Imekaaje mwanaume kumwambia dume mwenzie "nakupenda"?

Amoxlin

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,782
Reaction score
4,111
Habarini ndugu zangu.

Hivi karibuni nimepata wakati mgumu sana baada ya kupata rafiki (mwanaume mwenzangu) ambae aliniomba nimsaidie jambo flani na urafiki ukaanzia hapo.

Huyu jamaa alianza mazoea ya kunitembelea geto na akawa anapenda kunisogelea karibu sana hata tukiwa tumekaa pamoja, alianza tabia ya kunisogezea mikono ila alipoona nakereka akaacha mwenyewe.

Kinachonipa hofu ni tabia yake ya mara kwa mara kuniambia ananipenda kila anaponipigia simu tena kwa sauti laini sana wakati wa kuhitimisha mazungumzo.

Hii inakua vipi wadau?
Msaada wa mawazo tfdhl.
 
Nikushauri tu huyo mblock kabisa asikupigie cm ukiendekeza hayo mazoea atakutia aibu mbeleni
 
Heeeeeeee... makubwa hayo. Kaka hilo ni gundu gundule. Huyo bwana na shoga... 99%. Mtolee njee huyo msela mavi.... kabla hujawa muhanga wa hiyo tabia yake
 
Hujawahi mwambia baba yako mzazi unampenda?anyways,kimjazacho mtu ndicho kimtokacho depends unachukuliaje
 
Hii story inatufundisha nini?
Pale unapokosa Maada ya ku anzisha na unataka uone thread ikichangiwa Sana ndo madhara Yake haya.. Kutunga story za Uongo.. KUCHEZA na akili kwenye mawazo yetu.. Haiwezi kuwa kweli na kama ni kweli haina umuhimu Maada kama hizi kuanzishwa.
 
Kuna mawili, either amekupenda anataka umtatue linda, au anahisi wewe punga so anaingiza voko taratibu aone kama itafit ili ale mzigo.., endelea kumchunguza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…