Imam asimamishwa kazi baada ya kuoa mwanaume mwenzake

Imam asimamishwa kazi baada ya kuoa mwanaume mwenzake

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Imam aliyemwoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda.

Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na hastahili kuendelea na kazi yake

Sheikh Mohammed Mutumba anadai kuwa alipata mshtuko wiki mbili baada ya kugundua kuwa mke aliyemuoa aliyekuwa akivalia vazi la hijab kila wakati na anafahamika kama Swabullah Nabukeera alikuwa ni mwanaume anayeitwa Richard Tumushabe.

Ukweli kuhusu jinsia yake ulibainika baada ya polisi kumkamata Tumushabe kwa madai ya wizi wa televisheni na nguo za jirani yake..

"Wakati polisi wakifanya shughuli zao za kila siku, askari wa kike alimkagua sehemu zake za mwili kabla hajampeleka jela. Na kuwashangaza maafisa wa polisi kuwa mtuhumiwa huyo kuwa aliweka nguo katika sidiria ili aonekane ana matiti,"bwana Mugera alinukuliwa.

Sheikh Mutumba - ambaye ni imam wa msikiti uliopo kijiji cha Kyampisi , kilomita takribani 100 (62 miles) kaskazini magharibi mwa mji mkuu wa Uganda, Kampala - alidai kuwa hajafanya naye tendo la ndoa mke wake huyo tangu amuoe kwa sababu alisema kuwa alikuwa ana matatizo ya kiafya yaliyomfanya kuendelea kupata hedhi na ilimbidi amvumilie mpenzi wake.

"Tayari tumemshtaki kwa kosa la kujiigiza kuwa mtu mwingine, vilevile kwa kosa la wizi na kujipatia vitu kwa ulaghai ," bwana Mugera alisema.

Gazeti la Daily Monitor limeripoti kuwa Sheikh Abdul Noor Kakande, ambaye ni kadhi wa ukanda huo (jaji wa kiislamu), amesema kuwa tukio hilo ni la kushangaza sana na halikubaliki, hivyo imam anafanyiwa uchunguzi.

Vilevile Baraza kuu la Sheikh mkuu wa msikiti ambao sheikh Mutumba anaswalia, Isa Busuulwa, amesema kuwa amemsimamisha kazi sheikh huyo kwa heshima ya imani ya kiislamu hivyo hatoruhusiwa kuswalisha katika msikiti wowote ule.

Baadhi ya wanawake nchini Uganda na wao wametowa hisia zao wakisema Imamu huyo kuna kitu anaficha:

"Haiingii akilini kwa namna moja au nyingine, hata kama ni mtu wa kujifunika na tunaelewa waislamu wanajifunika sana.Lakini hawa watu walifahamiana na kupelekana nyumbani ,na kwa muda wa wiki mbili kuna mambo mengi kati ya mume na mke, kuna kuoga,kubadilisha nguo, kuangaliana na mambo mengine mengi"

"Nataka kuuliza huyu imamu hajui utofauti wa mwanaume na mwanamke kwa muda wote wa wiki mbili, ina maana hajawahi hata kumkumbatia?"

Msemaji wa polisi mkoa maalum wa polisi wa Ssezibwa Hellen Butoto amefahamisha BBC kwa njia ya simu kuwa mtuhumiwa bado amehifadhiwa kituo cha polisi Kayunga na amefunguliwa mashitaka

"Sasa mutuhumiwa anasubiri kufikishwa mahakamani kusomewa mashitaka ya kudaganya maumbile yake".

=======
Muslims suspend imam who wedded fellow man

Sheikh Mohammed Mutumba, the Imam of Kyampisi Masjid Noor mosque in Kayunga District, has been suspended from his clerical work after unknowingly wedding a fellow man in Islamic culture (Nikah).

The regional Kadhi, Sheikh Abdul Noor Kakande, said Sheikh Mutumba, 27, was under investigation over the “unfortunate” incident.

Sheikh Isa Busuulwa, the head Imam of Masjid Noor of Kyampisi, said the move was intended to preserve the integrity of their faith.

“He has been one of the three Imams of the mosque. He had spent about four years preaching in this mosque on top of teaching Islam to children,” Sheikh Busuulwa said.

He explained that although he attended Sheikh Mutumba’s wedding reception at his grandmother’s home in Kyampisi Trading Centre, the mosque leadership did not take part in the wedding preparations.

A fortnight ago, Sheikh Mutumba unknowingly wedded a fellow man named femininely as Swabullah Nabukeera and spent two weeks with his new “wife” unaware of the latter’s true gender.

The truth came out later after police arrested ‘Nabukeera’ on theft allegations and during a body search by a female police officer before being taken to the cells, it was discovered that the suspect was actually a man. He revealed to police that his real name is Richard Tumushabe.

Mr Amisi Kibunga, the Kyampisi mosque bilal, said he saw Sheikh Mutumba’s ‘wife’ on two occasions at Juma prayers but said it was hard to discover that he was a man.

“He had a sweet soft voice and walked like a woman. She also always dressed in either gomesi or hijab,” Mr Kibunga explained.

“Four days after their wedding, the bridegroom came to me complaining that ‘her’ bride had refused to undress while they slept. Actually I was planning to go to their home to counsel ‘her’ when I heard that the bride had been arrested in connection with theft of a television set and clothes of their neighbour,” Mr Kibunga said.

Sheikh Mohammed Ssemambo, the chairperson of Namagabi Muslim County, expressed shock over the incident. “I learnt about the incident. As a Muslim leader, he should have followed what the Koran says when one wants to get a spouse,” Sheikh Ssemambo said.

Imam devastated

When this reporter visited Sheikh Mutumba’s rented home, neighbours said they had not seen him in four days. Sources said he had been taken by a relative for counselling.

“He is too devastated by the incident and needs counselling,” a source said.

“The ‘bride’ did all the house chores such as cooking, washing clothes and others while the husband was away but it was not easy to know he was just masquerading as a woman,” Mr Henry Mukwaya, a neighbour said.

“He always wore gomesi or hijab and spoke like a woman but she kept indoors most of the time,” he added.

Source: The Citizen
 
Kwani imam ni mungu??nayeye ni binadamu wa kawaida tusiexpect the unexpectables
 
Imam aliyemwoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda.

Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na hastahili kuendelea na kazi yake

Sheikh Mohammed Mutumba anadai kuwa alipata mshtuko wiki mbili baada ya kugundua kuwa mke aliyemuoa aliyekuwa akivalia vazi la hijab kila wakati na anafahamika kama Swabullah Nabukeera alikuwa ni mwanaume anayeitwa Richard Tumushabe.

Ukweli kuhusu jinsia yake ulibainika baada ya polisi kumkamata Tumushabe kwa madai ya wizi wa televisheni na nguo za jirani yake..

"Wakati polisi wakifanya shughuli zao za kila siku, askari wa kike alimkagua sehemu zake za mwili kabla hajampeleka jela. Na kuwashangaza maafisa wa polisi kuwa mtuhumiwa huyo kuwa aliweka nguo katika sidiria ili aonekane ana matiti,"bwana Mugera alinukuliwa.

Sheikh Mutumba - ambaye ni imam wa msikiti uliopo kijiji cha Kyampisi , kilomita takribani 100 (62 miles) kaskazini magharibi mwa mji mkuu wa Uganda, Kampala - alidai kuwa hajafanya naye tendo la ndoa mke wake huyo tangu amuoe kwa sababu alisema kuwa alikuwa ana matatizo ya kiafya yaliyomfanya kuendelea kupata hedhi na ilimbidi amvumilie mpenzi wake.

"Tayari tumemshtaki kwa kosa la kujiigiza kuwa mtu mwingine, vilevile kwa kosa la wizi na kujipatia vitu kwa ulaghai ," bwana Mugera alisema.

Gazeti la Daily Monitor limeripoti kuwa Sheikh Abdul Noor Kakande, ambaye ni kadhi wa ukanda huo (jaji wa kiislamu), amesema kuwa tukio hilo ni la kushangaza sana na halikubaliki, hivyo imam anafanyiwa uchunguzi.

Vilevile Baraza kuu la Sheikh mkuu wa msikiti ambao sheikh Mutumba anaswalia, Isa Busuulwa, amesema kuwa amemsimamisha kazi sheikh huyo kwa heshima ya imani ya kiislamu hivyo hatoruhusiwa kuswalisha katika msikiti wowote ule.

Baadhi ya wanawake nchini Uganda na wao wametowa hisia zao wakisema Imamu huyo kuna kitu anaficha:

"Haiingii akilini kwa namna moja au nyingine, hata kama ni mtu wa kujifunika na tunaelewa waislamu wanajifunika sana.Lakini hawa watu walifahamiana na kupelekana nyumbani ,na kwa muda wa wiki mbili kuna mambo mengi kati ya mume na mke, kuna kuoga,kubadilisha nguo, kuangaliana na mambo mengine mengi"

"Nataka kuuliza huyu imamu hajui utofauti wa mwanaume na mwanamke kwa muda wote wa wiki mbili, ina maana hajawahi hata kumkumbatia?"

Msemaji wa polisi mkoa maalum wa polisi wa Ssezibwa Hellen Butoto amefahamisha BBC kwa njia ya simu kuwa mtuhumiwa bado amehifadhiwa kituo cha polisi Kayunga na amefunguliwa mashitaka

"Sasa mutuhumiwa anasubiri kufikishwa mahakamani kusomewa mashitaka ya kudaganya maumbile yake".
 
Imam aliyemuoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda.

Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na hastahili kuendelea na kazi yake

Sheikh Mohammed Mutumba anadai kuwa alipata mshtuko wiki mbili baada ya kugundua kuwa mke aliyemuoa aliyekuwa akivalia vazi la hijab kila wakati na anafahamika kama Swabullah Nabukeera alikuwa ni mwanaume anayeitwa Richard Tumushabe.

Ukweli kuhusu jinsia yake ulibainika baada ya polisi kumkamata Tumushabe kwa madai ya wizi wa televisheni na nguo za jirani yake..

"Wakati polisi wakifanya shughuli zao za kila siku, askari wa kike alimkagua sehemu zake za mwili kabla hajampeleka jela. Na kuwashangaza maafisa wa polisi kuwa mtuhumiwa huyo kuwa aliweka nguo katika sidiria ili aonekane ana matiti,"bwana Mugera alinukuliwa.

Sheikh Mutumba - ambaye ni imam wa msikiti uliopo kijiji cha Kyampisi,kilomita takribani 100 (62 miles) kaskazini magharibi mwa mji mkuu wa Uganda, Kampala - alidai kuwa hajafanya naye tendo la ndoa mke wake huyo tangu amuoe kwa sababu alisema kuwa alikuwa ana matatizo ya kiafya yaliyomfanya kuendelea kupata hedhi na ilimbidi amvumilie mpenzi wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom