mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nitasema tu siku moja najikusanyaSema, upone
kwa sasa aibu imenilemea😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitasema tu siku moja najikusanyaSema, upone
jichanganye usitafute hela ujione simba kumbe swala. Hayana umri lakini kuna umri ni mzuri kufanya maamuziumenigusa jamani
sijui hata nisemeje😂
😂 usione aibu.nitasema tu siku moja najikusanya
kwa sasa aibu imenilemea😂
tunakatana moyo sio😂jichanganye usitafute hela ujione simba kumbe swala. Hayana umri lakini kuna umri ni mzuri kufanya maamuzi
ipo siku mama usijali....😂 usione aibu.
😆😆😆😂😂Hii ni fedheha walahi ndo maana huwa sitaki kukaza mshipa wa kushauri mtu aliyezama penzini
😂😂😂😂Huku Junia yupo kuililia pisi ya muhuni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hapana ila hayamkuti mbuzitunakatana moyo sio😂
[emoji16]Tafta mafuta ya nazi halafu piga punyeto mwanangu
Maisha mafupi haya enjoy
Mwanetu hawezi teswa na mapenzi na sisi tupo[emoji16]
Tushaumbuka ngoja nikanywe maji mengi nifanye hata kazi ya kukojoaaaaaa😆😆😆
Naona katoweka kabisa, hapa tunatwanga maji kwenye kinu
I’m out foshuaaaaaa
😂😂😂hapana ila hayamkuti mbuzi
au nasema uongo?😂😂😂
Hapana, kabisa.au nasema uongo?
ndio hvyo yanatukuta sisi binadamuHapana, kabisa.
Junia haoni😂😂😂Usisumbuliwe na mtu asiyekupa thamani yako.
First ignore her, see her reaction...
Then walk away...
Kwani wewe huoni kwamba ana mwamba mwingine huko?