaopewa msaada hawawezi kufanya?
 
Where are they in Tanzania
 
Ushaambiwa ni secrete society ina maana kwamba utekelezaji wa mambo yao ni siri mno. Sasa kama mmeshazijua siri hizo haiwezi kuwa ni secrete society tena. Acheni kuwa wa vivu wa kufikiria, hakuna anaeijua freemason ama so called illuminate or any other secrete society zaidi ya wale ambao wapo katika kundi hilo.
 
Fabians ndio progenitors forerunners wa Labour Party. Ukitazama malengo yao;ya kufuta mipaka ya nchi,kuondoa serikali zote,kuunda World Government,hakuna tofauti kati ya malengo,manifesto ya Fabians na Illuminati.Kuhusu Mwalimu na yule Secretary wake,Mama Wicken,kama walikuwa members of the Fabian Society,that is just something that could hsppen in the ordinary course of events. Huko North America na Western Europe,KWANZA unakuwa Freemason,halafu ndio unapata cheo. Hii nimesoma katika Brittanica Encyclopedia.
 
Kwanza nashangaa katika kamusi kuona Illuminati wanajiita Perfectionists. Kwa sababu wale watu wanamwamini Lucifer. Adam Weishaupt alikuwa Jesuit priest,alivyogombana na Jesuits,ndio akaanzisha ili afanye kila kitu kinachopingwa na Jesuits. Kwa hiyo nasema ni kichekesho Illuminati kuitwa perfectibilists,neno ambalo labda wamelitunga wenyewe. Ukisoma Code of Illuminati utaona Weishaupt anawasisitiza Illuminati kuwa na 'virtue'. Lakini 'virtue' katika Illuminati maana yake kuwa ruthless,ukiwa mkatili ndio unapata cheo haraka katika organization yao.
 
Inaonesha wazi kabsa kuwa hufahamu kwamba hao conspiracy theorist ndio waliokufahamisha kwamba "there's GOD" na wakakupa materials za kimaandishi uwe unapitia pitia kidgo ili umfaham zaidi GOD. ukibisha ntashangaa sana.
 
Inaonesha wazi kabsa kuwa hufahamu kwamba hao conspiracy theorist ndio waliokufahamisha kwamba "there's GOD" na wakakupa materials za kimaandishi uwe unapitia pitia kidgo ili umfaham zaidi GOD. ukibisha ntashangaa sana.
Word...!
 
jamanyh! iam looking 4 those guys illuminat I need 2b amember pls assist.
 
Naomb uwek hiko kitabu here
 
Watu hawajui role ya Jesuit na pope vizuri.

Upo vizuri. Umewahi check similaraties za signs zilizop vatcn n macc??

Jesuit knight temp ni ndugu tu hao
 
Hapa bongo wapo kitambo sana
 
daaah na kuna wimbo wa jay z unaitwa holy grail
Watu hawajui hata holy grail ni nin ila tunashabikia haka ka wimbo ukiskiza ndani kuna vijimafumbo vinavyolink na hizi societ n lucifer
 
Point of correction

New world oder sio societ ni agenda
 
upo sawa kabisa ungekuwa karibu ningekupa zawadi
ukiwa insider unakuwa unajua kinachoendelea watu wa kawaida ndani ya lile kusanyiko la kuabudu halielewi nani anayepull the strings behind the curtains
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…