Sasa ukimuona mume wako kama wanaume wengine hiloni kosa. Maana utamtreat mumeo kama mkosaji au mkosaji mtarajiwa na hiyo ita athiri sana ndoa yako. Maisha ya mwenzio siyo yako kwa hiyo hatasiku moja usiishi na mentality kwamba kilicho mtokea mwenzangu basi yatanikuta na mimi. Wewe jenga tu uimara ya ndoa yako yasije yaka kukuta wewe.Muombe Mungu dada na ata kusaidia. But kusema ukweli I understand how you fell na huyo mume wa rafiki yako kachemsha. On behalf of all man who know they were born by a woman I say I'm sorry. I don't condone his actions one bit.
LOVE, LOVE so nice tell me why you hurt so bad!! kwa kweli ndoa sasa hivi ni uwanja wa fujo, mwanamke anapigwa kwa upande wa khanga ati!na si mijiguvu namna hiyoo, kuna jirani yangu ameoa ana mtoto mmoja wa kike, kama mwaka sasa jamaa anaondoka asubuhi nyumbani anarudi saa saba ya usiku daily yaani, keshatengeneza nyumba ndogo na ina mtoto km wa miezi minne sasa, jamaa akirudi usiku wife wake akimuulizia unatoka wapi jamaa si kutembeza kichapo huko, mikelele usiku mzima, anasema yeye ni muislam, so anagawa taraka kwa mke ambaye alimsilimisha na hamtaki tena, TUNAENDA WAPI JAMANI? tamaa za miili yetu zitatufikisha wapi kama si umauti tu? huyo BAZAZI aliyemtwanga mke wake akashtakiwe kabisa hana ruhusa ya kumpiga mwenzi wake namna hiyo tena mpaka kumsababishia miscariage! Kile Kiapo cha siku ile ya NDOA kipo wapi? yale mabusu motomoto ya siku za uchumba mmeyatupa wapi? kweli hizi simu zinaleta mambo.
unafikiri mwenzio hakufanya hivyo unavyosema? si ndio mnavyodanganyanaga kwenye kicheni pati? alikutana na mwanaume wa shoka ndio maana sasa yuko hospital na mwenzie anapata supu kwa small house.
sina ugomvi na wanawake lakini messege yangu ni kwa wanawake wanapaswa kuwa wanyenyekevu, huo usawa mnaotafuta hadi mnafokea waume zenu ndio unaowaponza na vipigo kama hivyo. jinyenyekeze na ikibidi lia, umlilie, ndio wanaume wanavyotaka, sio ufungulie kiredio chako mkulima umnanga mzee! shame on you women stereos
Babra unanijua vema nilivyokuwaga mpole, mnyenyekeevu hayo ya kurudi usiku wa manane na kumpikia ugali nimefanya saaana mpaka nilipoona hailipi. Unakumbuka nilipokuwa nakuja nalia lia hapa unatamani kunitandika na fimbo.
Sometimes wao wenyewe wanatufunza ujeuri ati!
Hivi umesha livua Pendo? au mbado unasubili Mkuyati?
Babra unanijua vema nilivyokuwaga mpole, mnyenyekeevu hayo ya kurudi usiku wa manane na kumpikia ugali nimefanya saaana mpaka nilipoona hailipi. Unakumbuka nilipokuwa nakuja nalia lia hapa unatamani kunitandika na fimbo.
Sometimes wao wenyewe wanatufunza ujeuri ati!
he, mama yangu weeeee!!!!!!!!!!!!
kwa hiyo sasa hivi umeishakuwa jeuri siyo???
hujapata kisiki cha mpingo wewe!!!!!!! hata hizo hela zako zisingekusaidia!!!
......😀😀Akili Kichwani;
Hapo kny blue......ubarikiwe, ni message nzuri sana kwa wanandoa wanaopenda ndoa zao zidumu......! Watu watakubishia hapa tu, bt that's is the fact, wanaume tuliowengi (including me), tunapenda mwanamke akufanyie hivyo! Hatupendi (tulio wengi) kufokewa na mke, tunataka kubembelezwa zaidi.......!
Akili Kichwani;
Hapo kny blue......ubarikiwe, ni message nzuri sana kwa wanandoa wanaopenda ndoa zao zidumu......! Watu watakubishia hapa tu, bt that's is the fact, wanaume tuliowengi (including me), tunapenda mwanamke akufanyie hivyo! Hatupendi (tulio wengi) kufokewa na mke, tunataka kubembelezwa zaidi.......!
Kama ulivyosema nanu kupiga hadi kumharibia mimba hapana yaani kwa hilo kwangu amescore sifuri kabisa.My God, Babra unajua umesikia tu ya upande mmoja hujasikia ya upande wa mwanaume ili kuweza kufanya conclusion. Lakini iwe isiwe...KUMPIGA MKE NI MAKOSA MAKUBWA NA MWIKO....kama amekukera sana, unaweza ukatengana naye kwa muda. Lakini sasa hujui rafikio na mudom kiasi gani, labda hata alimwambia jamaa hata hii mimba si yako kwani nawe mwanaume??????
Fidel bwana mbona toka mwaka jana? kwa sasa natibu dondamoyo tu hapa.
My God, Babra unajua umesikia tu ya upande mmoja hujasikia ya upande wa mwanaume ili kuweza kufanya conclusion. Lakini iwe isiwe...KUMPIGA MKE NI MAKOSA MAKUBWA NA MWIKO....kama amekukera sana, unaweza ukatengana naye kwa muda. Lakini sasa hujui rafikio na mudom kiasi gani, labda hata alimwambia jamaa hata hii mimba si yako kwani nawe mwanaume??????
My God, Babra unajua umesikia tu ya upande mmoja hujasikia ya upande wa mwanaume ili kuweza kufanya conclusion. Lakini iwe isiwe...KUMPIGA MKE NI MAKOSA MAKUBWA NA MWIKO....kama amekukera sana, unaweza ukatengana naye kwa muda. Lakini sasa hujui rafikio na mudom kiasi gani, labda hata alimwambia jamaa hata hii mimba si yako kwani nawe mwanaume??????
Nanu la upande wa pili ctaweza kulickia mpaka hapo atakapojitokeza mume alietoroka....
thanks mkuu, tusaidiane kufikisha messege hii kwa walengwa.
mj1, babra, camel, bht fl1, pretty nk mpo mpaka hapo????????
MAM'UUU ANGALILE UMWANAAA HUYOOOOOOOOOOOO...ing'waleeee zdsipala kumahame,...NIGE MUYAWE UANGALILE UMWANAA HUYOO ING'WALEEE DZSIPALA KUMAHAMEEEHehehehe naona kuna jamaa wananyemelea kulivaa pendo hilo unatwangwa na hiki kitu
Hiki ni cha $75,000/= sijui utakataa?
thanks mkuu, tusaidiane kufikisha messege hii kwa walengwa.
mj1, babra, camel, bht fl1, pretty nk mpo mpaka hapo????????
Kile kipima joto Mr. wako iwa anakichungulia? au huwa anasoma sms kwenye phone yako?
mie namnyenyekea/namjali na yote ninayopaswa kumfanyia, lakini inapotokea ameteleza cwez kaa kimya, hilo sorry.