Imam aliyeishi Italy miaka 30 afukuzwa baada ya kuagiza waislamu waanze vita dhidi ya wasioamini katika uislamu

Soma, tafakari, ndio upost. Huu

Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Mpo wengi sana brain washed na huo upumbaf.
Kuna neno lolote la ushoga limeongelewa katika post hiyo?
Embu lioneshe
 

KAFIRI mwenzako aliongea hayo maneno
 
Soma, tafakari, ndio upost. Huu

Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Wapi amepinga mashoga? Hufukuzwi ulaya sababu unapinga ushoga. Serikali yoyote duniani haito kuvumilia kama unahatarisha usalama kwa publick kwa kauli kama hizo
 
Hawa watu bado sijawaelewa,
wanakimbia kutoka nchi zao za kiislamu na kwenda nchi za kikristo,halafu huko wanakwenda kuupigania uislamu!
 
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
β€œTerrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
β€œMake war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
β€œDo not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…