Imekuwa ni lazima kuosha na kufanya scrub baada ya kunyoa barbershop?

Imekuwa ni lazima kuosha na kufanya scrub baada ya kunyoa barbershop?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?

Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
 
Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?

Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
Si wameandika kabisa huduma wanazofanya kwa nini ukatae Jamani
 
Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?

Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
Ajira za watu hizo mkuu. Wanagawa utamu kama jungu yaani hao na bar med na wahudumu migahawani lao Moja. Chukua code hii uishi nayo.
 
Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?

Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
Kuingizwa kwenye kile chumba cha kuoshea ni kuingia kaburini kwa style nyingine .Kwa nini ujitakie shida zisizo za lazima.Thamani ya maisha yangu naijua mwenyewe
 
Wala hulazimishwi, kuwa na msimamo tu! Mi huwa nafanya kama pisi inaeleweka na inalika kimasihara!

Unakuta unamaliza kunyoa kinyozi anampa maelekezo mdada "mfanyie bro scrub" mi huwa nauliza kwani ni offer au utalipa wewe!?
 
Back
Top Bottom