Imekuwaje magazeti yote ya leo kutumia picha moja?

Imekuwaje magazeti yote ya leo kutumia picha moja?

Hakuinama kwani??

mpaper_1645557897_62153889a9a62.jpg


mpaper_1645550645_62151c3583963.jpg


mpaper_1645553984_6215294047ef1.jpg


mpaper_1645551371_62151f0bc771d.jpg


mpaper_1645553001_621525695a0b2.jpg


mpaper_1645548073_621512298df39.jpg
 
Wahariri siku hizi wanasifia kila kitu hakuna weledi tena.
 
Magazeti karibu yote kwenye front page yameweka picha ikimuonesha askofu Niwemguzi akimuinamia SSH, je hii picha imetoka wapi na kusambazwa na nani.

Je ina uhusiano na kujilinganisha na Mungu?

View attachment 21281737
View attachment 2128185
View attachment 2128187
View attachment 2128188
View attachment 2128189
View attachment 2128191
Mkuu hii picha imepigwa na na mpiga picha mmoja wa Ikulu,na ndiye ametuma kwenye hizo media nyingine yawezekana hawakuwa wapiga picha wa vyombo vingine,tatizo ni la mpiga picha kuwa na picha moja tu.
 
Covid 19, ata kanisani tunainamiana badala ya kushikana mikono
 
Ndio maana siku hizi nimeacha kwenda misa.
 
Mzee Kenyatta aliwahi kuwaita watanzania nyangau.
 
Back
Top Bottom