na ambao hawajafika vyuoni je?
nyerere kuwa mtetezi wa wanyonge au mpigania uhuru safi haimaanishi kwamba anaweza asiwe illuminatila ulitakiwa kumtaka mtoa maneno hayo kuthibitisha kinagaubaga na sio kumshambulia kwa hoja ambazo nazo zina walakiwi kuziamini.
kwani wewe hujasikia illuminat kuwa wanajifanya watu wema sana watoa misaada wazuri na wapenda sana shughuli za kijamii? katika kuyafanya hayo basi humo humo wanafanikisha azma zao.
sitaki kusema nyerere alikuwa wala hakuwa nachosema si vyema kumbishia mtu ila ni busara kumtaka atoe maelezo ya kutushawishi zaidi.
Where are they in TanzaniaConspiracy theorists believe there's an elite group of powerful peoples who controls the world. Illuminati People are freethinkers, with Enlightenment, and intelligent. Do we have these Illuminati in Tanzania? People who controls everything, predict our future etc....and who are the members ? or Illuminati elite do not exist in Bongoland?
Masa
Inaonesha wazi kabsa kuwa hufahamu kwamba hao conspiracy theorist ndio waliokufahamisha kwamba "there's GOD" na wakakupa materials za kimaandishi uwe unapitia pitia kidgo ili umfaham zaidi GOD. ukibisha ntashangaa sana.The only being which can control everything at the same time, and which knows what the future holds for you is GOD, any being or thing than this is the counterfit. The conspiracy theorists and whoever they are, and who have been there in the history, are nobody else but mind freaks who try to dictate the way we should live, conduct ourselves and the list goes on,,,,,. So my friend watch out whilst you want to fall into their trap of dependence on what you should do according to what they want.
Word...!Inaonesha wazi kabsa kuwa hufahamu kwamba hao conspiracy theorist ndio waliokufahamisha kwamba "there's GOD" na wakakupa materials za kimaandishi uwe unapitia pitia kidgo ili umfaham zaidi GOD. ukibisha ntashangaa sana.
Napenda kujua zaidi kuhusu haya mambo, kama una materials ningependa kupata zaidi
Naomb uwek hiko kitabu hereMkuu
FreeMason na Illuminati zote hizi ni secret socities zinazojitegemea. Freemasons haiko ndani ya Illuminati. Kumbuka zipo nyingi sana na hizi ndizo zinazoongoza dunia kisiasa na kiuchumi. Nitakutajia chache....Skull and Bones, Bilderberg group, Knights Templar, Opus Dei, SCAN, New world Order etc etc...Kila society ina taratibu zake na sheria zake. Ziko tofauti kulingana na imani. Kuna vitu kama 5 vinavyofanana kwenye hizi societies
Member anapokiuka basi hupewa adhabu kali, kama kifo, eyeballs pierced and even feet being flayed.
- The oath of secrecy
- Oath against division
- Oath of absolute obidience
- Oath of Honest
- oath of support
Ukitaka zijua tafuta vitabu hivi The Da vinci code na Holy Blood, Holy grail
Kuna kitabu nasoma cha Sylvia Browne ameelezea sana......kuna maraisi wa nchi nyingi na most powerful peoples wako kwenye hizi secret societies
Watu hawajui role ya Jesuit na pope vizuri.Ni kweli kwamba ni taasisi zinajitegemea, lakini kitu kimoja ni kwamba taasisi zote hizi zinapata amri (command) kutoka kwa mtu mmoja. Kimuundo kuna 'inner circle' na 'outer circle'. Kwa taasisi zote, ukiwa mwanachama kwenye 'outer circle' huwezi elewa kinachoendelea, ila ukiwa mwanachama kwenye 'inner circle' ndo hapo unajua siri zote na unakula kiapo ambacho ukikivunja adhabu yake ni mauti. Taasisi hizi zote zimeanzishwa na 'Jesuits order' na ziko controlled na Jesuits chini ya "Black pope" aka, Superior General; na Jesuits ni taasisi ndani ya Vatican.
Hapa bongo wapo kitambo sanaplz ova plz watz wenzangu,hawa freemason wapo toka zaman sana hata hvyo hatupaswi kuogopa uwepo wao bali tusijiunge nao na kuchukua tahadhari,nashangaa watu kugeuza vitisho na watu kumshuku mtu flan ni memba,cha msingi kumtumai Mungu coz kila siku anatulinda na wachawi,sumu,magonjwa nk.
Watu hawajui hata holy grail ni nin ila tunashabikia haka ka wimbo ukiskiza ndani kuna vijimafumbo vinavyolink na hizi societ n luciferdaaah na kuna wimbo wa jay z unaitwa holy grail
Point of correctionMkuu
FreeMason na Illuminati zote hizi ni secret socities zinazojitegemea. Freemasons haiko ndani ya Illuminati. Kumbuka zipo nyingi sana na hizi ndizo zinazoongoza dunia kisiasa na kiuchumi. Nitakutajia chache....Skull and Bones, Bilderberg group, Knights Templar, Opus Dei, SCAN, New world Order etc etc...Kila society ina taratibu zake na sheria zake. Ziko tofauti kulingana na imani. Kuna vitu kama 5 vinavyofanana kwenye hizi societies
Member anapokiuka basi hupewa adhabu kali, kama kifo, eyeballs pierced and even feet being flayed.
- The oath of secrecy
- Oath against division
- Oath of absolute obidience
- Oath of Honest
- oath of support
Ukitaka zijua tafuta vitabu hivi The Da vinci code na Holy Blood, Holy grail
Kuna kitabu nasoma cha Sylvia Browne ameelezea sana......kuna maraisi wa nchi nyingi na most powerful peoples wako kwenye hizi secret societies
gama wa mpanda katavi?Napenda kujua zaidi kuhusu haya mambo, kama una materials ningependa kupata zaidi
nhahahahaaaaroserection ndo nn tena.? upanga sehem gan..?
upo sawa kabisa ungekuwa karibu ningekupa zawadiKuna secret societies nyingi sana, ila jambo moja la kufahamu ni kwamba zote zimeanzishwa ili zifanye kazi kwa siri kwa malengo maalum (undercover operations). Societies zote hizo zimeanzishwa na Jesuits Society (au Jesuits Order). Katika ngazi ya juu ya taasisi hizi (Inner circles) zinaripoti moja kwa moja kwa "Black Pope" (aka Superior General ) ambaye ndiye mkuu wa Jesuits Society. Kwa kuwa Jesuits Society in taasisi ya ndani ya Vatican, ina maana kwamba kiongozi wa kanisa Katholic (Pope) yeyote yule ni lazima awe mwanachama wa Jesuits. Kwa kuwa Jesuits wanafanya kazi (undercover) kwa niaba ya Vatican. Utagundua pia Jesuits ndio walianzisha uislam. Catholic and Islam have one goal, one purpose, one objectives (At the inner circles), ingawa waumini walio wengi hawajui kinachoendelea kama ilivyo kwa secret societies nyingi.
Ukitaka kujua zaidi jinsi wanavyofanya kazi fuatilia presentation hii (well referenced) Much has been written on secret societies and there are numerous speculations as to which powers control them. The nature of secrecy is such that the real power behind the power should remain exactly that-Secret. In this lecture, clear evidence is pr
Pia How Islam is connected to the New World Order Movement