Imefika wakati serikali iangalie mishahara ya watumishi wa "Local government" maana hali zao za mishahara ni ngumu na mbovu sana

Imefika wakati serikali iangalie mishahara ya watumishi wa "Local government" maana hali zao za mishahara ni ngumu na mbovu sana

Msaidie aondoke...
Wabongo wengi akili zenu zimelala... kaa hivyohivyo usubiri kusaidiwa, utazeeka unalalamika na serikali huku wao wanakula maisha tu na watoto na wajukuu zao

Wakenya, waghana, wanigeria na wengineo wajanja afrika wanasaidiwa na nani?!

Mmekalia umbea, majungu na fitna tu. Kupanua akili hakuna! Mtaishia hivyohivyo kutaka kusaidiwa
 
Wabongo wengi akili zenu zimelala... kaa hivyohivyo usubiri kusaidiwa, utazeeka unalalamika na serikali huku wao wanakula maisha tu na watoto na wajukuu zao

Wakenya, waghana, wanigeria na wengineo wajanja afrika wanasaidiwa na nani?!

Mmekalia umbea, majungu na fitna tu. Kupanua akili hakuna! Mtaishia hivyohivyo kutaka kusaidiwa
Stupidly thought hapo jambo gn lead you to write stupidty... unajiona ushafanikiwa, wabongo bana dah...kumpa mtu ABCs unaona huwezi masikini wa akili tuna kazi kubwa!
 
Salaam ndugu Wana JF,

Naambiwa "Mama" yetu Rais wetu huwa anasoma humu JF.

Kwa heshima na taadhima naomba asome na hii.

Twende kwenye hoja..

Leo hii Kuna jamaa yangu kutoka halmashauri ya jirani kapata uhamisho kutoka halmashuri yake kwenda chuo cha Mandela (Arusha) yaani kwa huo mshahara anaoendea mpaka nimeshangaa.

Huyu jamaa basic analipwa TGS D = 745k ukitoa makota inayoingia mfukoni ni 500k and something.

Ila sasa huko aendako atakuwa analipwa basic 1.8Mil.

Hili limenifanya nijiulize ""KWANINI HALMASHAURI WANALIPWA KIDOGO KULIKO WATU WOTE SERIKALINI?""

Sometimes naonaga kama kufanya Kazi serikalini ukiwa chini ya TAMISEMI kama ni "laana/Majanga" maana kwenye mshahara huku ni dah "Ashukuriwe Mungu"

Hivi jiulize...
Tax Officer TRA Kazi yake ni kukusanya kodi, ada na tozo na Afisa mapato Halmashauri kazi yake nae ni kukusanya kodi na ushuru. Mbona sasa huyu Tax Officer (accounts) analipwa zaidi ya Afisa mapato wa Halmashauri (accounts)?

Hawa wawili, wamesoma course moja, chuo kimoja, wakaajiriwa na serikali moja ila tu kwasababu ya huyu yupo taasisi na huyu yupo "Local government" basi huyu ana shavu zaidi ya huyu..!!
Why this, ikiwa wote wapo chini ya serikali moja?

Mishahara ya halmashauri inachekesha hasaa.
Ukiachana na afya ambao kidogo wao "alhamdulilahi ila"
1. Ukisoma diploma mshahara ni TGS C = 500k take home 400k
2. Ukisoma Bachelor ya miaka 3
TGS D = 700K take home 500k
3. Ukisoma Bachelor ya miaka mi4 ni TGS E = 900K take home 700k

(Mishahara hii nime approximate kwa kukaribisha zeros at the end)

Na kengine huku Halmashauri hizi masters na short course hazina hata maana ki-mshahara zaidi ya kwamba ni "Added advantage" ila sio ki-financial aspect HAKUNA LOLOTEE. Unakuta wewe una masters na mwenzio bachelor ila mshahara mnafanana.

Huwa nawaambia madogo ""Njoo halmashauri tafuta cheki namba halafu sepa huko kwenye mishahara minono"". Kwani nani asiyependa kufanya Kazi kwenye mshahara mkubwa?

Haiwezekani uliosoma nao wote mpo serikalini ila wao wana mishahara na maposho zaidi yako kisa wewe upo local government!

Kwa upande mwingine. Ukiangalia bungeni wanatupa sana lawama kwa Halmashauri huku wanasahau kuwa watumishi wao bungeni wana mishahara mikubwa kuliko wa halmashauri.

Yaani halmashauri inasemwa sana juu ya wizi ila HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEONGEA KUHUSU UDOGO WA MISHAHARA YA HALMASHAURI.

Sijawahi hata siku moja kusikia taasisi yoyote nchini ikiongelea maslahi ya watumishi wa Halmashauri zaidi ya kuwalaumu.

KUHUSU POSHO.
Watu wanakwambia "Halmashauri wanajilipa posho sana"

Wanasahau kuwa, posho ni mapato ya ndani "own source" na kuna Halmashauri hayo mapato ya ndani HAKUNA.

Hivi halmashauri kama Ukerewe, Tanganyika, Momba, Mpimbwe, Ileje WANAJILIPA MAPOSHO kwa mapato gani?

Ikiwa tu makusanyo yao hat Bil 2 kwa mwaka hakuna (maana vyanzo vya kukusanyia hakuna).
Sasa Hawa hizo posho wanapata wapi?

MAMA HALI NI MBAYA.
Watumishi wa Halmashauri Wana hali mbaya. Achana na hizi Halmashauri za mjini, ila hizi Halmashauri za vijijni watu Wana hali mbaya na ""Asilimia 90 ya watumishi wanapigana na kuhangaika ili wahame"" maana hakuna anayekubali mshahara mdogo huku kwenye mkubwa panaonekana.

Imefika wakati hii mishahara ya Halmashauri iangaliwe. Inakuaje mtu mwenye bachelor yake ya uhasibu kaajiriwa tokea 2015 mpaka leo mshahara ni 745,000/= yaani ukitoa kodi kinachobaki ndio aendeshee maisha.

Walimu nao wanateseka.
Hizo TGTS C, D, E, F ukizisoma utadhani ni pesa nyingi.
Sasa ngoja uandikiwe ni kiasi gani UTABAKI KUSHANGAA.

Unakuta mwalimu kasoma na mwenzake Bach. Ed
Huyu kawa mwalimu wa sekondary huyu kaajiriwa assistant tutor.
Sasa ukitaka kuona ""maajabu cheki mishahara yao""

Tutor ana mshahara kuliko mwalimu. Bila kusahau Tutor anaposho za vipindi na vitu vyengine ila yeye mwalimu kwanini asiwe na posho za vipindi?

Kuna Watu wapo taasisi huko WANALIPWA mishahara mara tatu ya halmashauri.

Madereva katika fani nayoonea huruma ni walimu na madereva.

Kwani Kuna utofauti gani wa dereva wa BOT, Wizara na Halmashauri?

Hivi V8/gari si ileile na gia si zilezile na lami si ileile, KWANINI Dereva wa Halmashauri ana TGS B na wengine WANALIPWA mara mbili yake? Au magari yao wao yanapaa na ya halmashauri yanatembea kwenye lami?

HII SI AFYA KABISA.

Nina mengi ya kuongea NAOMBA NIISHIE HAPO.

Mama Niko chini ya miguu yako NAOMBA HILI LITAZAMWE.

Mishahara ya Halmashauri ni nomaaa Raisi wangu.

Asante.

#YNWA
Wa kulaumiwa na kulaaniwa ni Waziri wa mishahara, niliwahi kumsikia mtu akisema ukiwaboreshea mishahara wanaota jeuri na kujifanya wajuaji
 
Salaam ndugu Wana JF,

Naambiwa "Mama" yetu Rais wetu huwa anasoma humu JF.

Kwa heshima na taadhima naomba asome na hii.

Twende kwenye hoja..

Leo hii Kuna jamaa yangu kutoka halmashauri ya jirani kapata uhamisho kutoka halmashuri yake kwenda chuo cha Mandela (Arusha) yaani kwa huo mshahara anaoendea mpaka nimeshangaa.

Huyu jamaa basic analipwa TGS D = 745k ukitoa makota inayoingia mfukoni ni 500k and something.

Ila sasa huko aendako atakuwa analipwa basic 1.8Mil.

Hili limenifanya nijiulize ""KWANINI HALMASHAURI WANALIPWA KIDOGO KULIKO WATU WOTE SERIKALINI?""

Sometimes naonaga kama kufanya Kazi serikalini ukiwa chini ya TAMISEMI kama ni "laana/Majanga" maana kwenye mshahara huku ni dah "Ashukuriwe Mungu"

Hivi jiulize...
Tax Officer TRA Kazi yake ni kukusanya kodi, ada na tozo na Afisa mapato Halmashauri kazi yake nae ni kukusanya kodi na ushuru. Mbona sasa huyu Tax Officer (accounts) analipwa zaidi ya Afisa mapato wa Halmashauri (accounts)?

Hawa wawili, wamesoma course moja, chuo kimoja, wakaajiriwa na serikali moja ila tu kwasababu ya huyu yupo taasisi na huyu yupo "Local government" basi huyu ana shavu zaidi ya huyu..!!
Why this, ikiwa wote wapo chini ya serikali moja?

Mishahara ya halmashauri inachekesha hasaa.
Ukiachana na afya ambao kidogo wao "alhamdulilahi ila"
1. Ukisoma diploma mshahara ni TGS C = 500k take home 400k
2. Ukisoma Bachelor ya miaka 3
TGS D = 700K take home 500k
3. Ukisoma Bachelor ya miaka mi4 ni TGS E = 900K take home 700k

(Mishahara hii nime approximate kwa kukaribisha zeros at the end)

Na kengine huku Halmashauri hizi masters na short course hazina hata maana ki-mshahara zaidi ya kwamba ni "Added advantage" ila sio ki-financial aspect HAKUNA LOLOTEE. Unakuta wewe una masters na mwenzio bachelor ila mshahara mnafanana.

Huwa nawaambia madogo ""Njoo halmashauri tafuta cheki namba halafu sepa huko kwenye mishahara minono"". Kwani nani asiyependa kufanya Kazi kwenye mshahara mkubwa?

Haiwezekani uliosoma nao wote mpo serikalini ila wao wana mishahara na maposho zaidi yako kisa wewe upo local government!

Kwa upande mwingine. Ukiangalia bungeni wanatupa sana lawama kwa Halmashauri huku wanasahau kuwa watumishi wao bungeni wana mishahara mikubwa kuliko wa halmashauri.

Yaani halmashauri inasemwa sana juu ya wizi ila HAKUNA MTU YEYOTE ANAYEONGEA KUHUSU UDOGO WA MISHAHARA YA HALMASHAURI.

Sijawahi hata siku moja kusikia taasisi yoyote nchini ikiongelea maslahi ya watumishi wa Halmashauri zaidi ya kuwalaumu.

KUHUSU POSHO.
Watu wanakwambia "Halmashauri wanajilipa posho sana"

Wanasahau kuwa, posho ni mapato ya ndani "own source" na kuna Halmashauri hayo mapato ya ndani HAKUNA.

Hivi halmashauri kama Ukerewe, Tanganyika, Momba, Mpimbwe, Ileje WANAJILIPA MAPOSHO kwa mapato gani?

Ikiwa tu makusanyo yao hat Bil 2 kwa mwaka hakuna (maana vyanzo vya kukusanyia hakuna).
Sasa Hawa hizo posho wanapata wapi?

MAMA HALI NI MBAYA.
Watumishi wa Halmashauri Wana hali mbaya. Achana na hizi Halmashauri za mjini, ila hizi Halmashauri za vijijni watu Wana hali mbaya na ""Asilimia 90 ya watumishi wanapigana na kuhangaika ili wahame"" maana hakuna anayekubali mshahara mdogo huku kwenye mkubwa panaonekana.

Imefika wakati hii mishahara ya Halmashauri iangaliwe. Inakuaje mtu mwenye bachelor yake ya uhasibu kaajiriwa tokea 2015 mpaka leo mshahara ni 745,000/= yaani ukitoa kodi kinachobaki ndio aendeshee maisha.

Walimu nao wanateseka.
Hizo TGTS C, D, E, F ukizisoma utadhani ni pesa nyingi.
Sasa ngoja uandikiwe ni kiasi gani UTABAKI KUSHANGAA.

Unakuta mwalimu kasoma na mwenzake Bach. Ed
Huyu kawa mwalimu wa sekondary huyu kaajiriwa assistant tutor.
Sasa ukitaka kuona ""maajabu cheki mishahara yao""

Tutor ana mshahara kuliko mwalimu. Bila kusahau Tutor anaposho za vipindi na vitu vyengine ila yeye mwalimu kwanini asiwe na posho za vipindi?

Kuna Watu wapo taasisi huko WANALIPWA mishahara mara tatu ya halmashauri.

Madereva katika fani nayoonea huruma ni walimu na madereva.

Kwani Kuna utofauti gani wa dereva wa BOT, Wizara na Halmashauri?

Hivi V8/gari si ileile na gia si zilezile na lami si ileile, KWANINI Dereva wa Halmashauri ana TGS B na wengine WANALIPWA mara mbili yake? Au magari yao wao yanapaa na ya halmashauri yanatembea kwenye lami?

HII SI AFYA KABISA.

Nina mengi ya kuongea NAOMBA NIISHIE HAPO.

Mama Niko chini ya miguu yako NAOMBA HILI LITAZAMWE.

Mishahara ya Halmashauri ni nomaaa Raisi wangu.

Asante.

#YNWA


Mkuu, maisha ni fumbo kubwa sana.

Hata
- Mshahara wa TCRA sio sawa na BRELA (Zote ni Taasisi za Serikali)

- Mshahara wa EWURA sio sawa na RITA (Zote ni Taasisi za Serikali)

- Mshahara wa TIC sio sawa na TCU (Zote ni Taasisi za Serikali)

Na hata ukisema uhamie huko TCRA, EWURA, TIC huwezi kuwa sawa na mtu wa BOT.

Nahata ukihamia BOT hutakuwa sawa kiuchumi na MBUNGE

Chakufa kupitia kidogo unachopata jifunze kuwekeza, Pia fanya shughuli nyingine mbali mbali za kukuongezea kipato.. as they always says "mshahara siku zote hautoshi" also live beyond your means, learn to appreciate small things.. focus on your heath and family.. money is illusion don't get trapped.
 
Nchi hii imeshakuwa ya wajinga ndugu yangu, unachosema ni kweli lakini Nani Mwenye uchungu wa kurekebisha haya? Kila mtu anamlaumu Nyerere, yeye kaleta uhuru na nyinyi mnaofata jengeni uchumi rekebisheni Manisha ya watu. MTU katoka ulaya na masters unamlipa tgsd 710,000/- kweli? Ada aliyotumia itarudi kweli? mtu anaongoza Hadi anaondoka madarakani vitu vya kitoto kama hivi vinamshinda! Hebu nikufikirishe;
Wizara ya afya na elimu- watumishi wako tamisemi! Kwa nchi makini hizi Wizara zinatakuwa zisiwepo iwepo tamisemi, maana ndiyo inayowahudumia! Halafu wanasema serikali haina hela kumbe wameumba mawizara mengi ambayo hayapafomu! Nani anaweza kunieleza Kazi na productivity ya Wizara ya katiba?.
Nchi inajiendea tu Hakuna Mwenye uchungu.
 
Liverpool VPN ni mwalimu ila cha ajabu anatoa mifano ya kuhamia EWURA na taasisi zingine, sasa EWURA wanahitaji walimu?
1. Diploma in Finance
2. Bachelor of Science in Economics and Finance
3. Masters of Science in Finance and Investment.
4. Ilikuwa niwe PhD Candidate in International Economics, ila nilighairii

Kwa hii qualification Unadhani mimi ni mwalimu?

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mwenyekiti WA Livapuli-TAMISEMI katika ubora wako😁
 
1. Diploma in Finance
2. Bachelor of Science in Finance and Investment
3. Masters of Science in Finance and Investment.
4. Ilikuwa niwe PhD Candidate in International Economics, ila nilighairii

Kwa hii qualification Unadhani mimi ni mwalimu?

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ulianzia diploma kumbe
 
Kaka Liverpool VPN nakukumbusha kuhusu huu uzi!!
Nimeamua kuwa selective, kila nikipata fursa naambiwa unahamia halmashauri X, yaani natoka chooni naingia maliwatoni..!!!

Nilchoamua ni kukomaaa biashara zangu tu, ukifika muda nisepe mazima niwe full time interpreneur.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Ni jukumu la serikali kufanya mabadiliko. Kuliko kufanya kazi local government ni bora ujiajiri mwenyewe
 
Back
Top Bottom