Imebidi nitumie njia ya kisayansi kuupiga chini mchepuko unaonifilisi

Imebidi nitumie njia ya kisayansi kuupiga chini mchepuko unaonifilisi

Nanunajihakikishia kabisaa huyo mchepuko akishajifungua atakaa kwa kutulia.

Unawajua wanawake au unawala kimasihara tu?
Bahati nzuri yeye mwenyewe anasema anaheshimu mume wa mtu, nitakuwa natuma matumizi kiasi, ila kuchakata hapana; akishapata mchakataji mpya, mahusiano yatapungua sana
 
Bahati nzuri yeye mwenyewe anasema anaheshimu mume wa mtu, nitakuwa natuma matumizi kiasi, ila kuchakata hapana; akishapata mchakataji mpya, mahusiano yatapungua sana
umezingua kwenye mtoto,
kwa hiyo kuna mtoto mtarajiwa asiye na baba/familia
 
Hao wanawake mnawatoa wapi nyie !! Mimi kwa mwanaume anaenitimizia mahitaji yangu navyotaka yani sina ujanja kwake hata asipoomba naanzisha mwenyewe yani nikimfikiria tu naloa
Aisee tafuta mwanamke ambae anakupenda kweli kweli alf mwaga hela utaenjoy
 
Hao wanawake mnawatoa wapi nyie !! Mimi kwa mwanaume anaenitimizia mahitaji yangu navyotaka yani sina ujanja kwake hata asipoomba naanzisha mwenyewe yani nikimfikiria tu naloa
Aisee tafuta mwanamke ambae anakupenda kweli kweli alf mwaga hela utaenjoy
Hawa wanaofuga kucha ni tatizo sana
 
Back
Top Bottom