1.SHERIA/KANUNI YA KUMILIKI MALI HAPA DUNIANI NI KUPITIA KUTOA(sadaka ,kusaidia wahitaji/maskini/yatima,wajane ,wasiojiweza ,wagonjwa,wanyonge,vilema,wafungwa n.k
Kadiri unavyotoa kwa wingi ndivyo unavyopokea kwa wingi.(Hii ni kwa wote uwe na dhambi ,usiwe na dhambi,uwe mpagani ,au mtu wa dini)
mfano CORNELIO alikuwa mtoaji mzuri aana hata kabla hajamjua Mungu,na sadaka zake zilipokelewa
kuna wapagani lakini wanatoa sana misaada kwa masikini na wanabarikiwa kupitia kutoa kwao kuliko hata watu wenye dini lakini ni wachoyo kutoa.
2)KANUNI YA KUMILIKI /KURITHI UFALME WA MUNGU/ MBINGU AU KUINGIA MBINGUNI NI KUWA MTAKATIFU( kuacha dhambi zote kwa 100% UTAKATIFU.)
kuna wapagani wamebarikiwa sana kwa sababu ya utoaji lakini kama hawataacha upagani na kuacha duambi kuutafuta UTAKATIFU mbinguni hautaweza kiingia kama sinmtakatifu,ila duniani unaeeza kumiliki mali kwa kufuata kanuni za kumiliki,mojawapo ni kutoa sadaka na kusaidia masikini,nyingine ni KUFANYA KAZI,Kwa bidii na kwa maarifa.