Imekuwa vita sasa wanaume wanaonyoa bila kuosha, kufanyiwa scrub au kupakwa black magic!Mimi nawaambia moja kwa moja hiyo kitu huwa sifanyi. Jukumu lao ni kukasirika jukumu langu ni kuwapa taarifa. Kuna wengine wananijua, wakiniona tu wanatoka na nje kuendelea na majukumu mengine.
Si wameandika kabisa huduma wanazofanya kwa nini ukatae JamaniKwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?
Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
Ahahaha huna bayaSipigi scrub ila natoa posho bukubuku za soda kwa watu wote vinyozi na hao mademu wote
Ajira za watu hizo mkuu. Wanagawa utamu kama jungu yaani hao na bar med na wahudumu migahawani lao Moja. Chukua code hii uishi nayo.Kwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?
Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!
Kwani ukienda kwenye hotel huwa unakula kila kilichoko kwenye menu!?Si wameandika kabisa huduma wanazofanya kwa nini ukatae Jamani
Ni tofauti na kwenda kunyoa, kwa sababu kunyoa kunaambatana na kuosha kichwa π π πKwani ukienda kwenye hotel huwa unakula kila kilichoko kwenye menu!?
No! Naenda kuosha home.Ni tofauti na kwenda kunyoa, kwa sababu kunyoa kunaambatana na kuosha kichwa π π π
Kuingizwa kwenye kile chumba cha kuoshea ni kuingia kaburini kwa style nyingine .Kwa nini ujitakie shida zisizo za lazima.Thamani ya maisha yangu naijua mwenyeweKwa nini Barbershop/saluni za sasa mjini wahudumu wanakutazama vibaya sana ukiwaambia hauoshi kichwa au kufanya scrub baada ya kunyoa?
Baadhi ya vinyozi kwenye hizi barbershop wakimaliza kukunyoa wanakutelekezea kabisa wadada waoshaji bila hata kukuuliza kama unaosha au hauoshi unapaka tu after shave na kutembea!