I'm going through hell!...should i keep going?

hiyo company hainifai mana naona heineken zimepigwa marufuku mapema, nifikirieni na Ballantin bac.

mtandao huo nyamayao ni nzuri zaidi tusionane!labda kama kila mtu awe anajinunulia..............πŸ˜€
 
 
Geoff ukifika home leo utamwambia nini wife ? teh teh teh naamini utatoka JF mashaka moyoni yameisha chini ya Jopo zima la washauri na watani wako
 
mtandao huo nyamayao ni nzuri zaidi tusionane!labda kama kila mtu awe anajinunulia..............πŸ˜€


holalaaa nimecheka mbavu cna, okay basi itabidi tusker/ ndovu.
 
 
 
Geoff ukifika home leo utamwambia nini wife ? teh teh teh naamini utatoka JF mashaka moyoni yameisha chini ya Jopo zima la washauri na watani wako
we acha tu dada angu!i can't wait to get there!
 
Geoff ukifika home leo utamwambia nini wife ? teh teh teh naamini utatoka JF mashaka moyoni yameisha chini ya Jopo zima la washauri na watani wako
Good qns,
lakini usisahau kupitia maua na wine pleeeeeees,
 
Geoff ukifika home leo utamwambia nini wife ? teh teh teh naamini utatoka JF mashaka moyoni yameisha chini ya Jopo zima la washauri na watani wako
Good qns,
lakini usisahau kupitia maua na wine pleeeeeees, maana nauhakika muamala ushatema, so there should be no problem ku make sure this night is not forgotten.
 
Good qns,
lakini usisahau kupitia maua na wine pleeeeeees, maana nauhakika muamala ushatema, so there should be no problem ku make sure this night is not forgotten.


so you can suggest ingredients for tonigh'ts recipe:
1. wine (white/red; strong/light)
2. Flowers (roses?)
3............
4.............
5. Tabasamu
6.............
7................
 
sasa jamani mbona mie mnanifanyia hivyo, kama round kreti c mnipe kitu roho yangu inataka?
tatizo mimi nina allerg nazo!mtu akinywa hizo kwa pesa yake ndo huwa zinanoga.....!πŸ˜€
 
sasa jamani mbona mie mnanifanyia hivyo, kama round kreti c mnipe kitu roho yangu inataka?
Jamani msimunee nyamayao jamani, tafadhali mwacheni nae rroho yake ifurahi maana kazi aliyoipiga hapa leo si mchezo!
 

dah!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…