I'm looking for matured Man to be my husband

I'm looking for matured Man to be my husband

Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Kula jeuri yako, viburi na ujuaji ndo vinawaponza sasa zeeka hivyo hvyo, na wote utaowapata hapa watakupinga mkuyenge na kukuacha
 
Kupunguza usumbufu wa watoto ungeweka umri wa kuanzia
Mmedate na Wanaume waliwazidi miaka 5---10 ..

Finally mmevunishwa mambo ya ajabu ajabu


.... Ifikie wakati sasa, Mmtizame mwanaume katika Upekee wa Alichokibeba kichwani kwake ,Busara zake na kuhekimika kwake.



In fact haingii akilin, wewe uwe na miaka 33.... Alafu utegemee kupata mwanaume wa miaka 35+ ambaye hajaoa ???

Na kama utampata, Usikurupuke kumpa Uchi,, Jiulize NI kwann mpaka hapo yuko pekeake???.


Katika Dunia yetu iliojawa na Visanga vya kila aina...

Dear, napenda kukuhimiza regardless ya Age yako, Bado bado bado UNA NAFASI YA KUCHAGUA NAKUA NAKILE KILICHOBORA, kikubwa nikuacha Akili nifanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja. Ila nadhani hili ni suala na kisaikolojia, mimi binafsi siwezi kuvua nguo mbele ya mtu niliyemzidi hata kama ni mwezi mmoja. Naona aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwan Khantwe, kipimo cha Utu uzima kinaanzia wapi ? Yaan mpaka uwe na MTU alokuzidi Umri ndio ujihisi upo kwa mahusiano???.

Noo noo . nadhan hii ni tamadani tuliyonayo waafrika , Ili mradi mapenzi yamewakolea, ilimradi mnafurahi, ili mradi kila mmoja ameridhika na Mwenzake then ni kuacha moyo upende kama vile hukuwahi kupenda huko nyuma.


Iyo saikolojia ,nadhan nisababu hajapatikana MTU wa kukuprove wrong , but one day utajishangaa kwann upo ktk mahaba thabiti namtu ulomzidi Umri.



Khantwe, Mwanaume anakupenda kwa dhati, mapenzi Yake ni dhahiri kwako, yuko really kwako, anakujali ,kukuheshimu nakukuthamin , MWANAUME anayehitaj kufanya familia nawee...

Kwann umuhukumu kwa Umri wake, ?? Kwann usifikirie juu ya kile ulichonacho wewe ambacho kimemvutia kwako nasio mabinti wadogo????.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmedate na Wanaume waliwazidi miaka 5---10 ..

Finally mmevunishwa mambo ya ajabu ajabu


.... Ifikie wakati sasa, Mmtizame mwanaume katika Upekee wa Alichokibeba kichwani kwake ,Busara zake na kuhekimika kwake.



In fact haingii akilin, wewe uwe na miaka 33.... Alafu utegemee kupata mwanaume wa miaka 35+ ambaye hajaoa ???

Na kama utampata, Usikurupuke kumpa Uchi,, Jiulize NI kwann mpaka hapo yuko pekeake???.


Katika Dunia yetu iliojawa na Visanga vya kila aina...

Dear, napenda kukuhimiza regardless ya Age yako, Bado bado bado UNA NAFASI YA KUCHAGUA NAKUA NAKILE KILICHOBORA, kikubwa nikuacha Akili nifanye kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan Khantwe, kipimo cha Utu uzima kinaanzia wapi ? Yaan mpaka uwe na MTU alokuzidi Umri ndio ujihisi upo kwa mahusiano???.

Noo noo . nadhan hii ni tamadani tuliyonayo waafrika , Ili mradi mapenzi yamewakolea, ilimradi mnafurahi, ili mradi kila mmoja ameridhika na Mwenzake then ni kuacha moyo upende kama vile hukuwahi kupenda huko nyuma.


Iyo saikolojia ,nadhan nisababu hajapatikana MTU wa kukuprove wrong , but one day utajishangaa kwann upo ktk mahaba thabiti namtu ulomzidi Umri.



Khantwe, Mwanaume anakupenda kwa dhati, mapenzi Yake ni dhahiri kwako, yuko really kwako, anakujali ,kukuheshimu nakukuthamin , MWANAUME anayehitaj kufanya familia nawee...

Kwann umuhukumu kwa Umri wake, ?? Kwann usifikirie juu ya kile ulichonacho wewe ambacho kimemvutia kwako nasio mabinti wadogo????.




Sent using Jamii Forums mobile app
You have spoken my mind.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom