Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kikubwa be strong na usijipe umuhimu kwenye maisha ya mtu.Naelewa kabisa
KabisaBaadae sana yani sana utakuja kugundua jinsi ulivyopoteza muda wako
For now sikulaumu
zamu yangu ilishapita muda sana miaka hiyo sasa hivi nawaangalia vijana yanavyowatesa ila ndio wanajifunza.😂😂Itakuwa wewe ndo unafanya asisalimiwe,, zamu yako yaja
Kumbe ndio iko hivi?Nieleweni wanaume.
Kuna wanawake aina kuu 2.
1. Anakuja kwako akitegemea kurina asali na mwanzoni atakuonyesha mahaba sana.
Akigundua huna hiyo asali..pesa anakata mguu.
2. Huyu anataka mtu sahihi, mwanzoni atakuzingua akikupima kwa vigezo vyake.
Akigundua kuwa wewe u mtu sahihi kwake..yeye ndio kila muda atakuwa anakutafuta...
Mwanaume unapaswa umtafute mwanamke mwanzoni, jenga misingi imara.
Ukimaliza inakuja zamu yake yeye kukutafuta kila mara..honey, baby, mume wangu.
Kama haya hayapo, kimbilia pori jingine
😂😂😂😂hapo sawami siwazi nakaa kwa password akizingua naendelea na maisha yangu.
Mapenzi matamu ila yakiingia nuksi hayafaizamu yangu ilishapita muda sana miaka hiyo sasa hivi nawaangalia vijana yanavyowatesa ila ndio wanajifunza.
😆😆😆😆Wanakuwaga na mapenzi ya kitamthilia hawa ukimsimulia tatizo lako analia kama kafiwa😂😂😂 tena analia kwa kinglesa,,
nisikuchoshe bro,sio mgumu ila kwenye mapenzi kadri unavyozidi kumuonesha upendo ambae anakuignore ndio unazidi kumfukuzia mbali.
atajua yeye si aliniringia anae mtu wake nilimwambia nampenda yeye na bwana ake ila kwa upepo huu naouona huyo mwenzie namuonea huruma sana, hizi simu hizi basi tu ila mtu akisha kunyima uhuru kwenye mapenzi achana nae😂😂😂😂hapo sawa
Ila usimfuje sana dada wa watu
Enzi hizo😆😆😆[emoji1787][emoji1787] seems una- experiences za ku'date na watoto wa bus za njano!
sina namna mkuu nimekaa mda sana bila hiyo kitu mpaka nikahisi mzee baba anaweza asifunctionnisikuchoshe bro,
piga ile kitu mpaka ukinai😂
Wengine kama sisi, sex sio kipaumbelesina namna mkuu nimekaa mda sana bila hiyo kitu mpaka nikahisi mzee baba anaweza asifunction
Mwanaume wa kulia mie hapana simtaki anionee huruma ila sio kutoa machozi yale mengi tena mbele yangu namshusha vyeo vyote😆😆😆😆
Ndio wazuri hao ila sio kila muda, mapenzi yanahitaji heka heka😂😂😂sasa unakuta amepoa unakua huna ata amsha amsha nae
Tuanzie hapa au siyo😆Una umri gani?
Embu tafuta wa kwako bana😒atajua yeye si aliniringia anae mtu wake nilimwambia nampenda yeye na bwana ake ila kwa upepo huu naouona huyo mwenzie namuonea huruma sana, hizi simu hizi basi tu ila mtu akisha kunyima uhuru kwenye mapenzi achana nae
tatizo moyo na wengi tunajifunza kwa majuto na maumivuMapenzi matamu ila yakiingia nuksi hayafai
Mapenzi hayajali umri jamaniTuanzie hapa au siyo😆