Imekaaje mwanaume kumwambia dume mwenzie "nakupenda"?

Imekaaje mwanaume kumwambia dume mwenzie "nakupenda"?

Acha kumbania mwenzio,kila kitu kinapangwa huenda ndiyo riziki yako huyo
 
Usichukulie mambo kiwepesi bosi, huu utamaduni wa mwanaume kumwambia mwanaume mwenzake "nakupenda sana, tumetoka mbali" tena kwa kulegeza sauti tofauti na tuliyokua tukiongea mwanzo... Hatujauzoea kabisa. Tena alianza mchezo wa kunishika mara bega, mgongo au mguu tukiwa tumekaa.

Haaa! Kama anakushika mpaka Mgongo ,bega mara miguu moja kwa Moja anataka kukupelekea Propela shafti, angekuwa na Swaga za kichoko ingekuwa za kidem dem Mara kakushika Ndevu huyo Muhuni utakuja stuka Nyoka kishatumbukia Shimoni [emoji3][emoji3]
 
Inategemea na nini kinajiri au kimejiri kama hao sio ndugu. Kumbuka kuna wanaopitia kitu na ni mwanaume mwenzake ndio anamkomboa so nikisikia maneno hayo nitaona sawa tu ya kusema kwa ajili ya upendo na shukurani.

Mwanaume kumwambia sibling wake wa kiume ni sawa au Baba yake.
 
Habarini ndugu zangu.

Hivi karibuni nimepata wakati mgumu sana baada ya kupata rafiki (mwanaume mwenzangu) ambae aliniomba nimsaidie jambo flani na urafiki ukaanzia hapo.

Huyu jamaa alianza mazoea ya kunitembelea geto na akawa anapenda kunisogelea karibu sana hata tukiwa tumekaa pamoja, alianza tabia ya kunisogezea mikono ila alipoona nakereka akaacha mwenyewe.

Kinachonipa hofu ni tabia yake ya mara kwa mara kuniambia ananipenda kila anaponipigia simu tena kwa sauti laini sana wakati wa kuhitimisha mazungumzo.

Hii inakua vipi wadau?
Msaada wa mawazo tfdhl.
Uchoko
 
Back
Top Bottom