Imeniuma: Alikiba aeleza kusikitishwa kwake

Imeniuma: Alikiba aeleza kusikitishwa kwake

Kiba.alishaanza kutoka.ila kajiharibia mwenyewe na atalilia sana bado.
 
Watanzania hawako na wasaliti wa mabadiliko na bado tusubiri na wenzio watalia sana
 
Nenda ccm wakusaidie ------ wewe unamwambia nani huna maaana kabisa
 
Ahahahaha nimecheka mpaka basi hakyamungu

Tukiwaambia kiba hana fans kama anavyowafikiria bali wengi wa mashabiki zake ni haters wa chibu haaamini. Haya sasa analalamikia nani? Hao mashabiki zake walikuwa wapi kurepost habari ya msanii wao, au macho yalikuwa yamewatoka kwenye event ya Tiffah kutafuta cha kukosoa. Au anafikiri media ni TV na redio pekee.?

Mi Nafikiri hata leo hii Diamond akiamua kufanya event bila support ya TV &radio bado atafanikiwa kwa asilimia nyingi sana hii ni kwasababu mashabiki zake kupitia social networks ni media tosha. #WCB imejitosheleza. Hii ndio maana ya Msanii kuwa na fanbase kubwa.
 
Tukiwaambia kiba hana fans kama anavyowafikiria bali wengi wa mashabiki zake ni haters wa chibu haaamini. Haya sasa analalamikia nani? Hao mashabiki zake walikuwa wapi kurepost habari ya msanii wao, au macho yalikuwa yamewatoka kwenye event ya Tiffah kutafuta cha kukosoa. Au anafikiri media ni TV na redio pekee.?

Mi Nafikiri hata leo hii Diamond akiamua kufanya event bila support ya TV &radio bado atafanikiwa kwa asilimia nyingi sana hii ni kwasababu mashabiki zake kupitia social networks ni media tosha. #WCB imejitosheleza. Hii ndio maana ya Msanii kuwa na fanbase kubwa.

Ahahaaa!!yaani ni kweli unachokisema!wengi ni maadui wa diamond tu wala hawana mapenzi mema na kibakuli wao
 
Kwani kina wema hawakumpost? Vipi kuhusu TBCcm nao hakumtangaza?

Wema mpaka amalize kuongea na wanawe kwanza!BTW yeye alisema ukiona anamsapoti mtu basi ujue ameombwa kufanya hivyo na mtu husika!

Sasa watu wakakaa kimya kumsubiri na yeye aombe sapoti!Hakuomba!!!!
Badala yake alitegemea wangemposti tu bila kuwaomba kwakua yeye ni mzuri sanaaa!!Ameambulia fedheha tu leo
 
Amwambie magufuli
 

Attachments

  • 1442980644921.jpg
    1442980644921.jpg
    27.5 KB · Views: 401
Mnamwaga povu bila kujua chanzo mnachanganya maada nyingi mkikua mtaacha
 
atanyooka tu na badooo!!!

Kila siku tukiwaambia mashabiki wanaofuatilia kazi zako ni mbadala kiasi fulani wa media, ukiwanao wa kutosha fb twitter na insta..

Diamond kwa mfano facebook anazaidi ya watu wanaomfuatilia laki nane kasoro wakati yeye hata laki moja hawafiki hahahahaa insta, twitter kote wa kuokoteza.. Ndio maana diamond akifanya kitu lazima kisambae fastaaa, kwasababu hata mtu akiweka kwenye blog yake inasomwa zaidi kuliko habari za wasanii wengine kitu kinachowaongezea mapato, sasa kwanini wajiangaishe na maunderground??

Diamond anatoa sana ushirikiano kwa wanahabari, CHUKUA MFANO MWEPESI, baada ya kiba kushinda tuzo za pombe akaenda kwenye daladala mitaani Dar es salaam... MWENZAKE ALIVYO KICHWA akaandaa press conference ya waandishi wa habari kwakuwa kupitia wao atamfikia kila shabiki wake, HAPO KIBA ANAWEZA AKAJIFUNZA KITU

Na kurusha jiwe gizani hivo ndio itazidi kumcost zaidi, mtu akijishtukia tu ataona ye ndio mlengwa na ndio chuki zinapoanzia... Diamond afanye lolote Global publishers ni kama page yake hatumii hata mia lakini kwakuwa tu anauzika NYOOOOOTA lazima umkute kilasikuuu!!!!!! japokuwa habari ni za uongo lakini ndio zinamfanya kuwa kama brand kubwa kama jinsi Kanye west, Justin bieber wanavyoisumbua marekani
 
Kiba umewagwa mashabiki kwa kujiingiza kwene siasa
 
Huyu jamaa kama angekutana na changamoto kama za diamond sidhani kama angeendelea kuexist kwny game

Umeona eeh
Yaani yeye kazi kulalamika tu hata pale alipomuona Diamong anajituma na kufanya kazi sana alilalamika Kuwa yeye ni king
Naona team wameamia kwenye uchaguzi hana boost tena
 
Back
Top Bottom