Ipi ni saini yake ya kweli ???
Mkuu kunamtu alisema hum JF kuwa IQ ya watanzania ni ndogo, watu wakaponda kwel, lkn ukwel unajidhihilisha wenyewe!tutafika tu!Tanzania kila kitu ni kugushi tu,matokeo form 4 feki ARVs feki,naibu waziri wa fedha anatumia jina feki,kifo cha barali kilikuwa feki,rasimu feki,muungano feki hadi sahihi ya nyerere ni feeki!!
Sasa siye tutajuaje sahihi halisi ya Kambarage? Kwa faida gani?
R I P Ghadafi bila wewe sijui faidha angeweka picha gani
Unajuwa kuwa ukoo wa Nyerere wana tatizo la akili, mpaka wanawe wengine ni machizi kabisa.
Baada ya kufuatilia kwa makini attachment yenye sahihi tofauti za mwalimu zilizowekwa hapa inaonekana kabisa kwamba hizi mbili hapa zimefojiwa. mwandiko ni tofauti kabisa. Kitu kikubwa kinachozitofautisha na sahihi orijino za mwalimu ni hiyo herufi ya mwanzo J. Mwalimu alikuwa anandika J kwa kujiachia na J yenyewe ina mkia mkubwa katika signature zote original lakini hizi nyingine mwandiko sio wa kujiachia na J iko tofauti sana na nyingine.
Cha kujiuliza ni kwamba nani alifoji signature hizi na kwa lengo gani?
Mambo ya kisheria hayaendi hivyo. Maana ya kuwekwa sahihi ni kuwa alieweka sahihi anakubali yaliyoandikwa. Sasa kama huna uhakika wa sahihi uhakika wa kilichoandikwa utapatikana vipi?
Kuhusu muda na kubadilika maandishi nakubaliana nawe lakini basi na iletwe document nyengine aliyoisaini kipindi hicho nyuma zilinganishwe!
Mpendwa kwako si mpendwa kwa wengine. Kama vile ilivyo kwa Kikwete, mpendwa wetu lakini wengine humu wana husda nae za wazi wazi tena ukilinganisha kwa miaka 24 ya Nyerere madarakani hajafanya hata 10% ya aliyoyafanya Kikwete kwa Tanzania kwa miaka 8 tu.
Umedandia tren kwa mbele hujui ukinenacho. Utamfananisha Mwalim na Jk? Amefanya nini kitaifa for individual tanzanian cha kuweza kulinganisha? Umezaliwa jana na uelewa wako ni mdogo sana. Topic ni juu ya forged signature kwenye hati ya muungano na wewe unaleta nyuzi out of topic.
FaizaFoxy, wadau wa JF wanakufahamu kuwa wewe ni anti-nyerere kwa 'sababu zako fulani fulani'. Jadili mada, weka itikadi na chuki pembeni. Wote wamekuwa viongozi wa hili taifa kwa vipindi tofauti. Wote wamekuwa na mchango wao kwenye ustawi wa jamii yetu. Uimara wa taifa letu ni kutokana na viongozi waliotangulia na waliopo pamoja na madhaifu yao mbalimbali ya kibinadamu.
Nikisema humu muungano feki mlikuwa hamnielewi, saa hizi mnahaha, tukiwaambia yule mzee alikuwa majanga hamtuelewi, kaiuwa Tanganyika sasa mnaitafuta kwa udi na uvumba.
Jifunzeni kutoka kwa Wazanzibari, hususan muwatetee wale uamsho, sasa ndio mtawaelewa uamsho walikuwa wanapigania nini.
Hiyo saini ya kwanza mbona ni ya Julius Mamihuri wa pale Mtaa wa Samora? Ni kijana mdogo sana kazaliwa miaka ya 80, anapenda kuvaa mapete ya gold. Sijui saini yake imefikaje Dodoma?!
Hiyo saini ya kwanza mbona ni ya Julius Mamihuri wa pale Mtaa wa Samora? Ni kijana mdogo sana kazaliwa miaka ya 80, anapenda kuvaa mapete ya gold. Sijui saini yake imefikaje Dodoma?!
Je. haiwezekani mtu mmoja akawa na saini zaidi ya moja katika matukio tofauti?
Marehemu Apiyo aliyekuwa Katibu wa Rais angekuwepo angetusaidia.
Mwalimu alikuwa na saini halali zaidi ya moja.
No wonder your not an accountant or a lawyer other wise you could know the alteration of signature what it means!
Hivi Wazanzibari wapo tayari kuishi Tanganyika Kama wageni, wafanye kazi na biashara km wageni, na kwakua mgeni hamiliki ardhi hapa nao waachie majumba yao ya Ilala Msasani Buguruni Kigamboni n.k warudi Unguja na Pemba? Hivi Zanzibar kuna soko la kubeba biashara wanazofanya bara? Hivi wanajua kuwa Watanganyika nao wakitumbukia nyongo hakutakua na kuvumiliana hata kwa kusema sisi tulishajenga na kufungua biashara tuachwe? Hivi wanajua Wazanzibari walio pata Passport bara watalazimika kuzirudisha otherwise waukane Uzanzibar. Na akiirudisha hata pata ya Zanzibar kwa kuwa si mkazi kwa miaka mitano pengine? Tukishiba tufikirie wakati wa njaa pia
Hivi Wazanzibari wapo tayari kuishi Tanganyika Kama wageni, wafanye kazi na biashara km wageni, na kwakua mgeni hamiliki ardhi hapa nao waachie majumba yao ya Ilala Msasani Buguruni Kigamboni n.k warudi Unguja na Pemba? Hivi Zanzibar kuna soko la kubeba biashara wanazofanya bara? Hivi wanajua kuwa Watanganyika nao wakitumbukia nyongo hakutakua na kuvumiliana hata kwa kusema sisi tulishajenga na kufungua biashara tuachwe? Hivi wanajua Wazanzibari walio pata Passport bara watalazimika kuzirudisha otherwise waukane Uzanzibar. Na akiirudisha hata pata ya Zanzibar kwa kuwa si mkazi kwa miaka mitano pengine? Tukishiba tufikirie wakati wa njaa pia