Imekaaje mwanaume kumwambia dume mwenzie "nakupenda"?

Imekaaje mwanaume kumwambia dume mwenzie "nakupenda"?

mkuu usjiemanishe sana kuwa jamaa ni chakula maana inawezekana yeye ndo anataka kukutafuna
[emoji15]Anitafune mimi[emoji15]
Hii vita akijaribu kuitangaza itammaliza mwenyewe[emoji779]
 
Heeeeeeee... makubwa hayo. Kaka hilo ni gundu gundule. Huyo bwana na shoga... 99%. Mtolee njee huyo msela mavi.... kabla hujawa muhanga wa hiyo tabia yake
Nashkuru kwa ushaur mkuu maana mpaka wakat mwingine anakosa cha kunambia ananitumia empty sms.
 
Hujawahi mwambia baba yako mzazi unampenda?anyways,kimjazacho mtu ndicho kimtokacho depends unachukuliaje
Usichukulie mambo kiwepesi bosi, huu utamaduni wa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzake "nakupenda sana, tumetoka mbali" tena kwa kulegeza sauti tofauti na tuliyokua tukiongea mwanzo... Hatujauzoea kabisa. Tena alianza mchezo wa kunishika mara bega, mgongo au mguu tukiwa tumekaa.
 
Habarini ndugu zangu.

Hivi karibuni nimepata wakati mgumu sana baada ya kupata rafiki (mwanaume mwenzangu) ambae aliniomba nimsaidie jambo flani na urafiki ukaanzia hapo.
Sawa!!

Huyu jamaa alianza mazoea ya kunitembelea geto na akawa anapenda kunisogelea karibu sana hata tukiwa tumekaa pamoja, alianza tabia ya kunisogezea mikono ila alipoona nakereka akaacha mwenyewe.
Hapa kuna walakini....Mpaka anakusogelea wewe ulikuwa unamchekea tuu....Mpaka ukamkaribisha geto kwako....Ipo shida pia kwako..


Kinachonipa hofu ni tabia yake ya mara kwa mara kuniambia ananipenda
Hivi kweli mwanaume mwenzako mpaka anafikia hatua hii wewe upo tuu ..Inamaana na wewe ulikuwa unafurahia....Wote nyie ni wamoja..

kila anaponipigia simu tena kwa sauti laini sana wakati wa kuhitimisha mazungumzo.
Inamaana huwa mnatabia ya kupigiana simu na kuongea...Mpaka anafikia hatua ya kukulainishia sauti maana yake ulikuwa unafurahia...

Hii inakua vipi wadau?
Msaada wa mawazo tfdhl.
Msaada ni kwamba endeleeni na tabia zenu...Na tabia ya kimgeuka mwenzako na kuja kumtangaza huku jf ukome..nyie wote ni kampuni moja...
 
Ni James delicious
Mnajua anayembandua na anayebanduliwa wote ni mashoga,na pia mtoa uzi hatujajua wewe mwenyewe uko na muonekano gani pengine amekuona una dalili za yeye kuweza kula tunda mzee.Ndio anakujaribu kimtindo huu utandawazi huu ni hatari sana kwa vizazi vyetu.
 
Pana ukakasi kidogo hapa ila [emoji124] [emoji124] nitarudi baadae
Ukakasi ni mwingi ...
Eti umkaribishe geto, akushike , muongee kwenye simu .....dume gani rijali atafikia hatua zote hizo..?

Hawa wote ni ksmpuni moja
 
Back
Top Bottom