Imefikia hali Tanzania ukiona umeme haujakatika ndani ya siku mbili au tatu unashangaa kulikoni

Imefikia hali Tanzania ukiona umeme haujakatika ndani ya siku mbili au tatu unashangaa kulikoni

Anachosema mleta mada ni kweli mikoa mingi kwa sasa umeme ukiwaka masaa 24 ni muujiza!
Niko safarini kanda ya ziwa huku ndo nimekuta balaa kabisa kuna sehemu umeme tangu ukatike jana asubuhi mpaka usiku waliwasha kuanzia saa tano usiku then asubuhi saa tatu wamekata tena mpaka muda huu usiku saa tatu hawajarudisha ina maana huku wanaofanya biashara au uzalishaji kwa kutegemea umeme ni mwendo wa majenereta kama huna unashinda umelala unakuna pumbu.!
Tangazo lilitoka la matengenezo
 
Anachosema mleta mada ni kweli mikoa mingi kwa sasa umeme ukiwaka masaa 24 ni muujiza!
Niko safarini kanda ya ziwa huku ndo nimekuta balaa kabisa kuna sehemu umeme tangu ukatike jana asubuhi mpaka usiku waliwasha kuanzia saa tano usiku then asubuhi saa tatu wamekata tena mpaka muda huu usiku saa tatu hawajarudisha ina maana huku wanaofanya biashara au uzalishaji kwa kutegemea umeme ni mwendo wa majenereta kama huna unashinda umelala unakuna pumbu.!
Kanda ya Ziwa hali ni mbaya sana. Hakuna siku ambayo umeme haukatiki. Nipo kijijini, kuna umeme wa Kanisa Katoliki. Sasa ni wiki ya pili, sijawahi kuona umeme ukikatika hata siku moja.

Ingekuwa umeme unabebeka, ningeuchukua nikakae nao mjini. Hali ya umeme imenivutia kiasi cha kuzidisha muda wa kukaa na kukamilisha miradi yangu kadhaa. Ni vema kufikiria kuongeza mirafi huku kuliko mjini kusiko na umeme.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakubali blood
Kati ya vitu najuta ni kuzaliwa, Afrika

Ingekuwa kwamba kabla ya kuzaliwa unapewa option ya mahali pa kuzaliwa, Ni mjinga pekee ange chagua azaliwe Afrika.

Nadhani kwenye DNA ya mwafrika kuna chembe chembe za Upumbavu ambazo huzaliwa nazo automatically.

Binafsi nime apa kwamba, wanangu na kizazi changu hakiji kuzaliwa na kuishi Afrika kwenye upumbavu wa kila namna.

Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
 
Nilikua Morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Sisi huku kwetu tuna siku 3 hatujaona umeme tofauti na wa solar na ni mjini haswa manispaa
 
Acha kutuingiza kwenye laana!! kuwa Mtanzania sio laana!! Laana ni Hawa washenzi wa CCM!!
Kama huna exposure ya kwenda ughaibuni Huwezi kuelewa ninacho kwambia.

Jaribu kusafiri nchi za wenzetu ulaya, America na baadhi ya nchi za Asia kisha utaelewa ninacho maanisha..

Uone jinsi binadamu wanavyo paswa kuishi.
 
Nilikua Morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Ni kweli ila kwa mabadiliko yaliyofanyika kuna uwezekano usikatikekatike tena. Bwawa la Nyerere nalo pia karibia linaanza kufanya kazi
 
Ngoja tusubiri tuone mkuu
Kipindi cha Waziri Prof. Muhongo umeme ulikoma kabisa kukatika, baada ya kuwa ameingia madarakani.

Mpaka Muhongo anaondoka madarakani umeme haukuwahi kukatika tena. Umeme ulikuja kuanza kukaika tena baada ya Muhongo kuondoka na kuingia Kalemani.

Kukatika umeme ni ubababishaji tu hakuna kingine; Muhongo yupo kule Bungeni ni shahidi katika hili.
 
Nilikua Morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Hadi dar wanakata sana tu
 
Nilikua Morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
CCM mbele kwa mbeleee 🎶🎶🎶🎶!! Hata production ya bwawa ikianza nakwambia mamb itakua ileile! Utakuja nambia hapa!!
 
Back
Top Bottom