Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏👏👏Nashukuru angalau kwa sasa afya ya moyo na uchumi naona unaanza kuimarika taratibu baada ya kufanya maamuzi magumu.
Uuiko wapi iyo sayansi?
Hapo ndo atajua kwamba pesa kwake zinapita Kama TU daraja[emoji16]Neno kupata naye mtoto ndo ushajifunga hapo.
Subiri ajifungue uanze kujifunza falsafa
Kabisa,Trust me mzee,hapo hujatatua chochote ni umetuliza tatizo na bomu linakaribia kulipuka ili uchanganyikiwe zaidi...
Kisayansi tena. ? Sayansi facts! huyo hujamuacha umemuweka pending..Nimemuacha bila yeye kujua nimemuacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naziona dalili zote za mtoto kutoka kafanana na katibu, utakuja na uzi mwingine hapa si umeamua kuachia goli.