I'm into you....

yap, kids skul, kaka(hboy) likizo, mhhh nikaribishe ulipo bac uniliwaze jamani....

.......Nyamayao kauli nzito hii, ngoja nitoe miwani nisome vizuri....lol...
mapigo ya moyo yameenda fasta kweli, lol..
hebu acha utani wako bana..............utaniua jamani...
 
Kwani wewe ni shoga?Au ID yako haimaanishi jinsia yako?If wewe ni shoga sifagilii TiGO!

Umeenda mbali sana! It can be for drinks ...outing etc etc etc vipi tena mkubwa?
 
.......Nyamayao kauli nzito hii, ngoja nitoe miwani nisome vizuri....lol...
mapigo ya moyo yameenda fasta kweli, lol..
hebu acha utani wako bana..............utaniua jamani...

ctanii, mbona unataka kuchezea bahati, haiji mara mbili eti., au unataka mie nikukaribishe nikuliwaze?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…