Imekuwaje magazeti yote ya leo kutumia picha moja?

Imekuwaje magazeti yote ya leo kutumia picha moja?

Siku hizi ktk kanisa katoliki tunasalimiana hivyo kama ishara ya kutakiana amani na heri, zamani kabla ya korona tulikua tunapeana mikono, baba askofu alimwinamia mh rais Samia kama ishara ya kumkaribisha nyumbani kwake na kumtakia amani awapo mahali pale, rais alitakiwa kujibu kwa kuinama pia kuonesha amepokea, nadhan sio utamaduni wake (mama) Wala wa dini yake, ndo maana alifunga mikono na bila shaka alitamka maneno fulani ya kuonesha ameitikia salamu, hapo hakuna kosa kutoka upande wowote ule, kila mtu alifanya kile kilichopo ktk mazingira yake, Imani yake na nafsini mwake, kufanya tofauti na unachokiamini ndio kosa. Asante mama kwa heshima uliyompa mzee kwa kuacha majukumu yako yote ya kitaifa na kimataifa ukaenda kijijini ngara kushiriki shughuli hiyo muhimu, hakika umemheshimisha sana mzee na umeliheshimisha kanisa katoliki, sasa panga na safari ukamsalimie baba mtakatifu Francis kama wenzako wote walivyofanya ukimwacha mtangulizi wako.,Asante sana Mama.
Rais amefika kwetu Rulenge, ni kweli ametuheshimisha sana. Ukitoka hapo kanisani ukivuka hiyo barabara upande wako wa kulia kuna kiwanja cha ndugu zake Baba wanaishi hapo. Hapo ni nyumbani kabisa.
 
Nchi Ina Siri say hii, kumbe wamachinga Wana gazeti lao siku hzi na hamsemi.
 
IMG-20220224-WA0005.jpg
IMG-20220224-WA0005.jpg
 
Hiyo picha imepenyezwa na "watu wa system" kumjibu Askofu Niwemugizi kwamba yeye ndo alianza kumtukuza Rais Samia na hivyo hasimjengee Mama kwamba anapenda kutukuzwa!
Kingine ni kwamba vyombo vyetu vya habari viko compromised sana!
Ndiyo maana juzi kati waliibuka na kichwa cha habari "MBOWE ALIA NJAA"!
 
Magazeti karibu yote kwenye front page yameweka picha ikimuonesha askofu Niwemguzi akimuinamia SSH, je hii picha imetoka wapi na kusambazwa na nani.

Je ina uhusiano na kujilinganisha na Mungu?

View attachment 21281737
View attachment 2128185
View attachment 2128187
View attachment 2128188
View attachment 2128189
View attachment 2128191
Majibu....

1. Wamelazimishwa ili Kuonyesha kuwa hata Kanisa halina Ubavu kwa Mamlaka

2. Wamelazimishwa ili kutuma Ujumbe kwa Wakristo kuwa Safari hii Muislamu ataabudiwa watake wasitake

3. Wamelazimishwa ili kuonyesha kuwa kumbe hata Kanisa Katoliki lenye Nguvu na Ushawishi mkubwa hata wa Kisiasa nchini Awamu hii ya Sita nalo limekubali Kulamba Miguu ya Muislamu mwenye nchi.

4. Vyombo vya Habari vimelazimishwa kuiweka hiyo Picha kama sehemu ya Kuabudu Mamlaka na atakayekataa hapati Matangazo ya Serikali ambayo ndiyo kwa 95% yanawalipa vyema

Kila Ia Kheri.
 
Nina miaka mingi sisomi magazeti ya bongo ila nilichunguza kuthibitisha nililokuwanalo moyoni

Sawa mkuu ila sisi wengine tulishayajua muda mrefu na hatushughulishi kuyasoma kabisa.
 
Majibu....

1. Wamelazimishwa ili Kuonyesha kuwa hata Kanisa halina Ubavu kwa Mamlaka

2. Wamelazimishwa ili kutuma Ujumbe kwa Wakristo kuwa Safari hii Muislamu ataabudiwa watake wasitake

3. Wamelazimishwa ili kuonyesha kuwa kumbe hata Kanisa Katoliki lenye Nguvu na Ushawishi mkubwa hata wa Kisiasa nchini Awamu hii ya Sita nalo limekubali Kulamba Miguu ya Muislamu mwenye nchi.

4. Vyombo vya Habari vimelazimishwa kuiweka hiyo Picha kama sehemu ya Kuabudu Mamlaka na atakayekataa hapati Matangazo ya Serikali ambayo ndiyo kwa 95% yanawalipa vyema

Kila Ia Kheri.
Ila ukweli unabaki palepale, awamu ya tano na ya sita hatuna rais, hatuna viongozi bali wahuni na mafisadi walioingia madarakani kihuni
 
Unashangaa kuinama ASUBUHI UNAMUAMKIA BABA YAKO SHIKAMOO...
UNAJUA MAANA YA SHIKAMOO?
 
Back
Top Bottom