nelly nashon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 242
- 521
ila mimi si ninaruhusiwa kukuambia wewe nakupenda mkuu?[emoji1]Pana ukakasi kidogo hapa ila [emoji124] [emoji124] nitarudi baadae
Huyu jamaa ndo mpiga simu, huwa simpigii hata kidogo baada ya kuona mwenendo wake sio.Sawa!!
Hapa kuna walakini....Mpaka anakusogelea wewe ulikuwa unamchekea tuu....Mpaka ukamkaribisha geto kwako....Ipo shida pia kwako..
Hivi kweli mwanaume mwenzako mpaka anafikia hatua hii wewe upo tuu ..Inamaana na wewe ulikuwa unafurahia....Wote nyie ni wamoja..
Inamaana huwa mnatabia ya kupigiana simu na kuongea...Mpaka anafikia hatua ya kukulainishia sauti maana yake ulikuwa unafurahia...
Msaada ni kwamba endeleeni na tabia zenu...Na tabia ya kimgeuka mwenzako na kuja kumtangaza huku jf ukome..nyie wote ni kampuni moja...
Sura ngumu kama zembwela, mwili wa zoezi. Cna swaga.Mnajua anayembandua na anayebanduliwa wote ni mashoga,na pia mtoa uzi hatujajua wewe mwenyewe uko na muonekano gani pengine amekuona una dalili za yeye kuweza kula tunda mzee.Ndio anakujaribu kimtindo huu utandawazi huu ni hatari sana kwa vizazi vyetu.
Sio umbandue anataka umpumulieSura ngumu kama zembwela, mwili wa zoezi. Cna swaga.
Nahisi anataka nimbandue maana ndo ananilainishia sauti.
Nikushauri tu huyo mblock kabisa asikupigie cm ukiendekeza hayo mazoea atakutia aibu mbeleni
Umetumia kigezo gani kuhukumu?
Tena alianza mchezo wa kunishika mara bega, mgongo au mguu tukiwatumekaa.
Achana nae huyoHuyu nlishamkwepa asije geto kabisa, kila akipiga simu namwambia sipo geto au akija siwi peke yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti mungu wa DarHili nikilikabidhi kwa mungu wa dar litaisha kweli?
Itanibidi nijaribu kama njia zingine zitagonga mwamba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo jamaa anatala kumfanya mwenzake divai... mchiz akimbie... akimbie kabisa