Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha?Magazeti karibu yote kwenye front page yameweka picha ikumuonyesha askofu niwemguzi akimwinamia ssh, je hii picha imetoka wapi na kusambazwa na nani. Je ina uhusiano na kujilinganisha na Mungu?
Hiyo picha uliyoipata ikoje?Kuna miaka mingi imepita nilihudhuria mikutano ya rais mnne katika sehemu tofauti za karibu karibu
Kwenye hizo sehemu Rais alivaa mavazi tofauti tofauti ndipo nikapata picha ya kiongozi wa nchi
Hakuna hiyo protokali, ni hulka tu ya utwana ya wabongo wengi.Kwani sio kuwa kuna protokali ya kuinama kidogo mbele ya Rais haswa anapokuwa kwenye halaiki??
Weka picha tuone kiwango cha kuinama kikoje...
Why say so? Umenifikirisha Sana. Nadhani una hoja nzitoHii nchi ya hovyo sana
UKIOMBWA UWEKE PICHA USISHANGAE... NAANZA, weka pichaMagazeti karibu yote kwenye front page yameweka picha ikumuonyesha askofu niwemguzi akimwinamia ssh, je hii picha imetoka wapi na kusambazwa na nani. Je ina uhusiano na kujilinganisha na Mungu?
You are right. In the African context, greetings to your elders, also those in power, is accompanied with a little bending to show respect for those in power and elders. Sijui Ni fikra za utwana na ubwana au .....Kwani sio kuwa kuna protokali ya kuinama kidogo mbele ya Rais haswa anapokuwa kwenye halaiki??
Weka picha tuone kiwango cha kuinama kikoje...