Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
- Thread starter
- #141
Sasa ukimuona mume wako kama wanaume wengine hiloni kosa. Maana utamtreat mumeo kama mkosaji au mkosaji mtarajiwa na hiyo ita athiri sana ndoa yako. Maisha ya mwenzio siyo yako kwa hiyo hatasiku moja usiishi na mentality kwamba kilicho mtokea mwenzangu basi yatanikuta na mimi. Wewe jenga tu uimara ya ndoa yako yasije yaka kukuta wewe.Muombe Mungu dada na ata kusaidia. But kusema ukweli I understand how you fell na huyo mume wa rafiki yako kachemsha. On behalf of all man who know they were born by a woman I say I'm sorry. I don't condone his actions one bit.
nashuuru sana kwa ushauri wako ma bro...be blecd.