Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Bahati nzuri yeye mwenyewe anasema anaheshimu mume wa mtu, nitakuwa natuma matumizi kiasi, ila kuchakata hapana; akishapata mchakataji mpya, mahusiano yatapungua sanaNanunajihakikishia kabisaa huyo mchepuko akishajifungua atakaa kwa kutulia.
Unawajua wanawake au unawala kimasihara tu?
Neno kupata naye mtoto ndo ushajifunga hapo.Bahati nzuri yeye mwenyewe anasema anaheshimu mume wa mtu, nitakuwa natuma matumizi kiasi, ila kuchakata hapana; akishapata mchakataji mpya, mahusiano yatapungua sana
Nitamuachia yeye nafasi ya kupigania penzi lake, wakati huo nikiwa bize na mambo mengineNeno kupata naye mtoto ndo ushajifunga hapo.
Subiri ajifungue uanze kujifunza falsafa
Noma sana!Naziona dalili zote za mtoto kutoka kafanana na katibu,utakuja na uzi mwingine hapa.
Poa poaNitamuachia yeye nafasi ya kupigania penzi lake, wakati huo nikiwa bize na mambo mengine
umezingua kwenye mtoto,Bahati nzuri yeye mwenyewe anasema anaheshimu mume wa mtu, nitakuwa natuma matumizi kiasi, ila kuchakata hapana; akishapata mchakataji mpya, mahusiano yatapungua sana
Hapana mkuu, nina ndoa tayari, itabaki kuwa mechi za ugenini tuVipi akijifungua akajirekebisha kiasi cha kutokupiga mizinga, utaingiza ndani?
Mtoto atapata malezi, na atakapokuwa mkubwa atakuwa upande wa baba hasa akiwa na miaka 10+umezingua kwenye mtoto,
kwa hiyo kuna mtoto mtarajiwa asiye na baba/familia
Nitajitahidi kutokupasha kiporoKitendo cha kumpa mimba, hujamuacha huyo...
Hawa wanaofuga kucha ni tatizo sanaHao wanawake mnawatoa wapi nyie !! Mimi kwa mwanaume anaenitimizia mahitaji yangu navyotaka yani sina ujanja kwake hata asipoomba naanzisha mwenyewe yani nikimfikiria tu naloa
Aisee tafuta mwanamke ambae anakupenda kweli kweli alf mwaga hela utaenjoy
Ki vipi mkuu?Trust me mzee,hapo hujatatua chochote ni umetuliza tatizo na bomu linakaribia kulipuka ili uchanganyikiwe zaidi...
Kumuacha mtu inabidi utumie akili sana ili asijue kwa haraka; akija kushtuka anajikuta hayuko pamoja naweUmemuacha na Sayansi ya Mchongo hiyo.
Nafungua uzi nione njia za kisayansi, na mm pia sijaona sayansi kimu.hahahiko wapi iyo sayansi?
OkKumuacha mtu inabidi utumie akili sana ili asijue kwa haraka; akija kushtuka anajikuta hayuko pamoja nawe
Dah ila maisha haya acha tu! Yani mwamba amekuwa maarufu baada ya kufariki, aisee!Naziona dalili zote za mtoto kutoka kafanana na katibu,utakuja na uzi mwingine hapa.