Imeniuma: Alikiba aeleza kusikitishwa kwake

Imeniuma: Alikiba aeleza kusikitishwa kwake

pwilo najua huwa unajitahidi sana kumsafisha kibakuli, lakini ndio kwanza anazidi kukuumbua mchana kweupee, ulisema kibakuli angalau ni tofauti na wasanii wengine kuwa japo anaisupport ccm lakini yeye akishapiga show hana zile shobo za kumpost mpost mgombea au mambo ya campeini, najua unamfollow insta, na umejionea kwa macho, jana tu katoka kulalamika kuwa anapotezewa, wadau wakamchambaaa weee na wengi walimuambia kujiingiza kwake kwenye siasa ndio kumemponza, umeona alichopost baada ya hapo?? Full ndimu sasa ndio uchague kuzilamba au kutafuta tindikali

Hahahaaa amepost nini baada ya yale malalamiko? Insta kuzuri jamani. Nilikafunga ka account changu ngoja nifanye mishe niifungue.
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafi baada ya Dimond kupost upuuzi unao husu ukabila na tena kwa kupotosha nimempigia DAVIDO kura, Binafsi sijawahi kupiga kura ila imebidi nipige ili kumfundisha adabu next time awe na heshima.

Sasa kama hukuwahi kupiga kura nani atajali usipopiga! ?
 
Mimi binafi baada ya Dimond kupost upuuzi unao husu ukabila na tena kwa kupotosha nimempigia DAVIDO kura, Binafsi sijawahi kupiga kura ila imebidi nipige ili kumfundisha adabu next time awe na heshima.

Kama hivi ndivyo kumfundisha mtu adabu Nafikiri diamond angekuwa kama Baba paroko. Unaikumbuka kampeni ya #voteforDavido? Au ulikuwa bado hujaja mjini? Walishindwa kina wema na genge lake uje kuwa wewe! Si apeche si alolo mtaji wako MB 8. Bwahahahaha! 😂😂😂😂😂😂.
 
Mimi binafi baada ya Dimond kupost upuuzi unao husu ukabila na tena kwa kupotosha nimempigia DAVIDO kura, Binafsi sijawahi kupiga kura ila imebidi nipige ili kumfundisha adabu next time awe na heshima.

Kama hivi ndivyo kumfundisha mtu adabu Nafikiri diamond angekuwa kama Baba paroko. Unaikumbuka kampeni ya #voteforDavido? Au ulikuwa bado hujaja mjini? Walishindwa kina wema na genge lake uje kuwa wewe! Si apeche si alolo mtaji wako MB 8. Bwahahahaha! 😂😂😂😂😂😂. Kama ambavyo hukuwahi kumpigia kura Diamond, ndivyo ambavyo hutakiwi kumpigia hata siku moja. Just vote for Davido.
 
Mimi binafi baada ya Dimond kupost upuuzi unao husu ukabila na tena kwa kupotosha nimempigia DAVIDO kura, Binafsi sijawahi kupiga kura ila imebidi nipige ili kumfundisha adabu next time awe na heshima.

Kama hivi ndivyo kumfundisha mtu adabu Nafikiri diamond angekuwa kama Baba paroko. Unaikumbuka kampeni ya #voteforDavido? Au ulikuwa bado hujaja mjini? Walishindwa kina wema na genge lake uje kuwa wewe! Si apeche si alolo mtaji wako MB 8. Bwahahahaha! 😂😂😂😂😂😂. Kama ambavyo hukuwahi kumpigia kura Diamond, ndivyo ambavyo hutakiwi kumpigia hata siku moja. Just vote for Davido.
 
Mimi binafi baada ya Dimond kupost upuuzi unao husu ukabila na tena kwa kupotosha nimempigia DAVIDO kura, Binafsi sijawahi kupiga kura ila imebidi nipige ili kumfundisha adabu next time awe na heshima.

Kama hivi ndivyo kumfundisha mtu adabu Nafikiri diamond angekuwa kama Baba paroko. Unaikumbuka kampeni ya #voteforDavido? Au ulikuwa bado hujaja mjini? Walishindwa kina wema na genge lake uje kuwa wewe! Si apeche si alolo mtaji wako MB 8. Bwahahahaha! 😂😂😂😂😂😂. Kama ambavyo hukuwahi kumpigia kura Diamond, ndivyo ambavyo hutakiwi kumpigia hata siku moja. Just vote for Davido.
 
Mimi binafi baada ya Dimond kupost upuuzi unao husu ukabila na tena kwa kupotosha nimempigia DAVIDO kura, Binafsi sijawahi kupiga kura ila imebidi nipige ili kumfundisha adabu next time awe na heshima.

Kama hivi ndivyo kumfundisha mtu adabu Nafikiri diamond angekuwa kama Baba paroko. Unaikumbuka kampeni ya #voteforDavido? Au ulikuwa bado hujaja mjini? Walishindwa kina wema na genge lake uje kuwa wewe! Si apeche si alolo mtaji wako MB 8. Bwahahahaha! 😂😂😂😂😂😂. Kama ambavyo hukuwahi kumpigia kura Diamond, ndivyo ambavyo hutakiwi kumpigia hata siku moja. Just vote for Davido.
 
Kama hivi ndivyo kumfundisha mtu adabu Nafikiri diamond angekuwa kama Baba paroko. Unaikumbuka kampeni ya #voteforDavido? Au ulikuwa bado hujaja mjini? Walishindwa kina wema na genge lake uje kuwa wewe! Si apeche si alolo mtaji wako MB 8. Bwahahahaha! 😂😂😂😂😂😂. Kama ambavyo hukuwahi kumpigia kura Diamond, ndivyo ambavyo hutakiwi kumpigia hata siku moja. Just vote for Davido.

Hahaaaa sio kwa kichambo hicho 😂😂😂
 
kiba pole hata kijani njano hawaja kukumbuka na bado huo mwanzo yt hair akiwa prezidaa mtajuta
 
Cc. Kimbley mzurimie kimnana Ruttashobolwa chige samsung hivi huyu ndugu yenu analilia nini?
Kiba bhana, sasa analalamika nini?!Peace One Day ni NGO, ambao sina shaka kwamba lengo lao la ku-promote peace duniani ni zuri! NGO nyingi duniani kama sio zote ni wapiga pesa tu... wanapata michango kila kona! Tamasha la Rwanda lilikuwa pia na Coca Cola ndani... kampuni ya kibiashara ikidhamini kitu basi hapo wanatangaza biashara zao! Hata huyo Kiba na wenzake sina shaka nao wamelipwa! Tena kwenye lile tamasha walizindua what's so called Coca-Cola Peace Day Anthem uliorekodiwa na Coke Studio... sooner or later sina shaka tutauona kwenye matangazo ya Coca cola!

Sasa kwanini alalamike yeye wakati ilikuwa ni kazi ya waandaaji wa hiyo concert ku-promote?!



 
Last edited by a moderator:
pwilo najua huwa unajitahidi sana kumsafisha kibakuli, lakini ndio kwanza anazidi kukuumbua mchana kweupee, ulisema kibakuli angalau ni tofauti na wasanii wengine kuwa japo anaisupport ccm lakini yeye akishapiga show hana zile shobo za kumpost mpost mgombea au mambo ya campeini, najua unamfollow insta, na umejionea kwa macho, jana tu katoka kulalamika kuwa anapotezewa, wadau wakamchambaaa weee na wengi walimuambia kujiingiza kwake kwenye siasa ndio kumemponza, umeona alichopost baada ya hapo?? Full ndimu sasa ndio uchague kuzilamba au kutafuta tindikali
Paula, hebu twende taratibu kidogo... Ina maana unamkumbusha pwilo kuhusu hizi picha, au?
Kiba 1.jpg KIba2.jpg


 
Last edited by a moderator:
Jana kasema hategemia mashabiki wa tanzania ana mashabiki wengi sana Mozambique Malaysia Malawi Ghana so hashoboki na nyinyi wa tz kabisa chige sumbai Paula kilaki
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kiba usimfananishe na yule mse.nge wa tandale aliesema lowassa mgonjwa wakati mama katoka kutibiwa india juzi juzi tu au hujaona na maneno ya shombo juuu
Hamuishiwi na maneno... hakuna atakachofanya au kusema msikitie kasoro; poleni sana manake ugonjwa wa EL unahubiriwa na watu wengi sana... that's politics na hata hao wanaojifanya uungwana kwa kauli za ugonjwa dhidi ya Lowassa ndio hao hao ambao kama Lowassa angekuwa CCM wangekuwa wanamkashifu kwa ugonjwa wake!!! Tembelea Jukwaa la Siasa na angalia posts za zamani jinsi mashabiki wa UKAWA walivyokuwa wanakashifu afya ya Lowassa... TUACHE UNAFIKI bhana!!
 
Ally kibba anafurahisha sana yeye am follow mtu yeyote lakini anataka media zimfollow.zero kabisa
 
Jana kasema hategemia mashabiki wa tanzania ana mashabiki wengi sana Mozambique Malaysia Malawi Ghana so hashoboki na nyinyi wa tz kabisa chige sumbai Paula kilaki
Pole nyingine...hiki ndicho amekisema kijana:
...utaskia kisharuwasha Mmoja toka Team pinzani anakuja na Gea ya kujifanya ooh mie Ukawa sipigi kura ili aeneze chuki...KWENDA USIPIGE!!!!... Tangulini kwanza Ukapiga???? Waache wenye uchungu wa Muziki wa Bongo flavour watapiga... waache wanaojua tofauti kati ya siasa na Muziki nini watapiga.. waache wanaojua umuhimu wa kutengeneza Misingi ya mziki wetu sasa, kwa jili ya vizazi vijavyo watapiga... Tena labda nikukumbushe Mbali na Mashabiki zetu pendwa toka Tanzania kuna KENYA,UGANDA, RWANDA, BURUNDI, CONGO, MALAWI, ZAMBIA na nchi nyingine nyingi zinazoupenda mziki wa Bongo flavour na Kuusupport...tena si kwa maneno kama wewe kwa Kupiga kura haswa...Subiri tunzo ije upost Hongera, Maana ndio kawaida Yenu
Screenshot hii hapa:
EMMA.jpg

Na kwa kauli hiyo hata mimi namuunga mkono kwa 100%... mie nawa-diss wote wanaotumia siasa kueneza chuki zao ambazo walikuwa nazo tangu zamani! Ni mashabiki wa Diamond wachache sana ambao ni kweli walikuwa wanam-support tangu zamani ambao pia wanaingiza siasa lakini wengi wao ni mamluki tu!! Na hata kama kweli ni mashabiki wa Diamond, waende tu manake mashabiki wasiochanganya siasa na burudani wapo kibao tu... mtu hawezi kuacha kile anachoona sahihi kwake kisa mashabiki ambao hata nyimbo za mia mia za Mkito hawanunui!!!!
 
Back
Top Bottom