mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,151
Ipi ni saini yake ya kweli ???![]()
Baada ya kufuatilia kwa makini attachment yenye sahihi tofauti za mwalimu zilizowekwa hapa inaonekana kabisa kwamba hizi mbili hapa zimefojiwa. mwandiko ni tofauti kabisa. Kitu kikubwa kinachozitofautisha na sahihi orijino za mwalimu ni hiyo herufi ya mwanzo J. Mwalimu alikuwa anandika J kwa kujiachia na J yenyewe ina mkia mkubwa katika signature zote original lakini hizi nyingine mwandiko sio wa kujiachia na J iko tofauti sana na nyingine.
Cha kujiuliza ni kwamba nani alifoji signature hizi na kwa lengo gani?
