Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Hahahaha! Mshenga bana! Umemuona mpwa anajivinjari nini? Mpwa leo TANESCO wamempatia habari yake.
nimemwona apo juu ananyata kama kawaida....kiongozi hawa Tanesco we acha tu....wasije wakasabbaisha bia zikakosa ubaridi mida mida!😀