Imekuwa ni lazima kuosha na kufanya scrub baada ya kunyoa barbershop?

Imekuwa ni lazima kuosha na kufanya scrub baada ya kunyoa barbershop?

Ni sawa mkuu, lakini wasifanye hiyo biashara ni lazima kwa kila mtu.
Mkuu Kuna sehemu lazima uwe mbabe kidogo Ili kurinda uanaume wako.

Nilienda kunyoa baada kumaliza wakaniambia hamia pale.akili ikaniambia hapa Kuna Hela utaacha.

Nikahamia alipo sema mara mdada huyu hapa akaaza kusema uso wako unamafuta naweza kukufanyia..... Nikamwambia ni wewe tu akakomaaa wee alipomaliza akaniambia vipi kuhusu kupa black nikamwambia hiyo hapana. Bahati nzuri Hela ilikuwa ya chenji nikaenda Kwa kinyozi nikampa 3000 yake halafu akauliza kule mmeshamalizana?

Nikamjibu wapi Tena boss? Akamuita yule dada akasema aache 2000 ya kwangu nikamwambia mlinambia wapi? Mimi nimeuliza mkasema kunyoa ni buku3 asee tusisumbuane huku na huku nikamwambia sitoi Hela nyingine Mimi nilijua huduma hizo zingine ni offer muwe mnasema kabla hujafanya ...yule dada alinifyonza Hadi Leo sijawahi fyonzwa vile asee... Nikaenda baada ya wiki nikaendapo Tena nikamkuta yule dada ......
 
Tatizo wengi ukiwaambia hauoshi au kufanya scrub mood inabadilika kabisa wanakuona kama ndezi fulani tu wakati hapo umelipia hata buku tano kunyoa.
Mi huwa very straight sichekeshi mkuu wanune wasinune watajua wao...

Ila wana viushawishi wale mbwa 😂😂😂
 
Mkuu Kuna sehemu lazima uwe mbabe kidogo Ili kurinda uanaume wako.

Nilienda kunyoa baada kumaliza wataniambia hamia pale.akili ikaniambia hapa Kuna Hela utaacha.

Nikahamia alipo sema mara mdada huyu hapa akaaza uso wako unamafuta naweza kukufanyia..... Nikamwambia wewe tu akakomaaa wee alipomaliza akaniambia vipi kuhusu kupa black nikamwambia hiyo hapana. Bahati nzuri Hela ilikuwa ya chenji nikaenda Kwa kinyozi nikampa 3000 yake halafu akauliza kule mmeshamalizana?

Nikamjibu wapi Tena boss? Akamuita yule dada akasema aache 2000 ya kwangu nikamwambia mlinamnia wapi? Mimi nimeuliza mkasema kunyoa ni buku3 asee tusisumbuane huku na huku nikamwambia sitoi Hela nyingine Mimi nilijua huduma hizo zingine ni offer muwe mnasema kabla hujafanya ...yule dada alinifyonza Hadi Leo sijawahi fyonzwa vile asee... Nikaenda baada ya wiki nikaendapo Tena nikamkuta yule dada ......
Endelea kaka 😂😂😂
 
Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?

Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!

Sasa wenyewe wale wapiii. Kijana akijituma kidogo, inapendeza mukimuunga mkono kwenye kazi yake.
 
Endelea kaka 😂😂😂
Maongezi hayakuwa mengi hata kinyozi alikuwa mwingine ila mdada alikuwepo na nilienda kutengeneza ndevu nikauliza bei akaniambia. Style Yao Ile Ile hamia pale Nilipofika tu yule dada akanimbia ni buku2 nikamwambia sawa akafanya mwisho nikampa 5000 nikaondoka na yule kinyozi nae niliacha5000 vilevile. Nikamwambia yule Mimi nikija hapa msinioshe Huwa sipendelei akacheka tu ikaisha
 
Binafsi bint muoshaji akiwa na chuchu konzi akiniosha harafu vile vichuchu viniguse usoni na kichawani nakubali...
 
Maongezi hayakuwa mengi hata kinyozi alikuwa mwingine ila mdada alikuwepo na nilienda kutengeneza ndevu nikauliza bei akaniambia. Style Yao Ile Ile hamia pale Nilipofika tu yule dada akanimbia ni buku2 nikamwambia sawa akafanya mwisho nikampa 5000 nikaondoka na yule kinyozi nae niliacha5000 vilevile. Nikamwambia yule Mimi nikija hapa msinioshe Huwa sipendelei akacheka tu ikaisha
,,😂😂😂😂 we jamaa ni mtata sana actual
 
Miaka ya nyuma niliingia saluni moja nikanyoa, sasa nikaambiwa kaa hapo uoshwe, maji yalikuwa ya uvuvi vugu, huyo dada akaanza kuniosha taratibu huku anapitisha vidole masikioni huku akiniongelesha kama nafurahia huduma, Dah huku kwa abdalah jicho moja hali ilikuwa mbaya, na anajua kabisa ndio anazidisha huku anakuangalia jicho la macho kumchuzi, nikamwambia inatosha nikanyenyuka, sikugeuka nyuma na chenj nilimuachia, sitakagi tena mambo ya kuoshwa oshwa
 
Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?

Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
 

Attachments

  • IMG_20230704_100803_148.jpg
    IMG_20230704_100803_148.jpg
    42.1 KB · Views: 2
Kuingizwa kwenye kile chumba cha kuoshea ni kuingia kaburini kwa style nyingine .Kwa nini ujitakie shida zisizo za lazima.Thamani ya maisha yangu naijua mwenyewe
Kile chumba mbona kipo laribu na cha kunyolea, yanaendeleaga mengine mle ?
 
Back
Top Bottom