Imaging Africa kitendo chenu cha kukata miti usiku Bamaga Mwenge ni cha kihuni, na ni uharibifu wa mazingira, hakikubaliki

Imaging Africa kitendo chenu cha kukata miti usiku Bamaga Mwenge ni cha kihuni, na ni uharibifu wa mazingira, hakikubaliki

Ila GT mimi naumiaga sana miti ikikatwa. Napenda sana miti na misitu. Hawa watu hawajafanya vizuri.
Msukuma gani anaumia miti kukatwa? Msukuma akiona miti anajikuta tayari amekumbatia shoka bila kujua limemfikiaje mikononi.
 
Aise mbaya sana,alafu kuna mijitu imekaaa tu,viongozi wa mkoa nk
Wamekaaa tu kimya

Ova
 
Wapi picha , usikute umenyimwa tenda ya matangazo unakuja kupika majungu hapa
 
Back
Top Bottom